Ninahisi mwana anafanya shughuli haramu

Ninahisi mwana anafanya shughuli haramu

Madogo wanapenda slope sana. Yote yanawezekana
Ha ha ha dah, hv African morals zetu zimeenda wapi? I real wish yale mambo ya jando yarudi. Mwanangu asikaribu nitakata hiko kinyeo. Ila hawa baba wadogo, wajomba na kaka wanatuharibia sana watoto manyoko. Hata mahausigel wanaharibu vitoto. Kiufupi dunia imekua jalala

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kuna uzi umeandika kuwa una WIVU nahisi ndio tatizo huyo mshikaji wako yuko sawa kujitenga na watu wenye wivu.

Huu Uzi unatosha kuelezea Kariba ya mtoa hoja
 
Kuna namna Waafrika tuna Unafikii wa hali ya Juuu ikiwemo hili la Kutokuambiana ukwelii kuhusu mambo flani ukihisi yanaenda sivyoo ndivyoo kwa kudhani sio Wajibu wetu kwa marafiki zetuu...

Ushaurii Siku mtegee tu jamaa mwambie oyaa mzee dili zako za maana sana na mimi nataka nitobboe nipe Hint bhasi nifanyajeee..??? Kama anafanta jambo sahihi ni rahisi ila kama ni Ilegal hatakwambiaaa.. Mtu hajaajiriwa...hafanyi kazi yoyote unaonaa ana Mahela wew hata kuhoji huwezi hicho ndo Kitu wazungu wametushinda piaa..
 
Shida ni roho mbaya , tunatabia ya kupimia kiwango Cha maisha , huyu ni wachini, akinuka kidigo vimaneno oooh shoga, ooooh pesa za kichiwi!!
 
Masugar mamy huwa hawahongi namna hiyo tena kwa haraka.

Wanaume ndio tuna kariba hiyo ya kutoa vitu vya gharama hata kwa manzi mliefahamiana siku 2 tu.
Kwakweli kaa mbali na jamaa na kama ndo mlikua mnaishi geto moja akija we kalale hata gesti.
Kama sio kuliwa jicho, SIJUI.
 
Akiona unamfatilia sana atakuambia Kuna jimama linamtunza lakini ukijiongeza kidogo utagundua kuna watu wa DAWASCO wanachimbua mtaro. Akili mukichwa.

Hii ya kusema eti majimama yanatoa hela aisee wanawake no mabahili sana very few huwa wanahonga kwa ajili ya kuliwa.

Hawa vijana wasikudanganye huyo utakuja kusikia tu hawezi kukaa straight lazima akalie Kota moja
Kama manar
 
Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.

Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.

Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Huenda ana jimama lenye hela au huenda anakula jicho la bottom au yeye anatoa
 
Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.

Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.

Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Kuwa makini siku hizi vijana ni wake za watu.
 
Au unaweza kukuta huyo jamaa asiye na kazi alafu anakula bata ndio huyu mleta mada alafu huyo tunaeambiwa mlabata hana kazi ndio huyo jamaa anayemuepuka mteta mada. Uwenda kaleta mada hii ili aone jamii inamchukuliaje mtu mlabata asiye na kazi
 
Hajamla, ni Mwanangu hawezi nificha huyo boss anaishi hizi nyumba za GSM zipo pale round about ya Whitesands. Jambo lingine alimuuliza kama anaeza pata demu alafu aende nae kwenye apartment amchakate mbususu yeye akiwa anaangilia. Anasema anakuwa na Furaha akiona mwanaume anachakata mbususu mbele yake.
Hivi ikitokea mwanaume anaomba achakatwe, si na yeye anaweza kutaka amchakate mchakataji pia? Je, mchakataji atakaa wakati wapo chumbani na kaishamchakata mwanaume mwenzake?

Binafsi naona, unaweza kuwa mchakataji, mwisho wa siku ukachakatwa. Dawa, ni kukaa mbali na hayo mambo ya kuchakata wanaume, kwa sababu unaweza kugeuzwa pia!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.

Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.

Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Katika hayo macho matatu kuna jicho moja linatumika sanaa.
 
Back
Top Bottom