Ninahisi nina kibamia...

Ninahisi nina kibamia...

Maisha sio rafiki wengine tunalalamikiwa ligobore lina waumiza kizazi wengine kibamia haya pole mdogo angu subiri ukue litaongezeka
 
pole sana mkuu maana ukishambiwa na wanawake ni hatari zaidi mkuu, hata sisi tukisema sio kibamia ila wao wameshasema kuna hatari sana ya kujiamini kwao .
 
Shida sio yako ila hao unaokutana nao mabwawa waliyonayo isiwe sababu ya kukunyanyasa, siku nyingine wakisema hivyo we wajibu wanamashimo makubwa mno kwani yamekuwa ya halaiki au ni ya halmashauri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
imani inayojengeka sasa hivi ni kwamba kama huna mashine kubwa basi utafute hela, ila hawajui kuwa hapohapo wameshajenga maana nyingine kwamba kama una mashine kubwa basi hela utatafutiwa na wanawake.

ila pia wanasahau mwanamke anachoka kumuhudumia mwanaume, itafikia pahala atachoka kukuhudumia hata kama una dudu kama chupa ya dawa ya mbu.

mimi nakumbusha tu kuwa jukumu la kutafuta pesa ni la kila mwanaume. tusijengeane fikira potofu na kupandikizana roho za uvivu. mke na watoto wanahitaji kula chakula sio mboo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
imani inayojengeka sasa hivi ni kwamba kama huna mashine kubwa basi utafute hela, ila hawajui kuwa hapohapo wameshajenga maana nyingine kwamba kama una mashine kubwa basi hela utatafutiwa na wanawake.

ila pia wanasahau mwanamke anachoka kumuhudumia mwanaume, itafikia pahala atachoka kukuhudumia hata kama una dudu kama chupa ya dawa ya mbu.

mimi nakumbusha tu kuwa jukumu la kutafuta pesa ni la kila mwanaume. tusijengeane fikira potofu na kupandikizana roho za uvivu. mke na watoto wanahitaji kula chakula sio mboo.

Sent using Jamii Forums mobile app
sielewi kwanini wenye vibamia wanaamini wenye mikuyenge hawaombwi hela. na sisi tunachunwa kama kawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom