Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,025
Huyu mataga pori ni wa kumpuuza anafikiri kwa kutumia tumbo.Kwahiyo hata rais naye kamfanyia siasa chafu maana kakosoa utendaji wa jeshi la polisi?
Wambie Polisi waache dhurumaKumekuwa na siasa chafu zinazofanya na wafuasi wa chama cha upinzani dhidi ya kamanda Sirro na jeshi la polisi. Hawa watu wamekosa shukrani kabisa, jeshi la polisi linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inakuwa salama.
Ukweli ni kuwa bila hili Jeshi la Polisi kufanya kazi kiuweledi Leo hii nchi ingekuwa haina amani. Hivyo ninakemea propaganda na siasa chafu zote na ninaomba jeshi la polisi liendelee kufanya kazi ili Tanzania yetu ibaki salama.
Kamanda Sirro ni moja ya wanausalama ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na hii imepelekea wahalifu wengi kushindwa kutenda uhalifu.
Hivyo hii vita ya kumuona Sirro hafai inafanywa na mtandao wa kiuhalifu ambao wanatamani kuona jeshi la polisi likishindwa kutimiza majukumu yao. Lakini kwa bahati nzuri watu hao wameendelea kupuuzwa.
Kamanda Simon Sirro unapaswa kujua kuwa mamilioni ya watanzania wanakuamini na wapo nyuma yako.
#nitasimama na jeshi la polisi#
#nitasimama na kamanda sirro#
#kazi iendelee#
View attachment 1911965
Mbowe kashitakiwa kwa kufadhili laki 6 wanasema mbona ndogo? Sasa hivi wanahamasishana kuchanga hela mchana kweupe kupitia CRDB hizi zitatumika kwa ugaidi huohuo. Hmohumo zitapitishwa hela chafu za wizi, utapeli, za kodi, za rushwa, za umalaya, nk, zitaingia CRDB kama "michango ya hiari", hapo utakuta hela chafu imeshafuliwa laundry.Kumekuwa na siasa chafu zinazofanya na wafuasi wa chama cha upinzani dhidi ya kamanda Sirro na jeshi la polisi. Hawa watu wamekosa shukrani kabisa, jeshi la polisi linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inakuwa salama.
Ukweli ni kuwa bila hili Jeshi la Polisi kufanya kazi kiuweledi Leo hii nchi ingekuwa haina amani. Hivyo ninakemea propaganda na siasa chafu zote na ninaomba jeshi la polisi liendelee kufanya kazi ili Tanzania yetu ibaki salama.
Kamanda Sirro ni moja ya wanausalama ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na hii imepelekea wahalifu wengi kushindwa kutenda uhalifu.
Hivyo hii vita ya kumuona Sirro hafai inafanywa na mtandao wa kiuhalifu ambao wanatamani kuona jeshi la polisi likishindwa kutimiza majukumu yao. Lakini kwa bahati nzuri watu hao wameendelea kupuuzwa.
Kamanda Simon Sirro unapaswa kujua kuwa mamilioni ya watanzania wanakuamini na wapo nyuma yako.
#nitasimama na jeshi la polisi#
#nitasimama na kamanda sirro#
#kazi iendelee#
View attachment 1911965
Gaidi mbowe hachomoki kule hata ufanyeje?Mnafiki tu wewe!
Yule si alikuwa ni kada mtiifu Lumumba ?! Au ...Chadema wanajificha kwa lile gaidi lililokufa juzi ili kulitukana jeshi la police nitashangaa kama rais ataendelea kuwaamini hawa wahuni
Nyie hamjielewi na wapuuzi tuAkina country wide nyie ndio wale wambabikiaji ukisema yanayolalamikiwa hayana uzito utakuwa mwongo na mchochezi na unazidisha hasira za watu na kuibua wengine kwa hasira.
Wewe ndio mnafki, mbona hujaandamana gaidi alipokamatwa?Mnafiki tu wewe!
Wewe unanipinga Kama Nani na ukiwa wapi?Unakemea kama nani na ukiwa wapi?
Au hiliHili ndiyo jeshi la Polisi unalolitetea kuwa lisitukanwe?
View attachment 1912096
Nikiwa juu ya mlima huku nakuangalia kama nyumba inaungua.Wewe unanipinga Kama Nani na ukiwa wapi?
kwa hiyo wewe na Raisi SSH wewe unajua zaidi,au ndio kujitoa ufahamuKumekuwa na siasa chafu zinazofanya na wafuasi wa chama cha upinzani dhidi ya kamanda Sirro na jeshi la polisi. Hawa watu wamekosa shukrani kabisa, jeshi la polisi linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inakuwa salama.
