saudari
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 2,655
- 2,783
Mkuu saudari upo?huyu jamaa atakua na kitambi sasa kitambi + makalio = 2MAKALIO opposing each other
Huyu anaweza akawa KIBAMIA+KITAMBI=Kushindwa kupata mpira kwenye mechi za ugenini
Mkuu saudari upo?huyu jamaa atakua na kitambi sasa kitambi + makalio = 2MAKALIO opposing each other
hapa atakaemshauri huyu Mango Pickle mungu amlaani! sa ye kipaji chake cha walopigwa pasi anataka na wenye makalio makubwa tena anataka wengi, sasa wengine watapata wapi!? we kijana unatakiwa utulie hiyo ni natural selection ukilazimisha utapata majanga mbele za mungu!
We sema tuu hizo picha unazitumia kwa matumizi mengineyo saudari
atakuwa anazitumia kama chachandu
Hahahah
The Boss bwana.
Huyo dawa yake ni kukaingiza hivyo hivyo kakiwa kamesinyaa, halafu unakavuta na kukabana na labia minor lazima katastart tu. LOL
Naona mmeniamulia, kama ulikua hutaki kumpa shemejio hiyo pic si ungesema tu, yanini kunihadabisha bila moyo wangu kuridhika?
Tatizo wanawake wengi siku hizi wana makalio makubwa so najikuta nashindwa kupiga mashine kwa almost wanawake wengi Nifanyeje?