Ninaishi Arusha, na leo nimeamua kujiunga na CHADEMA...

... kwa nini nimeamua hivi?
1. Siku zote nimekuwa najua na kuona udhaifu wa serikali, ila nimekuwa naamini kuwa criticism zinazotolewa serikali itazisikia.

2. Nilidhani magamba wana mapenzi na nchi hii kumbe nilikuwa najidanganya. Ukweli ni kuwa magamba hawaitakii mema nchi hii!

Nilichoamua:

Nitachukua personal loan na nitumie pesa hiyo kwenda Kitunda kuelimisha watu wa huko ili nao wabadilishe fikra. (Kwa msiojua Kitunda iko wapi basi ni Tabora kusini kuelekea Mbeya).
Haaa kweli hizi ni fikra za kunywa viroba na ndumu zikiisha kichwani utajutia uamuzi huu wa kipuuziii
 
karibu kamanda, uwalete na wenzio uliwaacha huko nao waje hili gari kubwa wote tutaenea humu
 
Ndugu umepotea njia

Bange ikiisha kichwani fikiria upya uamuzi wako..

umeanda kwa chama cha wajasiriamali..trust me


Hata wewe madawa ya kulevya uliyojidunga yakiisha kichwani kwako, utajiunga CHADEMA.
Who can TRUST MAFISAFI KAMA NYIE MAGAMBA?????
 
Hiyo ni haki yako ya Kikatiba ya kujiunga na Chama chochote cha siasa ukipendacho ila si kwa kuwa unaishi Arusha ndo umelazimika kujiunga na Chadema,vyama vingine haujaviona? Munaaminishwa kuwa Chadema ndo suluhisho la matatizo yako yote? Mimi siamini katika hilo kwakuwa viongozi wengi wa Chadema nawaona kuwa ni wababaishaji tu!

Tusha wazoea kuhukumu bila ushahid ndo zenu,na kwa kusema uwongo mwajua sana.
 
Ndugu umepotea njia

Bange ikiisha kichwani fikiria upya uamuzi wako..

umeanda kwa chama cha wajasiriamali..trust me

Mtu huyawaza yaujazayo moyo wake. Kwa mantiki hiyo umetutangazia hapa (japo kwa bahati mbaya na si kwa kukusudia) kuwa WEWE NI MVUTA BANGI!

No wonder unadhani kushabikia ccm hii ya leo ndio njia sahihi! Unless wewe unanufaika na uozo uliopo au ni zezeta huwezi kuwa na mapenzi na ccm.
 
Haaa kweli hizi ni fikra za kunywa viroba na ndumu zikiisha kichwani utajutia uamuzi huu wa kipuuziii

Kama kujua ukweli ni upuuzi, kama kukataa kutumiwa ni upuuzi, na kama kutambua na kukubaliana na hali halisi kwa manufaa ya vizazi vijavyo nchini kwetu ni upuuzi basi nitaukumbatia upuuzi! Na ninajua by 2015 nchi hii itaongozwa na "wapuuzi" kwa kuwa "wapuuzi" tunaongezeka kila kukicha.

Kawaambie wanaokutuma habari ndio hiyo!
 
... kwa nini nimeamua hivi?
1. Siku zote nimekuwa najua na kuona udhaifu wa serikali, ila nimekuwa naamini kuwa criticism zinazotolewa serikali itazisikia.

2. Nilidhani magamba wana mapenzi na nchi hii kumbe nilikuwa najidanganya. Ukweli ni kuwa magamba hawaitakii mema nchi hii!

Nilichoamua:

Nitachukua personal loan na nitumie pesa hiyo kwenda Kitunda kuelimisha watu wa huko ili nao wabadilishe fikra. (Kwa msiojua Kitunda iko wapi basi ni Tabora kusini kuelekea Mbeya).

Hongera sana kwa uamuzi wako wa kimapinduzi.Taifa hili linauhitaji sana mchango wako kupitia CHADEMA.Kila la heri.
 
Back
Top Bottom