Sema hii haijakaa poa kabisana walaaniwe hawa maproduza wanaopenda kumega watoto wa wenzao na kuwaacha solemba
Hii nayo ni pointhao warembo wanajiachia tu wenyewe kwa kupenda mteremko, mtu kama nana/nora atadanganywa na lipi, wanajitakia tu....halafu wanakuwaga na nini cjui hawawezi ku date na watu wakawaida ni mpaka wapate hao wenzao wanaojiita supa staa, ndio mana hawadumu.
Dah mkuu umenikumbusha mbaliHata HOT GIRLS wale wa raha ya tunda wako wapi.
ACHA UCHAWI.MTOTO MDOGO IVO! MARA KAFA, MARA KAIBA! NA WEWE KUFA!alizalishwa huko na mganda choka mbaya but akaja hapa akawarudia wadau wake nani amatke mtu keshazalishwa basi akaona hana deala akakwapua vijisenta akarudi tena huko ingawa mwenyewe anasema yuko ethiopia
Ilikuwa pisi kali sanaAunt
Seche na yeye yuko wapi????
DuuuhHawa kina dada siku hizi wako wapi
Sinta alitikisa vyombo vya habari kupitia magazeti kila kukicha sinta , sinta
Nina alikuwa anaigiza katika kikundi cha kaole lakini sasa hajulikani yuko wapi na wala hasikiki kabisa
Mnaweza kunipa update za hawa ladies wako wapi kwa sasa na wanafanya nini
Regia mtema duh so sad kitambo Sana hii I'dWamefulia ndio maana huwasikii.
Najazia nyama mkuu.Nina ameolewa kama mke wa pili na mfanyakazi (bosi) mmoja wa TANESCO.Nafikiri hiyo imemfanya atulie katika ndoa yake akisubiri kuongeza familia.
Hayupo instaNajazia nyama mkuu.
Amejengewa nyumba na bosi wa Tanesco,
Yupo Magomeni kimamba chidya. Opposite na chidya bar..
Bado toto tamu kweli
Nilikuwa nampenda sana Nina tangu nikiwa sijabalehe, yule ni kama mama tangu lakini bado nampendaNajazia nyama mkuu.
Amejengewa nyumba na bosi wa Tanesco,
Yupo Magomeni kimamba chidya. Opposite na chidya bar..
Bado toto tamu kweli