Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
Wakuu naomba ushauri wenu nimenunua shamba eneo la Vigwaza Buyuni ni zao gani linaweza kunitoa kimaisha
maana kwa sasa sina kazi na nina mtaji wa 500,000/= bank.
Nahofia nikifanya biashara pesa inaweza kukatika nikiwa sijafanya jambo lolote la maana.
Nitashukuru kwa ushauri wenu.
maana kwa sasa sina kazi na nina mtaji wa 500,000/= bank.
Nahofia nikifanya biashara pesa inaweza kukatika nikiwa sijafanya jambo lolote la maana.
Nitashukuru kwa ushauri wenu.