Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
safi sana!Ni akili ya mtu Geoff lakini ukiwa mwizi na wewe siku zote unawaza kuibiwa tu ..
ukirudi bongo nitafute nikupe wine yako!
wewe nimekukubali sana
safi sana!Ni akili ya mtu Geoff lakini ukiwa mwizi na wewe siku zote unawaza kuibiwa tu ..
safi sana!
ukirudi bongo nitafute nikupe wine yako!
wewe nimekukubali sana
Wapendwa,
Nipo kwenye serious mahusiano na kwa mapenzi ya Mungu tunaweza kufunga ndoa. Tatizo nina wivu kupita maelezo, yaani saa zote nahisi kuibiwa...kwa mfano kuna siku nilikuta amempa lift zilipendwa wake na alikuwa amekaa kwenye siti ya mbele ya abiria, niliumia kupitiliza nikaacha kuitumia ile siti, kuanzia siku ile nikawa nakaa siti ya nyuma kama balozi! Baada ya muda akabadili gari -thanx God sasa nakalia siti yangu!
Nyumba anayoishi nimebadili karibu kila kitu kwani nahisi vina uhusiano na mpenzi wake aliyepita na vinaweza kumkumbusha waliyokuwa wakifanya - siwezi kuvumilia, nimembadili hata yeye - mavazi, perfume, sehemu za kutembelea nk nk yote hii ni kuhakikisha mimi ndio natawala mawazo yake na si vinginevyo, lengo ni kwamba kila kitu kinachomzunguka kiwe kinamkumbusha mimi! Akisafiri tunakesha kwa PC na simu... kuhakikisha yupo peke yake nitamtaka afanye mambo kadhaa ili nijiridhishe siibiwi... msg zikiingia kwenye simu yake mapigo ya moyo yanabadilika...huwa najitahidi kujizuia kusoma msg hizo lakini asiponiambia nani ametuma na kuniruhusu kusoma naweza kukosa usingizi siku kadhaa!
Jamani nisaidieni, ni mimi tu au na wengine wako hivi? Nina wasiwasi atachoka, kuna wakati naona namnyima uhuru, najaribu kujizuia lakini nashindwa, nifanyeje?
Annina
1) Recovering personal power so that you can get control of your emotions and refrain from the reactive behavior.
2) Shift your point of view so that you can step back from the story in your mind. This will give you a gap of time in which to refrain from a jealous or angry reaction and do something else.
3) Identify the core beliefs that trigger the emotional reaction.
4) Become aware that the beliefs in your mind are not true. This is different than "knowing" intellectually that the stories are not true.
5) Develop control over your attention so you can consciously choose what story plays in your mind and what emotions you feel.
Huyo jamaa ulimpataje? Maana inavyoelekea hujiamini kabisa kama una deserve kuwa nae! Kutokujiamini mara nyingi hupelekea wivu wa kupindukia kama huu wako.
Lakini kuna kitu kizuri nakiona kwako: Umegundua kuwa una wivu ambao unahisi sio wa kawaida (ni kweli sio wa kawaida!), hii inakupa nafasi ya kujirekebisha kama ukuamua kufanya hivyo.
Kuna mtaalamu mmoja wa mahusiano yeye anashauri hatua zifuatazo kumaliza wivu ulionao:
Angalizo: Sio kila unachokifikiria kinakuwa si cha kweli mara nyingi akili ya binaadamu inafanya kazi kuliko tunavyodhani!). Kwa mfano katika maelezo yako unasema umewahi kumwona akiwa na ex wake. Pamoja na kuwa pengine hakuna cha zaidi kinachoendelea baina yao lakini kama hili linajitokeza mara kwa mara ni vema ukafanya uchunguzi ili upate ukweli kuliko kususia 'kiti chako' bila basis yoyote. Hivyo jaribu ku-control reaction zako na papo hapo fanya 'uchunguzi' kama ni lazima ili kubaini uhalisia.
See the colored part. I also thought the same. Labda ulimpata kibahati huyo mtu, i mean siyo level yako as Nyamayao would put it thats why unakuwa na kihoro cha aina hiyo. Maana hainiingii akilini mtu kukataa kukalia kiti cha mbele just because ex gf alikikalia, lol! sasa mbona mtarimbo unautumia hata kuumumunya wakati ex aliutumia kwa kila style. sorry galfriend but grow up if you need to start a family with this man.
