SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Kweli kabisaPost hii nimeikumbuka, kweli tumetoka mbali ndani ya Jambo/Jamii forum.
Kweli kabisaPost hii nimeikumbuka, kweli tumetoka mbali ndani ya Jambo/Jamii forum.
Kama ni project jiandae mambo yatatiki lol au ushachoka kusubirilabda...
Kutokana na michango yao hapa JF, nimejikuta nikiwapenda sana (ni agape love wandugu sio vingine) members wafuatao na nitafurahi sana siku nikifanikiwa kuwaona uso kwa uso:
1. Asprin
2. FirstLady
3. PakaJimmy
4. Mwanakijiji
5. Pasco
6. Acid
7. Nyaningabu
8. Nyamayao
9. Fidel
10. Roya
11. Rose80
12. The Finest
13. Rutashubanyuma
14. Gender sensitive (Regia)
15. Mwanajamii one
16. Gaijin
Inshallah Mungu akipenda!
Kama ni project jiandae mambo yatatiki lol au ushachoka kusubiri
Ha ha ha unahisi atakuja anaendesha ungo au?Mkuu hutaki kumuona miss chagga uso kwa uso?? mi binafsi natamani nionane nao wote kasoro mmoja tu... mshana jr huyu jamaa nikikutana nae uso kwa uso ntakimbia aiseeee
Ha ha ha unahisi atakuja anaendesha ungo au?
Ha ha me simwogopi natamani kumwonaYaaan we acha tu..kama post zake tu humu ndani zinanisisimua na kuogopesha we unadhani ukikutana nae live itakuaje? nahisi kama ana uwezo wa kunigeuza mjusi,huyu mtu hapana kwakweli.