Ninahisi mwana anafanya shughuli haramu

Ninahisi mwana anafanya shughuli haramu

Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.

Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.

Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Labda ni bwabwa tayari. Vijana wamekuwa laini laini sana.
 
Au unaweza kukuta huyo jamaa asiye na kazi alafu anakula bata ndio huyu mleta mada alafu huyo tunaeambiwa mlabata hana kazi ndio huyo jamaa anayemuepuka mteta mada. Uwenda kaleta mada hii ili aone jamii inamchukuliaje mtu mlabata asiye na kazi

Acha ufala,mimi nimeleta hii mada ili niweze kuona naweza jitenga vipi na huyo mtu ili hata kama anafanya shughuli ovu nimkwepe.
 

Huu Uzi unatosha kuelezea Kariba ya mtoa hoja

Angekuwa anafanya kazi inayojulikana yes ungesema namwonea wivu,ila sio kwa complications hizo
 
Kuligana na topic zako za nyuma wewe mwenyewe ni shoga
 
Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.

Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.

Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Yaani muda wa dhiki, muda wa kulima na kupalilia ulikuwa na mwana ila sasa muda wa faraja, muda wa kuvuna na kula ndo unajiondoa? Ukisikia kupishana na Gari ya mshahara ndo huko sasa...... 😂😂😂
 
Kumbe hii ndiyo akili yako, i feel sorry for you
Vijana wa siku hizi tunapenda mteremko, ndio maana baada ya kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke ndani ya wiki moja ni lazima tungeuliza "unajishughulisha na nini?" Akisema hakuna kitu anafanya lazima tukimbie!


Tunatumia fursa!
 
Au unaweza kukuta huyo jamaa asiye na kazi alafu anakula bata ndio huyu mleta mada alafu huyo tunaeambiwa mlabata hana kazi ndio huyo jamaa anayemuepuka mteta mada. Uwenda kaleta mada hii ili aone jamii inamchukuliaje mtu mlabata asiye na kazi
Nimecheka kwa sauti mpaka mama mkwe kaja kunichungulia humu chumbani!
 
Vijana wa siku hizi tunapenda mteremko, ndio maana baada ya kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke ndani ya wiki moja ni lazima tungeuliza "unajishughulisha na nini?" Akisema hakuna kitu anafanya lazima tukimbie!


Tunatumia fursa!
Unajisifia kabisa ?? Aisee
 
Hivi ikitokea mwanaume anaomba achakatwe, si na yeye anaweza kutaka amchakate mchakataji pia? Je, mchakataji atakaa wakati wapo chumbani na kaishamchakata mwanaume mwenzake?

Binafsi naona, unaweza kuwa mchakataji, mwisho wa siku ukachakatwa. Dawa, ni kukaa mbali na hayo mambo ya kuchakata wanaume, kwa sababu unaweza kugeuzwa pia!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
True say bro, ila kwa sasa mashoga wameongezeka sana na wengine ni wazee kabisa.
 
Ulikuwa nanafuhia sana kumuona yupo nyuma wewe upo mbele. Now amejiweza kidogo unavunja ukaribu, Bado tunguli tu lakini umeshaiva.
 
Half nyie hamjui kuna mishe hapa nchini zinaenda chini kwa chini...!!kam anapiga picha hotel tfaut tfaut maanake ana kazi kuzibua watu mitaro...watalii wengi hua wanatakaga huduma hyo...!!so unaacha contacts mahotelin...likija dili unapigiwa
 
Akiona unamfatilia sana atakuambia Kuna jimama linamtunza lakini ukijiongeza kidogo utagundua kuna watu wa DAWASCO wanachimbua mtaro. Akili mukichwa.

Hii ya kusema eti majimama yanatoa hela aisee wanawake no mabahili sana very few huwa wanahonga kwa ajili ya kuliwa.

Hawa vijana wasikudanganye huyo utakuja kusikia tu hawezi kukaa straight lazima akalie Kota moja
 
Hajamla, ni Mwanangu hawezi nificha huyo boss anaishi hizi nyumba za GSM zipo pale round about ya Whitesands. Jambo lingine alimuuliza kama anaeza pata demu alafu aende nae kwenye apartment amchakate mbususu yeye akiwa anaangilia. Anasema anakuwa na Furaha akiona mwanaume anachakata mbususu mbele yake.
Wanakulana, acha ubishi.
 
Back
Top Bottom