Ki ukweli nimeandaa safari maalumu kutoka hapa misenyi kwenda kwao (nyumbani) kwa Tundu Lissu wilayani ikungi mkoani Singida ili tu nifike nijionee sehemu alipozaliwa huyu mwamba na vilevile niongee na wazazi, ndugu na majirani juu ya huyu mtu.
Katika safari yangu hii nitabeba zawadi maalumu kwa wazazi wa Tundu Lissu kama ishara ya pongezi kwa kumzaa, kumlea na kumtunza Mtoto Tundu Lissu.
Zawadi nilizoandaa ni pamoja na mchele kg 100, ndizi za kupiga kutoka misenyi na samaki wa Mwanza.
Kwanini nimeamua kufanya hii safari maalum
1. Huyu Tundu Lissu ni MTU wa ajabu katika taifa hili, ana ujasiri sana wa kuhoji na kuusema ukweli haijalishi hata kama ukweli huo utamletea shida , yeye huwa anusimamia ukweli hadi mwisho ukweli hujitenga na uongo.
2. Tundu Lissu ni ni mpango wa Mungu kuwepo duniani, ninaamini kupitia mtu huyu ni lazima tena lazima kuna jambo litatokea juu ya uchaguzi Huuu, Mungu amemponya mtu huyu ili jambo alilokusidia litimie. Rejea kupigwa kwake risasi.
3. Tundu Lissu anatokea mkoa wa Singida, mkoa ulio katikati ya nchi, laiti kama angazaliwa mikoa ya pembezoni nadhani CCM na vyombo vyake wangelikwisha kumbambikiza kesi kuwa si raia wa Tanzania, rejea Askofu Kakobe, Askofu Mwamakula.
Tundu Lissu anahitaji kulindwa kwa gharama yeyote, ili wale kwenye nia ovu waone ugumu wa kumtendea uovu.
Ambaye atakuwa tayari kuungana nami anaweza kuwasiliana nami ili tujumuike pamoja kwenda ikungi kutoa pongezi zetu juu ya Mtoto Tundu Lissu
Hakika Mungu mlinde Tundu Lissu.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Naomba kusilisha.
Katika safari yangu hii nitabeba zawadi maalumu kwa wazazi wa Tundu Lissu kama ishara ya pongezi kwa kumzaa, kumlea na kumtunza Mtoto Tundu Lissu.
Zawadi nilizoandaa ni pamoja na mchele kg 100, ndizi za kupiga kutoka misenyi na samaki wa Mwanza.
Kwanini nimeamua kufanya hii safari maalum
1. Huyu Tundu Lissu ni MTU wa ajabu katika taifa hili, ana ujasiri sana wa kuhoji na kuusema ukweli haijalishi hata kama ukweli huo utamletea shida , yeye huwa anusimamia ukweli hadi mwisho ukweli hujitenga na uongo.
2. Tundu Lissu ni ni mpango wa Mungu kuwepo duniani, ninaamini kupitia mtu huyu ni lazima tena lazima kuna jambo litatokea juu ya uchaguzi Huuu, Mungu amemponya mtu huyu ili jambo alilokusidia litimie. Rejea kupigwa kwake risasi.
3. Tundu Lissu anatokea mkoa wa Singida, mkoa ulio katikati ya nchi, laiti kama angazaliwa mikoa ya pembezoni nadhani CCM na vyombo vyake wangelikwisha kumbambikiza kesi kuwa si raia wa Tanzania, rejea Askofu Kakobe, Askofu Mwamakula.
Tundu Lissu anahitaji kulindwa kwa gharama yeyote, ili wale kwenye nia ovu waone ugumu wa kumtendea uovu.
Ambaye atakuwa tayari kuungana nami anaweza kuwasiliana nami ili tujumuike pamoja kwenda ikungi kutoa pongezi zetu juu ya Mtoto Tundu Lissu
Hakika Mungu mlinde Tundu Lissu.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Naomba kusilisha.