NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Mi naomba ushauri
Ninakwazika sana na sijui la kufanya, nina mdogo wangu msichana anaishi mkoani na huwa ananitembelea mara kwa mara, pia nina Boss wangu ambaye imetokea akamuona mdogo wangu bila hata kujua wamekuwa na uhusiano ye akisafiri au mdogo wangu akija Dar wanawasiliana na uhusiano huo wa kimapenzi unaendelea, sasa mimi wananificha ila kuna mtu ambae mdogo wangu anamsimulia na ye ananiambia, mimi nimeolewa na ninaheshimu ndoa yangu sana na Boss wangu ameoa na mke wake ni rafiki yangu sana sana tu.
Uhusiano wao mi siupendi kwani sijui unaweza kuni affect kwa kiasi gani kikazi na pia mke wake ni rafiki yangu. Wao wanadhani mi sifahamu kwa hiyo wanafanya vitu vyao kwa siri ili nisijue.
Naomba ushauri nifanyeje? Je ninyamaze tu kimya?
Ninakwazika sana na sijui la kufanya, nina mdogo wangu msichana anaishi mkoani na huwa ananitembelea mara kwa mara, pia nina Boss wangu ambaye imetokea akamuona mdogo wangu bila hata kujua wamekuwa na uhusiano ye akisafiri au mdogo wangu akija Dar wanawasiliana na uhusiano huo wa kimapenzi unaendelea, sasa mimi wananificha ila kuna mtu ambae mdogo wangu anamsimulia na ye ananiambia, mimi nimeolewa na ninaheshimu ndoa yangu sana na Boss wangu ameoa na mke wake ni rafiki yangu sana sana tu.
Uhusiano wao mi siupendi kwani sijui unaweza kuni affect kwa kiasi gani kikazi na pia mke wake ni rafiki yangu. Wao wanadhani mi sifahamu kwa hiyo wanafanya vitu vyao kwa siri ili nisijue.
Naomba ushauri nifanyeje? Je ninyamaze tu kimya?