Nina na Sinta wako wapi?

alizalishwa huko na mganda choka mbaya but akaja hapa akawarudia wadau wake nani amatke mtu keshazalishwa basi akaona hana deala akakwapua vijisenta akarudi tena huko ingawa mwenyewe anasema yuko ethiopia
ACHA UCHAWI.MTOTO MDOGO IVO! MARA KAFA, MARA KAIBA! NA WEWE KUFA!
 
Hawa kina dada siku hizi wako wapi

Sinta alitikisa vyombo vya habari kupitia magazeti kila kukicha sinta , sinta

i1470_sintagp.jpg


Nina alikuwa anaigiza katika kikundi cha kaole lakini sasa hajulikani yuko wapi na wala hasikiki kabisa

Mnaweza kunipa update za hawa ladies wako wapi kwa sasa na wanafanya nini
Duuuh
 
Nina ameolewa kama mke wa pili na mfanyakazi (bosi) mmoja wa TANESCO.Nafikiri hiyo imemfanya atulie katika ndoa yake akisubiri kuongeza familia.
Najazia nyama mkuu.
Amejengewa nyumba na bosi wa Tanesco,
Yupo Magomeni kimamba chidya. Opposite na chidya bar..

Bado toto tamu kweli
 
HUYO SINTA SI NDIYE YULE ALIYEPONDWA NA JUMA KIROBOTO KTK WIMBO WA "SITAKI DEMU"? ..... MTOTO WA MZEE MWALUBADU, YULE MZEE ANAYEONGOZA KWA KUVUA NGADU.
 
Najazia nyama mkuu.
Amejengewa nyumba na bosi wa Tanesco,
Yupo Magomeni kimamba chidya. Opposite na chidya bar..

Bado toto tamu kweli
Nilikuwa nampenda sana Nina tangu nikiwa sijabalehe, yule ni kama mama tangu lakini bado nampenda

Ana macho mazuri sana

Hebu nipe namba mkuu
 
Back
Top Bottom