M marwarwa Senior Member May 3, 2016 104 46 Jul 20, 2020 #1 Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kujuzwa tatizo la uvimbe kwenye korodani na athari zake.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kujuzwa tatizo la uvimbe kwenye korodani na athari zake.
Horseshoe Arch JF-Expert Member Aug 10, 2009 13,139 12,286 Jul 20, 2020 #2 Ni tatizo la kiufundi, athari zake ni za muda mrefu! Ni korodani ya kushoto ama ya kulia mkuu?
M marwarwa Senior Member May 3, 2016 104 46 Jul 20, 2020 Thread starter #4 Horseshoe Arch said: Ni tatizo la kiufundi,athari zake ni za muda mrefu! Ni korodani ya kushoto ama ya kulia mkuu? Click to expand... Ni tatizo la kiufundi kivipi?
Horseshoe Arch said: Ni tatizo la kiufundi,athari zake ni za muda mrefu! Ni korodani ya kushoto ama ya kulia mkuu? Click to expand... Ni tatizo la kiufundi kivipi?
Analyse JF-Expert Member Jan 19, 2014 16,500 41,679 Jul 20, 2020 #5 Horseshoe Arch said: Ni tatizo la kiufundi,athari zake ni za muda mrefu! Ni korodani ya kushoto ama ya kulia mkuu? Click to expand... Uje utoe ufafanuzi huku aisee. Ushampanikisha mwenzio.
Horseshoe Arch said: Ni tatizo la kiufundi,athari zake ni za muda mrefu! Ni korodani ya kushoto ama ya kulia mkuu? Click to expand... Uje utoe ufafanuzi huku aisee. Ushampanikisha mwenzio.
Horseshoe Arch JF-Expert Member Aug 10, 2009 13,139 12,286 Jul 20, 2020 #6 Analyse said: Uje utoe ufafanuzi huku aisee. Ushampanikisha mwenzio. Click to expand... Nimespesholaizi korodani ya kushoto namuuliza ni ipi inatatizo la kiufundi hajibu...
Analyse said: Uje utoe ufafanuzi huku aisee. Ushampanikisha mwenzio. Click to expand... Nimespesholaizi korodani ya kushoto namuuliza ni ipi inatatizo la kiufundi hajibu...
M marwarwa Senior Member May 3, 2016 104 46 Jul 20, 2020 Thread starter #7 Horseshoe Arch said: Nimespesholaizi korodani ya kushoto namuuliza ni ipi inatatizo la kiufundi hajibu... Click to expand... Ni korodani ya kulia.
Horseshoe Arch said: Nimespesholaizi korodani ya kushoto namuuliza ni ipi inatatizo la kiufundi hajibu... Click to expand... Ni korodani ya kulia.
Horseshoe Arch JF-Expert Member Aug 10, 2009 13,139 12,286 Jul 20, 2020 #8 marwarwa said: Ni korodani ya kulia. Click to expand... Basi samahani mimi nimebobea ya kushoto
Mbanti JF-Expert Member Apr 29, 2017 943 1,727 Oct 8, 2020 #9 Daaah..kuspecialize tena....tupeni maujuzi basi kuhusu kulia na kushoto Za kwangu mbona hazijakaa kiupande huo wa kushoto na kulia
Daaah..kuspecialize tena....tupeni maujuzi basi kuhusu kulia na kushoto Za kwangu mbona hazijakaa kiupande huo wa kushoto na kulia