Ninaapa kwa Jina la Mungu aliye hai, Mahakama ya ICC inatoa Arrest Warrant ya Samia ndani ya mwaka huu. Serikali ijiandae kwa transfer of power

Ninaapa kwa Jina la Mungu aliye hai, Mahakama ya ICC inatoa Arrest Warrant ya Samia ndani ya mwaka huu. Serikali ijiandae kwa transfer of power

Mkuu kesi ya Netanyau iliendeshwa kwa haraka sana kwasababu waliofungua kesi walitaka uharaka huo.
Kesi dhidi ya serikali ya Tanzania imefunguliwa na makundi mbalimbali, kwa taarifa ya uhakika ni kuwa wameshaitaarifu mahakama ya ICC kuwa wao wapo tayari kuonesha ushahidi hivyo ICC wapange section.

Kibaya ni kuwa Serikali yetu inatimia kodi yetu vibaya kwa kuanza kununua mafia ili ianze kushughulikia hao wanasheria waliofungua kesi...taarifa hizi pia zimeshafikishwa ICC.

Ambao hatupo Tanzania hatujalala sana, tupo tunacheza karata vizuri...yale mataifa yanayoisaidia viongozi wa Tanzania kutaka kuchomoka kwenye hii kesi wanatoa terms ngumu sana ni sawa na kuitawala Serikali.

Ni patamu sana.

Stay tuned
Let's hope so
 
Nani anamwombea mabaya huyo muuaji?

Kwani sie ndo tulimwambia aue ndugu zetu? Si yeye Wambura, Mombo na Mkunda ndo waliendesha hizo operesheni za kuuwa Watanganyika?

Si mwanae Abdul na Mkwewe Mchengerwa walioingiza hao mercenaries kupitia TISS waliotoka Uganda, Zanzibar na Burundi kuja kuwaua Watanganyika?

Kila mtu ale alikopeleka mboga! Ajiandae kutafuta mawakili wa kumtetea tu.
Kelele za chura tu hizo. Tokea mmeanza kupiga mikelele yenu hakuna ht mlichobadili kwenye utawala na ndo kwaaanza CCM wameamuq kuwafukuza kabisa kwenye uchaguzi wao. Wamewafungia chama chenu, wamemtia ndani Lissu wenu nyie mmebaki kulishana matango pori tu humu. Hebu kuweni na akili kidogo. Kwa mtindo wenu wa matusi na kutegemea wazungu mtasubiri sana
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kelele za chura tu hizo. Tokea mmeanza kupiga mikelele yenu hakuna ht mlichobadili kwenye utawala na ndo kwaaanza CCM wameamuq kuwafukuza kabisa kwenye uchaguzi wao. Wamewafungia chama chenu, wamemtia ndani Lissu wenu nyie mmebaki kulishana matango pori tu humu. Hebu kuweni na akili kidogo. Kwa mtindo wenu wa matusi na kutegemea wazungu mtasubiri sana
Stay tuned
 
Watatajana wote. Kazi yetu sie ni kuongeza kuni tu ili moto wake vizuri.

Walitudharau sana Wananchi hawa mbwa. Acha Mungu awaoneshe vizuri mwaka huu.

Mungu pia awabariki sana Wazungu hasa wa Ulaya na Marekani. Hawa ni watu wa maana sana kuwepo duniani.
Hayati Nyerere alikosea sana kufungamana na Ujamaa wa Russia na China. Amechochea taifa kuwa na wajinga wengi zaidi.
 
AHAAA AHAAA huwa unajipaga shida sana za kusadikika utakuwa umeshapata vidonda vya tumbo kwa kuomba na kufunga visivyowezekana, EBU OGA KULA VIZURI, KUNYWA KIASI HALAFU ULALE VIZURI NAHISI UNAUWA
Anajipa moyo, huku akiandika asichokifahamu kila siku.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Vipi umeshindwa kuandamana kuitoa madarakani umebakiza kuapa mtandaoni?

Kweli Nyumbu ni chakula cha mamba , andamaneni tena muone shwaini.
Muache aendelee kuishi kwa matumaini. Hilo tatizo wanalo wanaharakati wengi.

Kujenga hoja za taharuki ili aweze kulipwa pesa na mashirika ya kigeni.
 
