Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,006
Ni juzi tu huyu Mama enu amesema jeshi la Sirro linabambikia watu kesi na kuwatesa mahabusu hadi kusababisha vifo.
Mleta mada sisi wananchi hatuna cha kumshukuru huyo Sirro kwasababu analipwa mshahara kwa kodi za wananchi wote na sio kodi za nyie mataga pori peke yenu.
Pambaf na nusu.
Mleta mada sisi wananchi hatuna cha kumshukuru huyo Sirro kwasababu analipwa mshahara kwa kodi za wananchi wote na sio kodi za nyie mataga pori peke yenu.
Pambaf na nusu.