Kama unajua dawa nielekezewewe tumbo lako la kiswahili
Nakunywa soda ndio kwani wote wanaokunywa wanajamba km mmunakunywa soda/bia kwa chupa bila glass? tumia dawa za kutoa gesi kama Magnesium na zingine kaulize famasi
Lipo SawaDuh kwahiyo hata huwezi jizuia ukiwa na watu? Ebu kagua linda lako kama liko sawa, halijaadjust kweli? rudishia nati zake
Ni approximation tu mkuu tena hizo nyingi saana ni baada ya kujikaza saaanauko na stopwatch kuhesabu ushuzi kila dakika?
Tupe sasa ujumbe wenyewe uliofichika kwenye uzi huu.... Aren`t you proud of your actions?
Sababu ushaijua, ni chakula chenye viungo vingi.Wanapenda kula biriani na kuku wa kupakwa kwahiyo ndovyakula tunavyokula na kama chakula ni tatizo mbona wao hawajambijambi kama mm
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Ndokibarua Changu mkuu sindoajira ZENYEWEKwanza umeshakosea , kula kwa muhindi ni kukubali kugeuzwa msukule tegemea siku utakuwa hulipwi mshahara we utakuwa unaenda tuu kutumikishwa.. nenda ukaombewe au utambike ila wahindi wameshakuinamisha
Kwahiyo wanene wote wanajamba km mmHuo ni unene , fanya mazoezi upunguze mafuta hayo
Asante kwa ushauri wako
Daa nimecheka kudadadek
Bora ukamuone daktari ndugu ikiwezekana ufanyiwe vipimo wajue tatizo ni nini
Mbona wao hawajambijambi kama mm na wote tunakula chakula the sameSababu ushaijua, ni chakula chenye viungo vingi.
Kama upo serious kweli hapo lazima utafute mlo uliouzowea au Kama umenogewa na hivyo vyakula sindikiza mbogamboga nyingi, au hata na mtindi Kama wanavyofanya wenzako hapo.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Inakuwa kero kwa wenzangu sio vzrEndelea kupumua mzee wangu ndio afya yenyewe
we jamba hata mfululizo tu haina tabu, kwani unavunja sheria mkuu? Piga vitu piga vitu hadi mbu wote wafe, kijambo ni dawa ya mbu
we jamba hata mfululizo tu haina tabu, kwani unavunja sheria mkuu? Piga vitu piga vitu hadi mbu wote wafe, kijambo ni dawa ya mbu
Duh kwahiyo hata huwezi jizuia ukiwa na watu? Ebu kagua linda lako kama liko sawa, halijaadjust kweli? rudishia nati zake
🤣🤣 Serious😂😂 we jamba hata mfululizo tu haina tabu, kwani unavunja sheria mkuu? Piga vitu piga vitu hadi mbu wote wafe, kijambo ni dawa ya mbu😂
Nakuombea likupate ndoutajuta utarudi humu kuandika imoji ya kuliakazi ipo hapaaa!!!!
Hi Mbalizii😂
Tatizo lipo hapo.Marinda yamepoteza nguvu.Kwahiyo marinda yako yako salama kabisa
Na jamaa hataki kuwa muwazi kuwa kuna michezo anafanya na hao wahindi kokoTatizo lipo hapo.Marinda yamepoteza nguvu.