blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,092
- 7,468
Je, ni sahihi kukiweka hapa? Au maana nimetamani pia wanajukwaa tuburudike pamoja. Kitabu cha mashimo ya sulemani nikitabu bora sana japokuwa ni cha kizamani sana.
Weka mkuuJe, ni sahihi kukiweka hapa? Au maana nimetamani pia wanajukwaa tuburudike pamoja. Kitabu cha mashimo ya sulemani nikitabu bora sana japokuwa ni cha kizamani sana.
vip kiweke sasa unitagJe, ni sahihi kukiweka hapa? Au maana nimetamani pia wanajukwaa tuburudike pamoja. Kitabu cha mashimo ya sulemani nikitabu bora sana japokuwa ni cha kizamani sana.
Lete madude mkuuJe, ni sahihi kukiweka hapa? Au maana nimetamani pia wanajukwaa tuburudike pamoja. Kitabu cha mashimo ya sulemani nikitabu bora sana japokuwa ni cha kizamani sana.
Hahaah tiyar mkuuMKUU,
WEWE NI MUONGO,
HAUNA HIYO SOFTCOPY!!
"Katibu Mwenezi wa Wasoma Comments."
Mkuu mbona tiyar nimeweka?Hana hiyo soft copy,analeta porojo tu
Umekiwekea wapi mkuu,?Mkuu mbona tiyar nimeweka?