Nina Tsh. mil. tano ,nahitaji gari

Nina Tsh. mil. tano ,nahitaji gari

MENISON

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
726
Reaction score
623
Bajeti yangu ni mil 5 ,je naweza kupata gari ambayo haitanisumbua wala kula mafuta sana?
Sitaki kushinda garage mara kwa mara na kipato changu cha kawaida,ntakua mara nyingi naitumia huko lushoto tanga kwa shughuli zangu za huko.Wakuu naomba kujua kama naweza kupata gari yenye sifa nzuri ,maana sina uzoefu nazo
 
Bajeti yangu ni mil 5 ,je naweza kupata gari ambayo haitanisumbua wala kula mafuta sana?
Sitaki kushinda garage mara kwa mara na kipato changu cha kawaida,ntakua mara nyingi naitumia huko lushoto tanga kwa shughuli zangu za huko.Wakuu naomba kujua kama naweza kupata gari yenye sifa nzuri ,maana sina uzoefu nazo

kuna vits kaka vp upo tayari tuongee?
 
Kuna Suzuki Swift ila utaongeza kidogo ipo vizuri sana na haili mafuta kama hitajio lako
 
Ipo Toyota Duet (Daihatsu storia) nataka 3.5m tu inakimbia kilomita 17 kwa lita moja ya mafuta tu.


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app
 
Ipo Toyota Duet (Daihatsu storia) nataka 3.5m tu inakimbia kilomita 17 kwa lita moja ya mafuta tu.


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app




Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app
 
kwa mazingira yako mkuu ya lushoto chukua suzuki swift,itakufaa sana,ni gari ngumu,vitz sikushauri,ukipata swisft ya 4 wheel safi sana kwa bush life
 
iko suzuki samurai jx ni ya kizamani kidogo lakini ni roho ya paka itakufaa sana huko bush na bei ni rahisi.
 
Nina CRESTA BALOON, 4 cylinders, hali nzuri, consumption 9km/L. Piga 0784/0655 525522 kama unahitaji. Nita upload picha nikirudi home!
 
kwa mazingira yako mkuu ya lushoto chukua suzuki swift,itakufaa sana,ni gari ngumu,vitz sikushauri,ukipata swisft ya 4 wheel safi sana kwa bush life
Asante kwa ushauri wako
 
Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app

ImageUploadedByJamiiForums1401808594.006967.jpg


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app
 
Ipo Toyota Vitz ya model 2000. Namba B .ipo vizuri sana.tuwacliane whatsaap 0713 95 92 90
 
..ukitoa tangazo ,basi ata no.ya simu weka ili mtu akupigie!

unachelesha kupata msaada,usipoweka no,ya simu!
 
Back
Top Bottom