HEHEHE!dah, nilikuwa sijalifikiria hili! Carmel umeamkia wapi leo?
ahsante!...........See the colored part. I also thought the same. Labda ulimpata kibahati huyo mtu, i mean siyo level yako as Nyamayao would put it thats why unakuwa na kihoro cha aina hiyo. Maana hainiingii akilini mtu kukataa kukalia kiti cha mbele just because ex gf alikikalia, lol! sasa mbona mtarimbo unautumia hata kuumumunya wakati ex aliutumia kwa kila style. sorry galfriend but grow up if you need to start a family with this man.
Wapendwa,
Nipo kwenye serious mahusiano na kwa mapenzi ya Mungu tunaweza kufunga ndoa. Tatizo nina wivu kupita maelezo, yaani saa zote nahisi kuibiwa...kwa mfano kuna siku nilikuta amempa lift zilipendwa wake na alikuwa amekaa kwenye siti ya mbele ya abiria, niliumia kupitiliza nikaacha kuitumia ile siti, kuanzia siku ile nikawa nakaa siti ya nyuma kama balozi! Baada ya muda akabadili gari -thanx God sasa nakalia siti yangu!
Nyumba anayoishi nimebadili karibu kila kitu kwani nahisi vina uhusiano na mpenzi wake aliyepita na vinaweza kumkumbusha waliyokuwa wakifanya - siwezi kuvumilia, nimembadili hata yeye - mavazi, perfume, sehemu za kutembelea nk nk yote hii ni kuhakikisha mimi ndio natawala mawazo yake na si vinginevyo, lengo ni kwamba kila kitu kinachomzunguka kiwe kinamkumbusha mimi! Akisafiri tunakesha kwa PC na simu... kuhakikisha yupo peke yake nitamtaka afanye mambo kadhaa ili nijiridhishe siibiwi... msg zikiingia kwenye simu yake mapigo ya moyo yanabadilika...huwa najitahidi kujizuia kusoma msg hizo lakini asiponiambia nani ametuma na kuniruhusu kusoma naweza kukosa usingizi siku kadhaa!
Jamani nisaidieni, ni mimi tu au na wengine wako hivi? Nina wasiwasi atachoka, kuna wakati naona namnyima uhuru, najaribu kujizuia lakini nashindwa, nifanyeje?
Annina
hahaha unachekesha ,mbona simuoni binamu Fidel ,ZD na Xpin today?
Dada yangu hebu get over yourself from that crap wivu uliokithiri yani unawezaje kuwa na miwivu hivyo??? mwishowake utampoteza huyo unayesema unampenda sana ukweli ndo huo. na nina stori kama hiyohiyo ila huyu alikuwa ni mkaka, mpenzi wa rafiki yangu jamaa ana wivu kupita kiasi.....kilichotokea jamaa akaachwa solemba live yani hakuna mjadala.
Nikushauri tu: hakuna mtu yoyote in this world anayekubali kuwa na mtu mwenye wivu hivyo haumpi freedom anayodeserve kila saa uko nyuma ya mgongo wake unamchunga.ndo yaleyale akitoka kidogo akiacha simu nyuma unachungulia msg au call register yake.ikiwa na password inkuwa ni recipe ya ugomvi.hivi mapenzi ya siku hizi yakoje????soo possessive damn it!!!!
Jitahidi kuacha na Muombe Mungu akuondolee hicho kitanzi cha wivu.
hehehehe!..........Angalau umekuwa wa kwanza kuniulizia kwa leo mama! Kakague Senksi yako kule! Nilikuwa naomboleza msiba wa MC mara nakutana na hii ya wavu wa kipraimari skuli wa shule za kata! LOL
kwenye mtarimbo.dah, nilikuwa sijalifikiria hili! Carmel umeamkia wapi leo?
wanaogopa wakiingia tu nitawakumbushia MICHANGO YA HARUSI!
case hiyo hiyo imemkumba nguli!nguli nadhani amebadili na aidii kabisa
hahaha!Naamini sipo katika hiyo listi, adhawaizi hii ATM card nayotembea nayo ili tukikutana tu niwakilishe fungu ntaanza kuisahau! BTW mshiki ana huu wivu wa ki fom tuu B ya shule za kata? I bet not!
HEHEHE!
hii sikuisoma ngoja nirudi tena page za nyuma............
ahsante!...........
Binamu mzima lakini? it seems xmas break wifi alikupeleka tanga maana naona unazijua taarabu kweli siku hizi.heheheh mpwa! hebu nsicheke miye! mbona mazito leo hapa!