johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,947
- 141,922
Hesabu zinazopigwa sasa ni za kufikirisha zaidi kuliko kuzishabikia. CAG anaweza kuwa chambo tu cha kuifanya equation ibalance yaani una mihimili mitatu yenye madaktari wanaoongea lugha moja ya kisomi.
Wewe unaamini Kitwanga alilewa bungeni?
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Wewe unaamini Kitwanga alilewa bungeni?
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!