Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Research gani wewe? acha porojo. kila siku hilo neno naliona humu kama ninavyona neno m.kwere na wala hakuna anayebugudhiwa nalo.
nimefanya tafakuri nikagundua wewe kilaza bila hata chembe ya wasiwasi,yaani na maelezo yote hayo hauelewi,we hutufai! Kasema umuhimu wa kutrace historical background ya hicho kinachosemwa,pia hali ilikuaje kabla na baada ya multiparty system, pia research techique iliyotumika,sample size nje na ndani ya kinacho lalamikiwa,kwa kuzingatia social stratification,mwisho kama ulitest hypothesis yako kama alivosema.sawa wewe mwenzetu vp? Au research siku hiz mwiko,ni kujisemeasemea tu porojo.badilika muda ndio huu.