Nina ushahidi wa hakika, Maalim hajawahi kushindwa hasa wanapoleta figisufigisu

nditolo

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
3,731
4,271
Nimefurahi kusikia kuwa tayari gwiji la siasa Maalim Seif Sharif Hamad, Kafungua ofisi mpya na kuachana na wasaka tumbo wa Buguruni. Nina ushahidi wa hakika kuwa Maalim hajawahi kushindwa hasa wanapoleta figisufigisu. Wako wapi hawa:-

1. Fatma Maghimbi
2. Hamad Rashid
3. Habibu Mnyaa
4. ....................
5. ....................

Nampa mwezi mmoja tu propesa atakuwa kama baunsa wake aliyekong'otwa na kuvunjwa mguu. Na inabidi jamaa alelewe maana ule hauwezi kuunga kwa laana alizokuwa amefanya pale ukumbini.
Big up Maalim Seif, watanzania bado hatujachoka kupigania haki uhuru na katiba pamoja na tume huru ya uchaguzi.
 
Huyu mzee ingekuwa Jeshini, kikosi anachokiongoza hakiwezi kushindwa. Maana ninavyojua hajawahi kushindwa uchaguzi tangu kurejeshwa kwa vyama vingi. Ninachoamini ni uchaguzi wa 2015 ambapo yeye na Mzee na Mzee manvi (Lowassa) walikuwa na kura nyingi huko Zanzibar, na hiyo inathibitishwa kuwa hata huku bara Manvi alishinda kwa kura nyingi sana. Mgombea wa muungano hawezi kushinda Zanzibar then akashindwa Tanganyika. Big up Maalim.
 
Lipumba mpaka sasa hawezi hata kutoa ushauri wa kiuchumi. Anakodi vibaka ili kuua democrasia, kazeeka vibaya sana.
 
Back
Top Bottom