miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,409
- 11,053
Hahaha anaogopa asije ambiwa yeye ndo anakula zigoooAnajitenga nae anaogopa atamwambukiza harufu ya kinyeo![]()
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hahaha anaogopa asije ambiwa yeye ndo anakula zigoooAnajitenga nae anaogopa atamwambukiza harufu ya kinyeo![]()
Ha ha ha dah, hv African morals zetu zimeenda wapi? I real wish yale mambo ya jando yarudi. Mwanangu asikaribu nitakata hiko kinyeo. Ila hawa baba wadogo, wajomba na kaka wanatuharibia sana watoto manyoko. Hata mahausigel wanaharibu vitoto. Kiufupi dunia imekua jalalaMadogo wanapenda slope sana. Yote yanawezekana
Una miaka mingapi? How big is ur reasoning capacity?Umejuaje
Kuna uzi umeandika kuwa una WIVU nahisi ndio tatizo huyo mshikaji wako yuko sawa kujitenga na watu wenye wivu.
Usikute mwana mwenyewe ndo wewe!!!Hamuogopi laana na magonjwa mkuu
Msomali huyu

Kama manarAkiona unamfatilia sana atakuambia Kuna jimama linamtunza lakini ukijiongeza kidogo utagundua kuna watu wa DAWASCO wanachimbua mtaro. Akili mukichwa.
Hii ya kusema eti majimama yanatoa hela aisee wanawake no mabahili sana very few huwa wanahonga kwa ajili ya kuliwa.
Hawa vijana wasikudanganye huyo utakuja kusikia tu hawezi kukaa straight lazima akalie Kota moja![]()
Madimpozi kawa shoga kabisaAngalia itakuwa anatafunwa kama wasanii wetu wengi nasikia wanatafunwa ndo wanapata hela ya kumiliki magari ya kifahali na show off
Kumbe hii ndiyo akili yako, i feel sorry for you
Wenzako tunalelewa na ma sugar mamaa!
Kikubwa, shoo ya kibabe!
Huenda ana jimama lenye hela au huenda anakula jicho la bottom au yeye anatoaNaomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.
Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.
Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Kuwa makini siku hizi vijana ni wake za watu.Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.
Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.
Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Pshop
Hivi ikitokea mwanaume anaomba achakatwe, si na yeye anaweza kutaka amchakate mchakataji pia? Je, mchakataji atakaa wakati wapo chumbani na kaishamchakata mwanaume mwenzake?Hajamla, ni Mwanangu hawezi nificha huyo boss anaishi hizi nyumba za GSM zipo pale round about ya Whitesands. Jambo lingine alimuuliza kama anaeza pata demu alafu aende nae kwenye apartment amchakate mbususu yeye akiwa anaangilia. Anasema anakuwa na Furaha akiona mwanaume anachakata mbususu mbele yake.
Katika hayo macho matatu kuna jicho moja linatumika sanaa.Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.
Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.
Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved