Lazarus
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 364
- 93
Mkuu ni kama una presha ya kupanda alafu umekunywa redbull 3, haina haja kuchunguza simu yake kila mmoja ana privacy yake na anajielewa mpaka upo nae.Leo nilikua nimeshika cm yake nikaingia inbox nikakuta kuna message katumiwa na mwanaume kaandika hivi
We ni noma sana unajua thanks na yeye aka reply hiyo ndo show ya kwanza subiri ya pili
daaah hapa nilipo sijamuambia chochote na namuacha kimya kimya bila kujua kama nimempiga chini
Me sinaga maskhara kabisa na hivi viumbe.
A kizingua nampiga chini
"Ukimchunguza sana bata hutamla"