salehe mahonyo
Member
- Mar 18, 2018
- 31
- 7
- Thread starter
- #21
Wamenichagua architecture VP nzur,??Mdogo wangu mwaka huu 1.8 kupata MD ni ishu nzito mno aisee bora ungeomba nursing au veterinary medicine SUA
Wamenichagua architecture VP nzur,??Mdogo wangu mwaka huu 1.8 kupata MD ni ishu nzito mno aisee bora ungeomba nursing au veterinary medicine SUA
Wamenipangia architecture VP iko gud!?Omba, wakizingua bora ukae mtaani usubiri uje utimize ndoto zako hata mwakani,kuliko kusoma course mbadala usiyoipenda.
Dgo unajua kuchoraWamenichagua architecture VP nzur,??
Ndo kipJi changu mkuuDgo unajua kuchora
Fanya mpango wa transfer hio architecture itakusumbua mno kwanza course duration ni 5yrs the same as MD so hapa ushauri wangu tafuta nafasi ya kuhama chuo either bugando,kcmc au udom japokuwa ni ngumu ila jaribu bahati yakoWamenichagua architecture VP nzur,??
Sikukatishi tama hebu jaribu ila me mwenzio niliomna hapo nikiwa na 1.7 ila hata mungu anajua ila kwasasa niliomba KCMC na wakanikubali ila kwa maajabu zaidi ya yote katika list ya course zinazo taka watu pale UDOM MD nayo ipo sijui umenielewa hapo??Nina one 8 PCB naweza kupata MD fourth round udom? Msaada
Nafasi MD ipo kwasababu kuna watu walikuwa na multiple selection wakaconfirm somewhere else.Sikukatishi tama hebu jaribu ila me mwenzio niliomna hapo nikiwa na 1.7 ila hata mungu anajua ila kwasasa niliomba KCMC na wakanikubali ila kwa maajabu zaidi ya yote katika list ya course zinazo taka watu pale UDOM MD nayo ipo sijui umenielewa hapo??
Nina one 8 PCB naweza kupata MD fourth round udom? Msaada
Udsm wamenichukua architecture VP naweza badil CCB ,Nimesoma mahali udahili umefunguliwa kwa MD program ya UDSM. Kama una sifa na hajapata chuo mpaka sasa, anaweza kufanya application.
fanya re-application mdogo wangu, MD mwisho tarehe 3 sio mbali, UDSM, kuliko kubaki na architecture, si kwamba ni kozi mbaya, ni nzuri ila ya muda mrefu kama Md, na soko si kubwaUdsm wamenichukua architecture VP naweza badil CCB ,