Ninaapa kwa Jina la Mungu aliye hai, Mahakama ya ICC inatoa Arrest Warrant ya Samia ndani ya mwaka huu. Serikali ijiandae kwa transfer of power

Ninaapa kwa Jina la Mungu aliye hai, Mahakama ya ICC inatoa Arrest Warrant ya Samia ndani ya mwaka huu. Serikali ijiandae kwa transfer of power

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Hili ninalisema nikiwa na uhakika nalo wa asilimia zaidi ya 100.

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai( ICC) inaenda kutoa Hati ya Kukamatwa kwa Samia na watu kadhaa wa Serikali yake mwaka huu 2026 kwa matukio ya mauaji na kupoteza watu wakati wa uchaguzi na mengine kabla ya Uchaguzi.

Atakayekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiandae kuishauri Serikali kuhusu mustakabali wa Taifa baada ya jambo hili ambalo hakika linaenda kuitengeneza Tanzania Mpya.

Furaha yangu kuu ni kwamba, sasa rasmi, jambo pekee la kurudisha heshima ya Mtanzania linaenda kutimia na kuleta heshima ya kweli kwa wananchi wa kawaida wa Tanzania na kufanya Viongozi na Serikali wawaheshimu kweli Wananchi na kufanyia kazi matakwa yao ikiwemo Katiba Mpya iliyo bora linaenda kutokea kwa mara ya kwanza mwaka huu 2026.

Stay tuned.
 
Hili ninalisema nikiwa na uhakika nalo wa asilimia zaidi ya 100.

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai( ICC) inaenda kutoa Hati ya Kukamatwa kwa Samia na watu kadhaa wa Serikali yake mwaka huu 2026 kwa matukio ya mauaji na kupoteza watu wakati wa uchaguzi na mengine kabla ya Uchaguzi.

Atakayekuwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiandae kuishauri Serikali kuhusu mustabali wa Taifa baada ya jambo hili ambalo hakika linaenda kuitengeneza Tanzania Mpya.

Furaha yangu kuu ni kwamba, sasa rasmi, jambo linaloenda kuleta heshima ya kweli kwa wananchi wa kawaida wa Tanzania na kufanya Viongozi na Serikali wawaheshimu kweli Wananchi na kufanyia kazi matakwa yao ikiwemo Katiba Mpya iliyo bora linaenda kutokea kwa mara ya kwanza mwaka huu 2026.

Stay tuned.
AHAAA AHAAA huwa unajipaga shida sana za kusadikika utakuwa umeshapata vidonda vya tumbo kwa kuomba na kufunga visivyowezekana, EBU OGA KULA VIZURI, KUNYWA KIASI HALAFU ULALE VIZURI NAHISI UNAUWA
 
AHAAA AHAAA huwa unajipaga shida sana za kusadikika utakuwa umeshapata vidonda vya tumbo kwa kuomba na kufunga visivyowezekana, EBU OGA KULA VIZURI, KUNYWA KIASI HALAFU ULALE VIZURI NAHISI UNAUWA
Kwa namna nilivyo na uhakika wa jambo hili. Hata sitakujibu chochote wewe na wenzako wote mnaobadilisha id kuleta kejeli zenu.

Zungumzeni yote tena malizeni yote ila mwaka huu hauishi tunaufufua huu uzi.
 
Kwa namna nilivyo na uhakika wa jambo hili. Hata sitakujibu chochote wewe na wenzako wote mnaobadilisha id kuleta kejeli zenu.

Zungumzeni yote tena malizeni yetu ila mwaka huu hauishi tunaufufua huu uzi.
TENA UHAI WA MHALIFU NI LAAN KWA JAMIII AUWAWE MAPEMA NI UJINGA KUWAENDEKEZA TUNA WATU BILIONI 8 DUNIANI WAHALIFU WACHACHE WA NINI? TUACHE KULILIA RAIA WEMA WANAKUFA KWA AJALI TUWALILIE MAJAMBAZI? TANZANIA TUNA TATIZO KWENYE AKILI ZETU AISEEE
 
Tarehe 3 January mwaka huu... Nilidokezwa kwamba hii issue ipo real
Mwanzoni nilibisha...
Nikaambiwa zile picha zilizotumwa Kuna mpaka technology ya kujua zimepigwa sehemu Gani ya Dunia..

Yaani kama una simu ukapiga picha...na kushare sehemu.. wataalamu Wana uwezo wa kujua aina ya simu Yako na location pia na Tarehe ilipopigwa picha...

