Nina vigezo vyote

Nina vigezo vyote

Jenu

Member
Joined
Feb 10, 2013
Posts
70
Reaction score
44
Wana jamvi msinichoke,Mimi ni mwanamke mzuri,mwenye sifa zote nzuri za mwanamke
Lakini cha kushangaza sipati mchumba ni miaka mitano sasa Nipo single,Hali hii nimechoka
Nisaidieni jamani,
 
Wana jamvi msinichoke,Mimi ni mwanamke mzuri,mwenye sifa zote nzuri za mwanamke
Lakini cha kushangaza sipati mchumba ni miaka mitano sasa Nipo single,Hali hii nimechoka
Nisaidieni jamani,

hebu nPM haraka sana.....hatimaye tatizo limefika mwisho
 
nani aliekwambia wewe ni mzuri??ameangalia vigezo gani?mzuri kwa kip?sifa zote zipi?na hizo sifa zinamfaa nani??jua kuwa wanaume wanatofautiana kuchagua kila mtu ana sifa zake pia kila mtu anatafta maumbile anayoona yanamvutia!!piakuwa single kwa miaka mitano ni muda kidogo saana huo! vuta subira utapata wakwako!
 
Hilo la kusema una vigezo vyote ndiyo tatizo lenyewe
 
Usikate tamaa utampata atakayekufaa, endelea kuomba Mungu.
 
.....jamani...
.........una umri gani kwani?
 
jane nadhani huko sahihi kusema unavigezo vyote coz hivyo vigezo umevipa kiwango gani?mie ni mwanaume sema nadhani inapotokea ninataka mchumba nitamtafuta tunaeendana kitabia,mtazamo na anayekubali kukosolewa,inawezekana kabisa jeni ukawa unakuwa pamoja na watu ambao hawako tayari kuwa na wachumba!so hapo ndo wewe una-suffer.
 
nani aliekwambia wewe ni mzuri??ameangalia vigezo gani?mzuri kwa kip?sifa zote zipi?na hizo sifa zinamfaa nani??jua kuwa wanaume wanatofautiana kuchagua kila mtu ana sifa zake pia kila mtu anatafta maumbile anayoona yanamvutia!!piakuwa single kwa miaka mitano ni muda kidogo saana huo! vuta subira utapata wakwako!

Peopl are as beautiful as they feel inside!!!!!!!! So if she feels she is beautiful and say so then she is a beauty! Kusubiri hadi watu wakwambie wewe ni mzuri ni Inferiority complex ya hali ya juu, na lack of comfidence. Mwanamke kujikubali na kujiaminia.

Wabongo if you dont believe in yourself and shove down their throats the fact that you are a cutie they always try to tircky to believin you are one ugly Biach ili wakupate kiurahisii

It all counts down to the mind. Kama ma miss uchwara wa bongo, they shove down our throats the fact that they are the most beauty's of this land (Hata ukibisha Majority wins minority rights so Wema na wenzie wamekubalika na majority, demu wako unamkubali peke yako!) And we got no choice bt to accept. Kila seheme Wemaaa wemaaaa wemaaaaaaaa! Hata akinyoa ni BREAKING NEWS!!!!!!!!! Mxiuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Miaka mitano Damn!!!!!!!!!!!

Anyway you gotta upgrade ya game n never ever play by the rules.

Ukikaa kusubiri ujaaliwe mume utangoja sanaaaaaaaaaa! If you want shit to start happening then you gotta make it happen!

This involves you lowering your standards not a little way too low! And you better start reviewin ya PREVIOUS REJECTS
 
kujikubali ni ishu nyingne na kuwa mzuri ni suala lingine maana anavosema ni mzuri its ok but ni mzuri dhidi ya nani? pia sijawahi sikia kuwa wema anatafuta mchumba but ndugu yetu anatafta mchumba kwa maana hiyo lazma awe na vigezo vya kuwa mchumba na ili uwe mchumba wa mtu lazima huyo mhitaji amkubali yeye !uzuri wako utatajwa na kuonwa na yule ambae amependezwa nawe! pia vigezo vinatofautiana kati ya mwanaume na mwanaume!so akae chini amuombe mungu apate mchumba anae mtaka nae mola atampatia haki yake bado hajachelewa akizingatia kama aliweza kupata mwanzoni na hivo atapata tena!mungu ni mwema
 
Wana jamvi msinichoke,Mimi ni mwanamke mzuri,mwenye sifa zote nzuri za mwanamke
Lakini cha kushangaza sipati mchumba ni miaka mitano sasa Nipo single,Hali hii nimechoka
Nisaidieni jamani,

Cc: snochet
 
Last edited by a moderator:
Miaka mitano Damn!!!!!!!!!!!

Anyway you gotta upgrade ya game n never ever play by the rules.

Ukikaa kusubiri ujaaliwe mume utangoja sanaaaaaaaaaa! If you want shit to start happening then you gotta make it happen!

This involves you lowering your standards not a little way too low! And you better start reviewin ya PREVIOUS REJECTS

that shows highest degree of desperation.
kama she trust herself kuwa cutie hilo nalipenda sina ubish nalo but kutokupata patna is something else ama ni binti maringo sana ama ana class anazozitaka na ambazo ni rare kuktana nazo. ama la ana evil sprits za kutokukubalika na sijui hii utaisemaje but ipo kwa baadhi ya watu.

watu wa namna hii hawapati acceptance no matter what they do, always wanakuwa rejected hata kama ni kazini ama mtaani na kadhalika. this needs spiritual deliverance.
 
Best huyu dada kashakuja hapa jamvini a couple of times...hii nadhani ni thread yake ya nne au tano hivi...
Nadhani yupo desperate na if my memories are correct, she is 35 by now.
Usishangae sana naona kashaona muda unaenda...

Miaka mitano Damn!!!!!!!!!!!
Anyway you gotta upgrade ya game n never ever play by the rules.
Ukikaa kusubiri ujaaliwe mume utangoja sanaaaaaaaaaa!
 
Jenu tatizo lipo wapi mdada?
 
Last edited by a moderator:
Wana jamvi msinichoke,Mimi ni mwanamke mzuri,mwenye sifa zote nzuri za mwanamke
Lakini cha kushangaza sipati mchumba ni miaka mitano sasa Nipo single,Hali hii nimechoka
Nisaidieni jamani,

Uwiiiiii...mama yangu! Yaani wewe nanii unatafuta more depression. Humu JF kuna wengine ni kama fisi wanaosubiri mizoga! Subiri wakujie kama malaika wa nuru kumbe shetani...wakugegede na kukutupilia kule!
Nakushauri uanze kuandaa uzi wenye heading..
"Jamani nimetendwa na niliyemwamini"!!!
 
Back
Top Bottom