Dnmunisi
Member
- Nov 11, 2020
- 18
- 16
Habari wana Jf
Jamani mimi ninasumbuliwa na tatizo la macho tangu nikiwa na miaka saba macho yananiwasha sana muda wote mchana na usiku pia ila usiku ndio sana na kadri ninavyokua ndo naona yanazidi kuwasha na kutoa machozi na yana maumivu makali yanachoma choma.
Nimeenda hospitali nikapewa dawa ila bado hazijasaidia.
Jamani mimi ninasumbuliwa na tatizo la macho tangu nikiwa na miaka saba macho yananiwasha sana muda wote mchana na usiku pia ila usiku ndio sana na kadri ninavyokua ndo naona yanazidi kuwasha na kutoa machozi na yana maumivu makali yanachoma choma.
Nimeenda hospitali nikapewa dawa ila bado hazijasaidia.