salehe mahonyo
Member
- Mar 18, 2018
- 31
- 7
Nina one 8 PCB naweza kupata MD fourth round udom? Msaada
TangaUpo mkoa gani, wenzio wanawatimbia ofisini live.. vyuo vimekua magumashi sana ila una ufaulu mzuri
Boss jaribu kuomba tena huwezi jua bahati yako, omba hata muhas angalia pia vyuo vyenye kozi za afya ambazo ziko related wewe omba.Nina one 8 PCB naweza kupata MD fourth round udom? Msaada
We dogo unawezaje kusema hio inAcha kujifanya Kama hujuh kinachoendelea basi!!! Kwan hujuh 1.8 ni kama zero kwa PCB?? Wenzako hawajang'ang'ania wewe nenda kawe doctor wa mifugo huko sio lazima ushike mioyo na mishipa ya mwanadamu hata ng'ombe wanaitaji huduma yako!!
"KIDDING"
Mwana mm mwanangu Ana 1.9 kakubali tu kwenda sua man sikuh MAGUFULI NA NDALICHAKO WAMEAMUA KUTUKAZIA MM MWENYEW HAPA NIPO 6 PCB NIKIFIKIRIA UFAULU NYIE TU MPAKA 1.7 HAWAJACHUKULIWA Sasa sisi VIMANGALA TULIO BAKI SHULENI NAHISI WAYACHUKUA YA 3 NA YA 4 mm nakushauri ujaribu scholarship tu mwanangu ni TIZI kipind hiki Cha NDALICHAKO wao wanataka waliim walio faulu Sana kuliko zamani mpka iwe na 3 ko wamekaza ILI VIMANGALA TWENDE UALIMU
BUT NOT ME
#BORN_FOR_MEDICAL
Ww dogo unawezaje kusema hio ni zero ingawa u hujafanya hata pepaAcha kujifanya Kama hujuh kinachoendelea basi!!! Kwan hujuh 1.8 ni kama zero kwa PCB?? Wenzako hawajang'ang'ania wewe nenda kawe doctor wa mifugo huko sio lazima ushike mioyo na mishipa ya mwanadamu hata ng'ombe wanaitaji huduma yako!!
"KIDDING"
Mwana mm mwanangu Ana 1.9 kakubali tu kwenda sua man sikuh MAGUFULI NA NDALICHAKO WAMEAMUA KUTUKAZIA MM MWENYEW HAPA NIPO 6 PCB NIKIFIKIRIA UFAULU NYIE TU MPAKA 1.7 HAWAJACHUKULIWA Sasa sisi VIMANGALA TULIO BAKI SHULENI NAHISI WAYACHUKUA YA 3 NA YA 4 mm nakushauri ujaribu scholarship tu mwanangu ni TIZI kipind hiki Cha NDALICHAKO wao wanataka waliim walio faulu Sana kuliko zamani mpka iwe na 3 ko wamekaza ILI VIMANGALA TWENDE UALIMU
BUT NOT ME
#BORN_FOR_MEDICAL
Wewe dogo unawezaje kusema hip no kama zero ingawa we hujafanya hata pepaAcha kujifanya Kama hujuh kinachoendelea basi!!! Kwan hujuh 1.8 ni kama zero kwa PCB?? Wenzako hawajang'ang'ania wewe nenda kawe doctor wa mifugo huko sio lazima ushike mioyo na mishipa ya mwanadamu hata ng'ombe wanaitaji huduma yako!!
"KIDDING"
Mwana mm mwanangu Ana 1.9 kakubali tu kwenda sua man sikuh MAGUFULI NA NDALICHAKO WAMEAMUA KUTUKAZIA MM MWENYEW HAPA NIPO 6 PCB NIKIFIKIRIA UFAULU NYIE TU MPAKA 1.7 HAWAJACHUKULIWA Sasa sisi VIMANGALA TULIO BAKI SHULENI NAHISI WAYACHUKUA YA 3 NA YA 4 mm nakushauri ujaribu scholarship tu mwanangu ni TIZI kipind hiki Cha NDALICHAKO wao wanataka waliim walio faulu Sana kuliko zamani mpka iwe na 3 ko wamekaza ILI VIMANGALA TWENDE UALIMU
BUT NOT ME
#BORN_FOR_MEDICAL
Nina one 8 PCB naweza kupata MD fourth round udom? Msaada
Bam,Nina c .hesab o level csema ukweli BAM UNA GRADE GANI
NA OLEVEL MATHEMATICS ULIPATA ALAMA GANI ?
Mdogo wangu mwaka huu 1.8 kupata MD ni ishu nzito mno aisee bora ungeomba nursing au veterinary medicine SUANina one 8 PCB naweza kupata MD fourth round udom? Msaada
Thanks mkuuOmba, wakizingua bora ukae mtaani usubiri uje utimize ndoto zako hata mwakani,kuliko kusoma course mbadala usiyoipenda.