Kama picha au video zimetengenezwa wanajua....pia
Nilidokezwa ndio maana Kabudi ameweka Ikulu kwa ajili ya hii kazi..
Pia wameajiri kwa Siri waKenya wawili na Mzungu mmoja jinsi ya kucheza hili sebene linalokuja...nafikiri kuanzia March ICC watatangaza kuanza uchunguzi rasmi kwenye media za Dunia..
Jamaa hawana haraka...wanakagua vitu vingi kwa wakati mmoja
 
Tarehe 3 January mwaka huu... Nilidokezwa kwamba hii issue ipo real
Mwanzoni nilibisha...
Nikaambiwa zile picha zilizotumwa Kuna mpaka technology ya kujua zimepigwa sehemu Gani ya Dunia..

Yaani kama una simu ukapiga picha...na kushare sehemu.. wataalamu Wana uwezo wa kujua aina ya simu Yako na location pia na Tarehe ilipopigwa picha...

Kama picha au video zimetengenezwa wanajua....pia
Nilidokezwa ndio maana Kabudi ameweka Ikulu kwa ajili ya hii kazi..
Pia wameajiri kwa Siri waKenya wawili na Mzungu mmoja jinsi ya kucheza hili sebene linalokuja...nafikiri kuanzia March ICC watatangaza kuanza uchunguzi rasmi kwenye media za Dunia..
Jamaa hawana haraka...wanakagua vitu vingi kwa wakati mmoja
Taarifa nilizonazo ni zaidi ya hizo.

Stay tuned.
 
Hili ninalisema nikiwa na uhakika nalo wa asilimia zaidi ya 100.

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai( ICC) inaenda kutoa Hati ya Kukamatwa kwa Samia na watu kadhaa wa Serikali yake mwaka huu 2026 kwa matukio ya mauaji na kupoteza watu wakati wa uchaguzi na mengine kabla ya Uchaguzi.

Atakayekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiandae kuishauri Serikali kuhusu mustakabali wa Taifa baada ya jambo hili ambalo hakika linaenda kuitengeneza Tanzania Mpya.

Furaha yangu kuu ni kwamba, sasa rasmi, jambo pekee la kurudisha heshima ya Mtanzania linaloenda kutimia na kuleta heshima ya kweli kwa wananchi wa kawaida wa Tanzania na kufanya Viongozi na Serikali wawaheshimu kweli Wananchi na kufanyia kazi matakwa yao ikiwemo Katiba Mpya iliyo bora linaenda kutokea kwa mara ya kwanza mwaka huu 2026.

Stay tuned.
We jifurahishe tu, hakuna cha arrest warrant Wala nini.
Na mkileta tena nywi, nywii, nywiii tunapiga tena kwenye mshono.
Mtanyoooka tu
 
Hili ninalisema nikiwa na uhakika nalo wa asilimia zaidi ya 100.

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai( ICC) inaenda kutoa Hati ya Kukamatwa kwa Samia na watu kadhaa wa Serikali yake mwaka huu 2026 kwa matukio ya mauaji na kupoteza watu wakati wa uchaguzi na mengine kabla ya Uchaguzi.

Atakayekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiandae kuishauri Serikali kuhusu mustakabali wa Taifa baada ya jambo hili ambalo hakika linaenda kuitengeneza Tanzania Mpya.

Furaha yangu kuu ni kwamba, sasa rasmi, jambo pekee la kurudisha heshima ya Mtanzania linaloenda kutimia na kuleta heshima ya kweli kwa wananchi wa kawaida wa Tanzania na kufanya Viongozi na Serikali wawaheshimu kweli Wananchi na kufanyia kazi matakwa yao ikiwemo Katiba Mpya iliyo bora linaenda kutokea kwa mara ya kwanza mwaka huu 2026.

Stay tuned.
Ndugu mnaongea na kuandika mliyolishwa matango pori na media na wachochezi wa chadema na hao wengine, mimi sio mchama ila lile tukio ninalijua na nalichukia kuliko kawaida kwa sababu zifuatazo.

1. Polisi walikuwa hawana namna ya kuwatofautisha maana wakishakimbia hawana uniform au Identity wanaiba , wanachoma vitu kisha wanaingia kwenye majumba ya watu au waningia kwenye baaa ya mpira wanajifanya walikuwa wanaaangalia mpira , Polisi walikuwa wanataarifa sahihi kwa sababu kuna polisi wengi walimwagwa mtaani hawakuwa na uniform kwa hiyo ni uongo kusema eti walipigwa kwenye banda , ikitokea wa wale nyumbani kweli siwezi kubisha kwa sababu kwa ile panic lazima uwe unamwaga, TENA NAOBA NEXT TIME NTAWAOMBA POLSI NI VULUNTEEE KUWA DEDISHA HAO MBWA NITATANDIKA RISASI MPAKA MUNGU ATANISHIKA MKONO KAMA DAUDI EBU ACHA MAANA WANAKERA NA KUUDHI MPKA BASI,.