Ukweli ni kuwa bila hili Jeshi la Polisi kufanya kazi kiuweledi Leo hii nchi ingekuwa haina amani. Hivyo ninakemea propaganda na siasa chafu zote na ninaomba jeshi la polisi liendelee kufanya kazi ili Tanzania yetu ibaki salama.
Kamanda Sirro ni moja ya wanausalama ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na hii imepelekea wahalifu wengi kushindwa kutenda uhalifu.
Hivyo hii vita ya kumuona Sirro hafai inafanywa na mtandao wa kiuhalifu ambao wanatamani kuona jeshi la polisi likishindwa kutimiza majukumu yao. Lakini kwa bahati nzuri watu hao wameendelea kupuuzwa.
Kamanda Simon Sirro unapaswa kujua kuwa mamilioni ya watanzania wanakuamini na wapo nyuma yako.
#nitasimama na jeshi la polisi#
#nitasimama na kamanda sirro#
#kazi iendelee#
View attachment 1911965
Sirro hafai . ingefaa akapumzika.Kumekuwa na siasa chafu zinazofanya na wafuasi wa chama cha upinzani dhidi ya kamanda Sirro na jeshi la polisi. Hawa watu wamekosa shukrani kabisa, jeshi la polisi linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inakuwa salama.
Ukweli ni kuwa bila hili Jeshi la Polisi kufanya kazi kiuweledi Leo hii nchi ingekuwa haina amani. Hivyo ninakemea propaganda na siasa chafu zote na ninaomba jeshi la polisi liendelee kufanya kazi ili Tanzania yetu ibaki salama.
Kamanda Sirro ni moja ya wanausalama ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na hii imepelekea wahalifu wengi kushindwa kutenda uhalifu.
Hivyo hii vita ya kumuona Sirro hafai inafanywa na mtandao wa kiuhalifu ambao wanatamani kuona jeshi la polisi likishindwa kutimiza majukumu yao. Lakini kwa bahati nzuri watu hao wameendelea kupuuzwa.
Kamanda Simon Sirro unapaswa kujua kuwa mamilioni ya watanzania wanakuamini na wapo nyuma yako.
#nitasimama na jeshi la polisi#
#nitasimama na kamanda sirro#
#kazi iendelee#
View attachment 1911965
Huna point.Kumekuwa na siasa chafu zinazofanya na wafuasi wa chama cha upinzani dhidi ya kamanda Sirro na jeshi la polisi. Hawa watu wamekosa shukrani kabisa, jeshi la polisi linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inakuwa salama.
Ukweli ni kuwa bila hili Jeshi la Polisi kufanya kazi kiuweledi Leo hii nchi ingekuwa haina amani. Hivyo ninakemea propaganda na siasa chafu zote na ninaomba jeshi la polisi liendelee kufanya kazi ili Tanzania yetu ibaki salama.
Kamanda Sirro ni moja ya wanausalama ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na hii imepelekea wahalifu wengi kushindwa kutenda uhalifu.
Hivyo hii vita ya kumuona Sirro hafai inafanywa na mtandao wa kiuhalifu ambao wanatamani kuona jeshi la polisi likishindwa kutimiza majukumu yao. Lakini kwa bahati nzuri watu hao wameendelea kupuuzwa.
Kamanda Simon Sirro unapaswa kujua kuwa mamilioni ya watanzania wanakuamini na wapo nyuma yako.
#nitasimama na jeshi la polisi#
#nitasimama na kamanda sirro#
#kazi iendelee#
View attachment 1911965
Hao unaowasifia kufanya kazi usiku na mchana kwa kuwa wanalipwa na maisha yao yanategemea hiyo kazi.
Hata sisi wengine tunafanya kazi 24 hours kwa ajili ya matumbo yetu.
Kama wao polisi wanaona kazi hiyo ni nzito na nyeti waondoke watakuja wengine wenye interest!
kazi yako unafanya 24 hrs,unawezagoma na boss akaamka asubuhi kaajiri watu 8 wazuri kukuzidi.
hizi shughuli nyingine za watu waachieni wenyewe,maana kugoma ni kutangaza vita,na kuuza roho za watu.
Huna point.