Ulitaka kusemaje mkuu?Vip JPM naye yupo kundi la baba na mama ako?
Labda kupita njiaushapita baba
Hiyo background tu mimi sijaelewaHilo buti kama cow boy
Ova
Kheli❌
Alifanya nini? Mie ndo kwanza naona hilo jina..Duuu huyu Mpuuzi anaweza kuwa mbunge labda ikifanyika lafu
Kumbe ni Fisadi..!Huyu mjinga anaweza kuuza hata wazazi wake sababu ya maslahi binafsi
Huyu dogo aligombea ubunge kupitis cdm na taarifa za kiintelenjesia zinasema alishinda ubunge ila kutokana na awamu hii mkurugenzi akaogopa kumtangaza cha ila dogo alishinda na aliwakimbiza Sana ccm wananchi walimkubali sana but from no where dogo si akaunga mkono juhudi saa hv kawa Kama mtu wa nyikani ccm hawamtaki kurudi upinzani anaona aibuAlifanya nini? Mie ndo kwanza naona hilo jina..