Nina social anxiety

Nina social anxiety

Coke Zero

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2015
Posts
1,024
Reaction score
544
Tafadhali naombeni msaada ndugu zangu,nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu,yani muda mwingi nipo mwenyewe,na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
 
Tafadhali naombeni msaada ndugu zangu,

Nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu, yani muda mwingi nipo mwenyewe, na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
 
卻我想說出去了

Mkuu jikubali binaadam wameumbwa tofauti..
Mm nina tatizo kama lako, sitaki rafiki, sichat na mtu, sipigi story na mtu.. rafiki yangu pekee ni simu na Ear phones baasi huku nikiperuzi jf
 
Jichanganye na watu,anza hata kwa kukaa vijiweni ukisiliza story au nenda kanisani au msikitini sikiliza neno la Mungu na kuanzisha urafiki na waumini wenzio itakusaidia,inawezekana sio muongeaji ,jaribu kuwa hata msikilizaji,kama kama kuna kiwanja cha mpira jirani nenda kaangalie mpira Ila usikae peke yako kaa karibu na kusanyiko la watu wengi uwe msikilizaji.
 
Tafadhali naombeni msaada ndugu zangu,nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu,yani muda mwingi nipo mwenyewe,na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
Utakuwa na stress haswa

Find a psychologist atakusaidia

Ila wakati mwingine ni poa zaidi kuwa hivyo kuliko kuwa mmbea mmbea au mwana majungu.
 
Jichanganye na watu,anza hata kwa kukaa vijiweni ukisiliza story au nenda kanisani au msikitini sikiliza neno la Mungu na kuanzisha urafiki na waumini wenzio itakusaidia,inawezekana sio muongeaji ,jaribu kuwa hata msikilizaji,kama kama kuna kiwanja cha mpira jirani nenda kaangalie mpira Ila usikae peke yako kaa karibu na kusanyiko la watu wengi uwe msikilizaji.
Nashukuru sana ndugu,yani kama kuangalia mpira ndiyo sipendi kabisa, kwenye sherehe siendi, sometimes hata kwenda kusalimia tu ndugu zangu siendi sababu wanaongea sana wakati mimi mwenyewe sipendi maneno mengi.
 
..wewe ni jike ama dume...kama ni k tafuta dume akupige miti..na kwa njia hii uta interact... Na kama ni me..basi fanya the opposite tafuta demu akupe p mzungumze..inaonyesha una stress sanaa.. Na usipoangalia utapotea....Na usawa huu wa magu....
 
Nashukuru sana ndugu,yani kama kuangalia mpira ndiyo sipendi kabisa, kwenye sherehe siendi, sometimes hata kwenda kusalimia tu ndugu zangu siendi sababu wanaongea sana wakati mimi mwenyewe sipendi maneno mengi.
Jitahidi uwezavyo kujichanganya kwani kuna matatizo mengi utayapata kiafya,kiakili na hata kiuchumi,fanya juhudi bado hujachelewa madhara yake huwa ni makubwa sana baadaye.
 
Tafadhali naombeni msaada ndugu zangu,

Nina hilo tatizo linanisumbua sana kiasi kwamba naweza kukaa siku nzima sijaongea na mtu, yani muda mwingi nipo mwenyewe, na mtu akijaribu kukaa na mimi naona kama ni usumbufu natamani aondoke nibaki mwenyewe.
"Being alone" and "being lonely" are too different things.
No, there's nothing wrong with wanting to be alone. But if you feel lonely, you need to do something before it's too late.
 
Yap Nafurahi nilivyoo hafu na vile sinaga maneno na mtuu..
Well, there are two words that describe us. Introvert, and judgemental. An introvert needs time alone to recharge, and being in company is draining, while an extrovert gets their energy being around other people.
 
Back
Top Bottom