Mpange nini?wakati umeishachakachua jina lake??endelea na hao uliowachagua sisi na sarah wetu tumebakinaye huku! Nyie endeleeni kukutana chini ya mti!!!!eeh, sara jamani usichukie, sikumaanisha hivyo, hata wewe pia nataka nikuone uso kwa uso! tupange basi!
kama kawa.... tutaanzia freedom, then moshono, kwa kongoro swafiUkifika nibip!
Nafikiri ile vita yetu na Paka Mweusi itakuwa imeisha.....halafu nilimsahau kwenye list....lakini naye yumo.....HESHIMA KWAKO PAKA MWEUSI. ha ha ha!
Heeh! hivyo kuna ndeVu za kichina? basi mie nataka za kifuani manake mrembo wangu kila tukiangalia movie basi yeye anawasifia kweli wanaume wenye ndevu (nywele) za kifuani i hali anajua mie sina, na mimi sasa tukiwa tunaangalia movie nawasifia wadada wenye makalio makubwa wakati yeye hana.
Omba Mungu asiione Kaizer maana mmmh
Heeh! hivyo kuna ndeVu za kichina? basi mie nataka za kifuani manake mrembo wangu kila tukiangalia movie basi yeye anawasifia kweli wanaume wenye ndevu (nywele) za kifuani i hali anajua mie sina, na mimi sasa tukiwa tunaangalia movie nawasifia wadada wenye makalio makubwa wakati yeye hana.
sasa wewe unataka bifu aiseeWengi niko sure hawangependa kunekana!!, Huu mtandao umeficha mengi, Hata pengine wengine wajifanya WAKE hapo hapo pia Wajifanya WAUME (Semenya), Usiombe kukutana nao; Wengi watakuwa Mabubu!!!!!!!!!!!!
Wengi niko sure hawangependa kunekana!!, Huu mtandao umeficha mengi, Hata pengine wengine wajifanya WAKE hapo hapo pia Wajifanya WAUME (Semenya), Usiombe kukutana nao; Wengi watakuwa Mabubu!!!!!!!!!!!!
:doh::doh: nimekosekana:doh::doh:
Mpange nini?wakati umeishachakachua jina lake??endelea na hao uliowachagua sisi na sarah wetu tumebakinaye huku! Nyie endeleeni kukutana chini ya mti!!!!
MJ1... unajua kwamba post yako itafanya mtu aamini mimi ni PJ?/ and you know its not true, do you know the implications? Na wewe umeshatuona wote?
Si unajua kuna kipindi walinipiga ban, nikaja kivyengine!