MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 623
Bajeti yangu ni mil 5 ,je naweza kupata gari ambayo haitanisumbua wala kula mafuta sana?
Sitaki kushinda garage mara kwa mara na kipato changu cha kawaida,ntakua mara nyingi naitumia huko lushoto tanga kwa shughuli zangu za huko.Wakuu naomba kujua kama naweza kupata gari yenye sifa nzuri ,maana sina uzoefu nazo
Sitaki kushinda garage mara kwa mara na kipato changu cha kawaida,ntakua mara nyingi naitumia huko lushoto tanga kwa shughuli zangu za huko.Wakuu naomba kujua kama naweza kupata gari yenye sifa nzuri ,maana sina uzoefu nazo