The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Heri yenu mnaotakiwa kuonwa uso kwa uso
Orait Orait mimi nataka kukuona face to face
Heri yenu mnaotakiwa kuonwa uso kwa uso
ahh thax jaman
karibu saaaaaana ata mi pia nina hamu ya kukuona
si tupo tu ebu wachek st roy,finest,asprn,teamo ,mwanajamiii watakupa mwongozo wa makutano!!!
jana tulikuwa pamoja na nyama mbuzi...ebu wachek ao watu watakupa raman na mama bg pia utamwona laiv!!!!!!
Wooow!
Mkuu, ni habari njema hii!
Wanasema mtu aliyefanikiwa zaidi maishani ni yule aliyeweza kutengeneza marafiki wengi zaidi!...Inafurahisha kuwa unatambua urafiki kati yetu, hatua ndogo ya mwisho ni kuonana tu!
Kwa mimi, ukifanikiwa kumpata Acid umenipata...
Karibu!
Thanks mkuu.
Naona nimekamata namba moja hapo, au haihusiani? Karibu mkuu.....Asprin anapatikana bar yoyote ile inayouza Serengeti au Valeur iliyopo Daslam. Nami pia natamani sana kukuona tuongeze idadi ya marafiki.
Deodat
hizo ndevu tu ......zisijekuwa za kichina tu!
Orait, utakutana na baba B na digidigi finestaKHA! Mama big namuogopa asije akanichakachua, nimesisitiza ni Agape love tu, anyway alitangaza chup* yake inanukia sana kiasi kwamba kuna mtu anaing'ang'ani, labda mie anipatie hiyo tu! kwi! kwi! kwi!
baba Gift, toa coordinates za jioni. huyu mwanachama aweze kujionea raha ya jf.Poa kaka, najua hapo inapopatika serengeti na safari lager nayo itakuwepo manake mie hicho ndicho kipoza koo changu, see you soon!
Heeh! hivyo kuna ndeVu za kichina? basi mie nataka za kifuani manake mrembo wangu kila tukiangalia movie basi yeye anawasifia kweli wanaume wenye ndevu (nywele) za kifuani i hali anajua mie sina, na mimi sasa tukiwa tunaangalia movie nawasifia wadada wenye makalio makubwa wakati yeye hana.
Kumbe Gaijin ni Mwl? ndio maana post zake ni za utulivu na mafundisho mengi sana. Ubarikiwe.
Wooow!
Mkuu, ni habari njema hii!
Wanasema mtu aliyefanikiwa zaidi maishani ni yule aliyeweza kutengeneza marafiki wengi zaidi!...Inafurahisha kuwa unatambua urafiki kati yetu, hatua ndogo ya mwisho ni kuonana tu!
Kwa mimi, ukifanikiwa kumpata Acid umenipata...
Karibu!
Heri yenu mnaotakiwa kuonwa uso kwa uso
MJ1... unajua kwamba post yako itafanya mtu aamini mimi ni PJ?/ and you know its not true, do you know the implications? Na wewe umeshatuona wote?Sikuwa najua kuwa una ID mbili kaka............... orait orait
Pamoja sana mkuu... chapa box ukirudi tuchape vumbi.... one loveThanks mkuu kwa sasa niko mbali kidogo (nakula box huku ugenini th! th!) lakini punde nitakuja vacation home, lazima nitafute wapwaz!
Ukifika nibip!swahiba... thanks kwa krosi, nakuja huko aisee kula bata wa esami kaa mkao wa kunywa