NASONONEKA MNO KWA IDADI ILE NDOGO YA WALIOSHUGHULIKIWA NAOMBA MUNGU WAJIMIX MARA YA MWISHO TU TUFUTE KIZAZI CHA MAJAMBAZI TANZANIA
Hapo sasa umeongea kilicho moyoni mwako baada ya kuelewa kuwa wewe ni CHAWA mwenye uwezo mdogo kiakili
 
Kuna tabia imeanza kuzuka ya Madikteta kuzima internet na kuanza kuua watu ili kuficha ushahidi.

Ilianza Tanzania alifanya Samia, ikaja Iran kafanya Ayatollah na juzi kafanya Museveni Uganda.

Anayetolewa mfano kuwajibishwa ili iwe onyo kwa Madikteta wengine wote ni Samia.

Wazungu achana nao kabisa.

Stay tuned.

Tupo kwenye demokrasia, maandamano ni form of expression na ni haki ya kila mtu.

Kwanini wasingetumia njia nyingine kama risasi za mpira na mabomu ya machozi? Na bado wakiwakamata wanawaua hapo hapo, kwanini wasiwaruhusu wajitetee kisheria?

Wenzetu waliostaarabika sio kwamba hawaandamani na kuchoma mali ila kuna utawala wa sheria na haki ya kuishi inaheshimiwa.

Huna hoja.
Walilkuwa wengi na wangeumiza sana raia wema , kihalali wale walitakiwa kupigwa na RPG rapid shooting , yaaani kuwamwagia mvua sio kama vile mmoja moja , WALIONEWA HURUMA SANA
 
Hili ninalisema nikiwa na uhakika nalo wa asilimia zaidi ya 100.

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai( ICC) inaenda kutoa Hati ya Kukamatwa kwa Samia na watu kadhaa wa Serikali yake mwaka huu 2026 kwa matukio ya mauaji na kupoteza watu wakati wa uchaguzi na mengine kabla ya Uchaguzi.

Atakayekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiandae kuishauri Serikali kuhusu mustakabali wa Taifa baada ya jambo hili ambalo hakika linaenda kuitengeneza Tanzania Mpya.

Furaha yangu kuu ni kwamba, sasa rasmi, jambo pekee la kurudisha heshima ya Mtanzania linaenda kutimia na kuleta heshima ya kweli kwa wananchi wa kawaida wa Tanzania na kufanya Viongozi na Serikali wawaheshimu kweli Wananchi na kufanyia kazi matakwa yao ikiwemo Katiba Mpya iliyo bora linaenda kutokea kwa mara ya kwanza mwaka huu 2026.

Stay tuned.
Wewe jifariji, sikitika tanzanite yote inaenda kuhongwa Kwa mabeberu na watamwachia huru
 
Walilkuwa wengi na wangeumiza sana raia wema , kihalali wale walitakiwa kupigwa na RPG rapid shooting , yaaani kuwamwagia mvua sio kama vile mmoja moja , WALIONEWA HURUMA SANA
Jiandaeni kueleza hayo ICC alafu subirieni matokeo yake.
 
Jiandaeni kueleza hayo ICC alafu subirieni matokeo yake.
ICC ni kijiwe cha kahawa kwa mabwege tu , siku hizi wakikuzingua unajitoa tu uanachama, Uanachama ni hiari na hiyo kesi nyepesi sana Majambazi walionekana kabisa kwenye video walivyokuwa wanavamia kuharibu na kukata vidole waliotoka kupiga kura , TENA JUDGE ANAWEZA KUOMBA MAFWELE NA AWADH wapewe tuzo ahaaa ahaaaa kwa kazi nzuri ,maaana hata diplomats walikuwa kwenye hatari wale majangili wangeachwa massaaa kadhaaa mbele
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Wewe ni dini gani unafurahia Watanganyika kuuawa kisa umepewa fedha?Laana na iwe juu yako wewe na uko wako na fedha ulizopewa ziishie kwenye matibabu .
RC. Hata Mfalme Daudi alipigana na Wafilisti na aliwaua. Na anaenziwa kama ndiye Mfalme wa Wayahudi
 
Walilkuwa wengi na wangeumiza sana raia wema , kihalali wale walitakiwa kupigwa na RPG rapid shooting , yaaani kuwamwagia mvua sio kama vile mmoja moja , WALIONEWA HURUMA SANA
ndugu TUI mbona umecheka namna hiyo? 😉😉😉
 
Back
Top Bottom