Ninakemea siasa chafu na propaganda dhidi ya kamanda Sirro na Jeshi la Polisi

Ni juzi tu huyu Mama enu amesema jeshi la Sirro linabambikia watu kesi na kuwatesa mahabusu hadi kusababisha vifo.

Mleta mada sisi wananchi hatuna cha kumshukuru huyo Sirro kwasababu analipwa mshahara kwa kodi za wananchi wote na sio kodi za nyie mataga pori peke yenu.
Pambaf na nusu.
 
Kumekuwa na siasa chafu zinazofanya na wafuasi wa chama cha upinzani dhidi ya kamanda Sirro na jeshi la polisi. Hawa watu wamekosa shukrani kabisa, jeshi la polisi linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inakuwa salama.

Ukweli ni kuwa bila hili Jeshi la Polisi kufanya kazi kiuweledi Leo hii nchi ingekuwa haina amani. Hivyo ninakemea propaganda na siasa chafu zote na ninaomba jeshi la polisi liendelee kufanya kazi ili Tanzania yetu ibaki salama.

Kamanda Sirro ni moja ya wanausalama ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na hii imepelekea wahalifu wengi kushindwa kutenda uhalifu.

Hivyo hii vita ya kumuona Sirro hafai inafanywa na mtandao wa kiuhalifu ambao wanatamani kuona jeshi la polisi likishindwa kutimiza majukumu yao. Lakini kwa bahati nzuri watu hao wameendelea kupuuzwa.

Kamanda Simon Sirro unapaswa kujua kuwa mamilioni ya watanzania wanakuamini na wapo nyuma yako.
#nitasimama na jeshi la polisi#

#nitasimama na kamanda sirro#

#kazi iendelee#
View attachment 1911965
Wambie Polisi waache dhuruma
Hasira ya Mungu ni mbaya, wambie waache kuonea watu.
 
Kumekuwa na siasa chafu zinazofanya na wafuasi wa chama cha upinzani dhidi ya kamanda Sirro na jeshi la polisi. Hawa watu wamekosa shukrani kabisa, jeshi la polisi linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inakuwa salama.

Ukweli ni kuwa bila hili Jeshi la Polisi kufanya kazi kiuweledi Leo hii nchi ingekuwa haina amani. Hivyo ninakemea propaganda na siasa chafu zote na ninaomba jeshi la polisi liendelee kufanya kazi ili Tanzania yetu ibaki salama.

Kamanda Sirro ni moja ya wanausalama ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na hii imepelekea wahalifu wengi kushindwa kutenda uhalifu.

Hivyo hii vita ya kumuona Sirro hafai inafanywa na mtandao wa kiuhalifu ambao wanatamani kuona jeshi la polisi likishindwa kutimiza majukumu yao. Lakini kwa bahati nzuri watu hao wameendelea kupuuzwa.

Kamanda Simon Sirro unapaswa kujua kuwa mamilioni ya watanzania wanakuamini na wapo nyuma yako.
#nitasimama na jeshi la polisi#

#nitasimama na kamanda sirro#

#kazi iendelee#
View attachment 1911965
Mbowe kashitakiwa kwa kufadhili laki 6 wanasema mbona ndogo? Sasa hivi wanahamasishana kuchanga hela mchana kweupe kupitia CRDB hizi zitatumika kwa ugaidi huohuo. Hmohumo zitapitishwa hela chafu za wizi, utapeli, za kodi, za rushwa, za umalaya, nk, zitaingia CRDB kama "michango ya hiari", hapo utakuta hela chafu imeshafuliwa laundry.
 
Akina country wide nyie ndio wale wambabikiaji ukisema yanayolalamikiwa hayana uzito utakuwa mwongo na mchochezi na unazidisha hasira za watu na kuibua wengine kwa hasira.
Nyie hamjielewi na wapuuzi tu
 
Kumekuwa na siasa chafu zinazofanya na wafuasi wa chama cha upinzani dhidi ya kamanda Sirro na jeshi la polisi. Hawa watu wamekosa shukrani kabisa, jeshi la polisi linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inakuwa salama.

Ukweli ni kuwa bila hili Jeshi la Polisi kufanya kazi kiuweledi Leo hii nchi ingekuwa haina amani. Hivyo ninakemea propaganda na siasa chafu zote na ninaomba jeshi la polisi liendelee kufanya kazi ili Tanzania yetu ibaki salama.

Kamanda Sirro ni moja ya wanausalama ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na hii imepelekea wahalifu wengi kushindwa kutenda uhalifu.

Hivyo hii vita ya kumuona Sirro hafai inafanywa na mtandao wa kiuhalifu ambao wanatamani kuona jeshi la polisi likishindwa kutimiza majukumu yao. Lakini kwa bahati nzuri watu hao wameendelea kupuuzwa.