Pili. Ishara mbaya ni kufuata mali za watu binafsi kwa kisingizio ni za wana CCM ndio mtu ana haki ya kuchagua chama anachokipenda na kuamua matumizi ya hela yake unanipangiaje kwa kuniibia na kunichomea akina yangu ma juhudi zangu binafsi ambazo wewe mama yako baba yako bibi na babu zako hawajaweza kutengeneza kama mimi kisa wivu tu ? Mfano SHISHI NA BILLNASI ambao wanajulikana kidogo , ni watu wa kawaida sana na bado unawarudisha chini halafu uchekewe ? Mbona vimekufa vilivyokufa na dunia haijasimama . PIGA RISASI SAFI YA KICHWA.

Tatu:
Mimi nisingekaaa kuwachukia kama wangeandamana hata watu milioni moja wakielekea kwenye viwanja au wakifunga majengo ya serikali kushinikiza wasikilizwe kwa amani, au wachome vituo vya kura tu tujue ni issue ya uchaguzi, sasa waowalikuwa wanaingia kwa watu binafsi wanavunja jengo wainaingia ndani wanaiba wakimaliza wanachoma jengo ,mkiwazuia saa sita mchanawanarudi saa 10 , mkiwazuia wanarudi saa 3 usiku , mkiwazuia wanarudi tena saa 7 usiku saa 9 usiku hao tena mpaka u ajiuliza hawa ni majini wametumwa kutufilisi au nini? KUMAAAA MAAAE NINAWATAMANI NAOMBA MUNGU KWELI ITOKEE SIKU NIWEZE KULIPIZA KISASI KWA WALIOBAKI HAI HATA IWE MIAKA 5 MBELENI , YAANI MBWA YEYPTE SIKU AJICHANGANYE NITAPIGA RISASI RSF WA SUDANI WANASUBIRI

4 . Siku ya kwanza tu kabla hawajazima Internet nilionya kuwa aisee hawa jamaa wapigwe risasi haraka sana kabla hawajasabaaa uzembe wa polisi wakawaachia , ile ile 29 October Kimara wangepigwa kama 20 chap chap na magomeni 20 kwishney usingesikia huu upumbaVU
 
Hili ninalisema nikiwa na uhakika nalo wa asilimia zaidi ya 100.

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai( ICC) inaenda kutoa Hati ya Kukamatwa kwa Samia na watu kadhaa wa Serikali yake mwaka huu 2026 kwa matukio ya mauaji na kupoteza watu wakati wa uchaguzi na mengine kabla ya Uchaguzi.

Atakayekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiandae kuishauri Serikali kuhusu mustakabali wa Taifa baada ya jambo hili ambalo hakika linaenda kuitengeneza Tanzania Mpya.

Furaha yangu kuu ni kwamba, sasa rasmi, jambo pekee la kurudisha heshima ya Mtanzania linaloenda kutimia na kuleta heshima ya kweli kwa wananchi wa kawaida wa Tanzania na kufanya Viongozi na Serikali wawaheshimu kweli Wananchi na kufanyia kazi matakwa yao ikiwemo Katiba Mpya iliyo bora linaenda kutokea kwa mara ya kwanza mwaka huu 2026.

Stay tuned.
Sijui inawasaidia nini hii!
Hamjiulizi tu tokea mmekuwa mkimwombea mabaya Samia lepi mlifanikiwa?
Yaan akili zenu bado tu zinawatuma kuwa Mzungu anawapenda sana! Hakuna baya atalofanyiwa Samia unless atofautiane na maslahi ya Wazungu tu...
 
Hili ninalisema nikiwa na uhakika nalo wa asilimia zaidi ya 100.

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai( ICC) inaenda kutoa Hati ya Kukamatwa kwa Samia na watu kadhaa wa Serikali yake mwaka huu 2026 kwa matukio ya mauaji na kupoteza watu wakati wa uchaguzi na mengine kabla ya Uchaguzi.

Atakayekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiandae kuishauri Serikali kuhusu mustakabali wa Taifa baada ya jambo hili ambalo hakika linaenda kuitengeneza Tanzania Mpya.

