ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,569
- 44,789
Si ya pesapicha ya nini unataka?
Si ya pesapicha ya nini unataka?
Fursa zipo nying mkuuwapi?
huwa unazifanyia nini?Mimi sio kwamba hela hazitulii kwangu bali mimi ndio huwa situlii nikipata hela.
ndio nini hiyo?Kanunue dengue huko.
kuzihifadhi mwenyewe naweza ila siwezi kuzitumia naogopa nitajulikana nina pesaNipe nikusaidie kuzihifadhi..!
hajanipa baba au mama, sifanyi kazi. ndio maana sioni nitumie wapi sababu watajua halafu siko tayari kueleza nimezitoa wapiHela kakupa baba??..Au umeanza kazi
unaona je ninunue kichwa chako? 😁Zitumie hizo fedha kununua kichwa cha mtu mwenye akili kisha kafanye transplantation, ili uwe na akili. Wewe ni jiwe
that doesn't sound greatKatombee
ziko nyingi tuUna sh ngapi sema fasta fasta
Cryptocurrency na stockmarket.wapi?
hmmm huu ushauri wako hata haunifai. unaweza niletea matatizoKAMPE BABA YAKO YEYE ANAJUA CHA KUFANYA NAZO
kwani wewe huzijui mpka unataka picha 😂Si ya pesa
Karibu sana, nitakuuzia kichwa cha habariunaona je ninunue kichwa chako? 😁
We jamaa unazingua Kazi ya hela ni kulia bata. Nazipasuaga batani. Coz moneybis the just trap of numbers na Ukitaka kujua haya nu pindi binadamu anapokufa hapo ndio maisha halisi ya ukweli yasiyo feki yanaanza.. No money in afterlife ndio sababu hata Mungu hatumii hela.huwa unazifanyia nini?
Uanweza fikilia ana pesa nyingiii, kumbe hamna kituumeshawahi kuwa na pesa halafu ukawa hujui utumie nini? nahisi nataka nitumie lakini sioni nitumie wapi. nimewaza mpka kichwa kina uma kuwa na pesa nayo tabu kweli
Una sh. ngapi? Usije ukawa na sh 10,000.umeshawahi kuwa na pesa halafu ukawa hujui utumie nini? nahisi nataka nitumie lakini sioni nitumie wapi. nimewaza mpka kichwa kina uma 😇😇😎 kuwa na pesa nayo tabu kweli 😆
umeshawahi kuwa na pesa halafu ukawa hujui utumie nini? nahisi nataka nitumie lakini sioni nitumie wapi. nimewaza mpka kichwa kina uma kuwa na pesa nayo tabu kweli