Kamanda Simon Sirro unapaswa kujua kuwa mamilioni ya watanzania wanakuamini na wapo nyuma yako.
#nitasimama na jeshi la polisi#

#nitasimama na kamanda sirro#

#kazi iendelee#
View attachment 1911965
kwa hiyo wewe na Raisi SSH wewe unajua zaidi,au ndio kujitoa ufahamu
 
Kwa hiyo unamkosoa Rais Samia aliyelitaka Jeshi la Polisi libadilike kwa vile utendaji kzii wake umekuwa ukiwakwaza wananchi?

Au wewe akili ni kidogo, kusikia shida, hata ukisikia huwa huelewi? Rais Samia hivi karibuni amesema nini kuhusu Jeshi la Polisi?
 
Tanzania inahitajibpolisi kama zilivyo nchi zingine zote.
Kihitaji polisi haina maana jeshi hili la polisi. Tunahitaji polisi kwenye weledi na sio hawa wa Siro wanao hangaika aidha kuiba au kula rusha na au kutetea CCM Kila uchao na kuumiza yeyote anayetaka mazingira bora ya haki ktk nchi.
Ukweli ni kuwa anae lipenda jeshi hili ni mtawala au kiongozi wa Ccm ambae anarahisishiwa kukandamiza asio wa penda na jeshi hili. Mtu mwingine yeyote haweza kuliunga mkono jeshi hili.
Kifupi ni jeshi kwa faida ya Ccm na watawala wake huku likiwa ni kero na maumivu kwa watanzania wengine wote.
Jeshi hili kiutendaji hakun tofauti na NEC.
 
Kumekuwa na siasa chafu zinazofanya na wafuasi wa chama cha upinzani dhidi ya kamanda Sirro na jeshi la polisi. Hawa watu wamekosa shukrani kabisa, jeshi la polisi linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inakuwa salama.

Ukweli ni kuwa bila hili Jeshi la Polisi kufanya kazi kiuweledi Leo hii nchi ingekuwa haina amani. Hivyo ninakemea propaganda na siasa chafu zote na ninaomba jeshi la polisi liendelee kufanya kazi ili Tanzania yetu ibaki salama.

Kamanda Sirro ni moja ya wanausalama ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na hii imepelekea wahalifu wengi kushindwa kutenda uhalifu.

Hivyo hii vita ya kumuona Sirro hafai inafanywa na mtandao wa kiuhalifu ambao wanatamani kuona jeshi la polisi likishindwa kutimiza majukumu yao. Lakini kwa bahati nzuri watu hao wameendelea kupuuzwa.

Kamanda Simon Sirro unapaswa kujua kuwa mamilioni ya watanzania wanakuamini na wapo nyuma yako.
#nitasimama na jeshi la polisi#

#nitasimama na kamanda sirro#

#kazi iendelee#
View attachment 1911965
Sirro hafai . ingefaa akapumzika.
 
Kumekuwa na siasa chafu zinazofanya na wafuasi wa chama cha upinzani dhidi ya kamanda Sirro na jeshi la polisi. Hawa watu wamekosa shukrani kabisa, jeshi la polisi linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inakuwa salama.

Ukweli ni kuwa bila hili Jeshi la Polisi kufanya kazi kiuweledi Leo hii nchi ingekuwa haina amani. Hivyo ninakemea propaganda na siasa chafu zote na ninaomba jeshi la polisi liendelee kufanya kazi ili Tanzania yetu ibaki salama.

Kamanda Sirro ni moja ya wanausalama ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na hii imepelekea wahalifu wengi kushindwa kutenda uhalifu.

Hivyo hii vita ya kumuona Sirro hafai inafanywa na mtandao wa kiuhalifu ambao wanatamani kuona jeshi la polisi likishindwa kutimiza majukumu yao. Lakini kwa bahati nzuri watu hao wameendelea kupuuzwa.

Kamanda Simon Sirro unapaswa kujua kuwa mamilioni ya watanzania wanakuamini na wapo nyuma yako.
#nitasimama na jeshi la polisi#

#nitasimama na kamanda sirro#

#kazi iendelee#
View attachment 1911965
Huna point.
 
Hao unaowasifia kufanya kazi usiku na mchana kwa kuwa wanalipwa na maisha yao yanategemea hiyo kazi.

Hata sisi wengine tunafanya kazi 24 hours kwa ajili ya matumbo yetu.

Kama wao polisi wanaona kazi hiyo ni nzito na nyeti waondoke watakuja wengine wenye interest!

kazi yako unafanya 24 hrs,unawezagoma na boss akaamka asubuhi kaajiri watu 8 wazuri kukuzidi.

hizi shughuli nyingine za watu waachieni wenyewe,maana kugoma ni kutangaza vita,na kuuza roho za watu.
 
Uzuri ni kuwa malalamiko ya maraia yalisemwa tena hadharani na The Top Boss.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom