Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,676
- 11,110
Yaani Uko kama mimi nikishajua anajiuza stimu zote zinakata hata awe pisi kali kivipiDuh mkuu wanawake mtaani hakuna hadi ukalale na mwanamke wa kila mtu. Duh, mimi sijui nikoje aisee hao naona kinyaa kabisa as long as najua anajiuza sio salama kwa Matumizi sina hakika labda sababu mimi mzee wa pekupeku
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app