Furaha yangu kuu ni kwamba, sasa rasmi, jambo pekee la kurudisha heshima ya Mtanzania linaloenda kutimia na kuleta heshima ya kweli kwa wananchi wa kawaida wa Tanzania na kufanya Viongozi na Serikali wawaheshimu kweli Wananchi na kufanyia kazi matakwa yao ikiwemo Katiba Mpya iliyo bora linaenda kutokea kwa mara ya kwanza mwaka huu 2026.

Stay tuned.
Transfer of power? To whom exactly?

Kuna maandalizi yoyote yanafanyika baada wa watu kunyakuliwa ICC?

Btw, Venezuela status quo inaendelea.
 
AHAAA AHAAA huwa unajipaga shida sana za kusadikika utakuwa umeshapata vidonda vya tumbo kwa kuomba na kufunga visivyowezekana, EBU OGA KULA VIZURI, KUNYWA KIASI HALAFU ULALE VIZURI NAHISI UNAUWA
Ni mgonjwa kweli huyo... Analala anaomuota Samia tu
 
Ndugu mnaongea na kuandika mliyolishwa matango pori na media na wachochezi wa chadema na hao wengine, mimi sio mchama ila lile tukio ninalijua na nalichukia kuliko kawaida kwa sababu zifuatazo.

1. Polisi walikuwa hawana namna ya kuwatofautisha maana wakishakimbia hawana uniform au Identity wanaiba , wanachoma vitu kisha wanaingia kwenye majumba ya watu au waningia kwenye baaa ya mpira wanajifanya walikuwa wanaaangalia mpira , Polisi walikuwa wanataarifa sahihi kwa sababu kuna polisi wengi walimwagwa mtaani hawakuwa na uniform kwa hiyo ni uongo kusema eti walipigwa kwenye banda , ikitokea wa wale nyumbani kweli siwezi kubisha kwa sababu kwa ile panic lazima uwe unamwaga, TENA NAOBA NEXT TIME NTAWAOMBA POLSI NI VULUNTEEE KUWA DEDISHA HAO MBWA NITATANDIKA RISASI MPAKA MUNGU ATANISHIKA MKONO KAMA DAUDI EBU ACHA MAANA WANAKERA NA KUUDHI MPKA BASI,.

Pili. Ishara mbaya ni kufuata mali za watu binafsi kwa kisingizio ni za wana CCM ndio mtu ana haki ya kuchagua chama anachokipenda na kuamua matumizi ya hela yake unanipangiaje kwa kuniibia na kunichomea akina yangu ma juhudi zangu binafsi ambazo wewe mama yako baba yako bibi na babu zako hawajaweza kutengeneza kama mimi kisa wivu tu ? Mfano SHISHI NA BILLNASI ambao wanajulikana kidogo , ni watu wa kawaida sana na bado unawarudisha chini halafu uchekewe ? Mbona vimekufa vilivyokufa na dunia haijasimama . PIGA RISASI SAFI YA KICHWA.

Tatu:
Mimi nisingekaaa kuwachukia kama wangeandamana hata watu milioni moja wakielekea kwenye viwanja au wakifunga majengo ya serikali kushinikiza wasikilizwe kwa amani, au wachome vituo vya kura tu tujue ni issue ya uchaguzi, sasa waowalikuwa wanaingia kwa watu binafsi wanavunja jengo wainaingia ndani wanaiba wakimaliza wanachoma jengo ,mkiwazuia saa sita mchanawanarudi saa 10 , mkiwazuia wanarudi saa 3 usiku , mkiwazuia wanarudi tena saa 7 usiku saa 9 usiku hao tena mpaka u ajiuliza hawa ni majini wametumwa kutufilisi au nini? KUMAAAA MAAAE NINAWATAMANI NAOMBA MUNGU KWELI ITOKEE SIKU NIWEZE KULIPIZA KISASI KWA WALIOBAKI HAI HATA IWE MIAKA 5 MBELENI , YAANI MBWA YEYPTE SIKU AJICHANGANYE NITAPIGA RISASI RSF WA SUDANI WANASUBIRI

4 . Siku ya kwanza tu kabla hawajazima Internet nilionya kuwa aisee hawa jamaa wapigwe risasi haraka sana kabla hawajasabaaa uzembe wa polisi wakawaachia , ile ile 29 October Kimara wangepigwa kama 20 chap chap na magomeni 20 kwishney usingesikia huu upumbaVU
Hauko sawa aisee.
 
Back
Top Bottom