Mimi kijana mwenzenu baba yangu amefariki na kwahiyo nimepata urithi wa Sh. 10M. Hapa najiuliza pesa hii niizungushe zungushe vipi ili iwe nyingi zaidi. Hadi sasa nimefikiria mambo mawili. A nitumie pesa hiyo kufanya biashara ya mazao; yaani nanunua mazao kipindi cha mavuno kisha nayahifadhi kusubiri soko lichangamke. B nafikiria nusu ya pesa niwekeze kwenye Forex na nusu inayobaki niwekeze kwenye betting.
Naombeni ushauri wenu wadau!
Umri huo bdo vtu vinakuchanganya ivo?Habari zenu ndugu zangu.
Nakuja kwenu na Id mpya ili niweze kuwa muwazi kwenu nipate msaada. Naona karma inaninyemelea na sielewi nifanye nini ndugu zangu.
Mimi ni kijana wa miaka 31. Sijaoa lakini nimekuwa na girflriend wengi kwa wakati mmoja bila wao kujuana.
Shida yangu ni hii: Katika wasichana wote niliowahi kuwa nao, kuna huyu msichana A. Kwa kweli tumekaa naye kwenye
Mwaka mbaaaali sanaB ndo anakufaaa,baada ya nwaka tunaomba mrejesho
Kweli wanawake hampendaniOa huyo mdogo huyo mnayelingana umri akizaa Mara mbili utamchukia bure atazeeka ghafla loh.
Mwanaume msimamo we hunaHabari zenu ndugu zangu.
Nakuja kwenu na Id mpya ili niweze kuwa muwazi kwenu nipate msaada. Naona karma inaninyemelea na sielewi nifanye nini ndugu zangu.
Mimi ni kijana wa miaka 31. Sijaoa lakini nimekuwa na girflriend wengi kwa wakati mmoja bila wao kujuana.
Shi