Mimi kwangu mtu akitazama Tbc adhabu yake ni kuvunjwa mguu.
Sio ridikteta tu, ni lidikteta uchwaraHiri rijamaa niridikiteta
Yaani uelewa ni kuto angalia, bila kujali unaangalia program gani?Kuangalia Tv ni Mambo ya kijinga na kipuuzi hasa kuangalia ligi ya Mpira wa Tz
Faida za kuwa na Rais mwanamke Tanzania
Nakuunga mkono sanaaNyumbani kwangu nimepigaga marufuku kitu inaitwa kutazama TV. Habari naangalia kupitia simu, watoto kila mtu ana tablet yake, huko ni video za masomo nimejaza na wakichoka kuna vitabu pia watasoma na watakuja kunifafanulia walicho jifunza.
Mpira naangaliaga kupitia mtaani ila EPL pekee, ligi ya bongo hapana.
Huwa nashangaa watu wanapo lalamika bei ya kisimbuzi imepanda, yaani mimi nilishaacha kuwachangia, hio pesa bora niweke data ninunue video za mafunzo online. Watoto nimewanunulia DVD zenye masomo mbalimbali na kila wiki nawaongezea hivyo hawana time na TV. Pia Watoto ndio sababu ya mimi kuacha kuangalia TV maana sikutaka wawe watumwa wa TV.
Kwa sasa walishazoea, ila ninacho jitahidi ni kuwatafutia video nyingi zenye mafunzo kwao, hapa nimewekeza sana.
Nilikuja kugundua TV asilimia kubwa zinaharibu watoto, haijalishi ni cartoon au nini. Watoto wanashindwa kuwa wadadisi, hawawezi kuwa creative, watoto wanashinda kutazama cartoon hakuna kitu wanajifunza pale, watoto kutwa nzima ilikuwa ni kutazama tamthilia za kiphilipino na za kihindi na za zile za kibongo ambazo nyingi sana zinaonyesha mambo ya mapenzi mapenzi tu.
Kuna watu wanadhani cartoon zinafundisha watoto, ukweli na hapana. Nikuukuulize kwenye Tom & Jerry kuna kipi mtoto anatoka nacho pale? Cartoon ni biashara tu, na zinaharibu watoto kama ulikuwa hujui. Zinafanya watoto wawe wajinga tu, kutwa nzima kusimuliana cartoon, unategea nini kama watoto wanashinda kusimuliana cartoon?
Nunua vitabu wasome, na sio tu wasome na pia waelezee walichosoma, weka DVD za mafunzo, TV watakuja kutazama wakiwa levo nyingine huko.
Wewe kama sio Msabato, njoo uniue. Nimekaa pale chini ya mwembe nacheza draft!Nyumbani kwangu nimepigaga marufuku kitu inaitwa kutazama TV. Habari naangalia kupitia simu, watoto kila mtu ana tablet yake, huko ni video za masomo nimejaza na wakichoka kuna vitabu pia watasoma na watakuja kunifafanulia walicho jifunza.
Mpira naangaliaga kupitia mtaani ila EPL pekee, ligi ya bongo hapana.
Huwa nashangaa watu wanapo lalamika bei ya kisimbuzi imepanda, yaani mimi nilishaacha kuwachangia, hio pesa bora niweke data ninunue video za mafunzo online. Watoto nimewanunulia DVD zenye masomo mbalimbali na kila wiki nawaongezea hivyo hawana time na TV. Pia Watoto ndio sababu ya mimi kuacha kuangalia TV maana sikutaka wawe watumwa wa TV.
Kwa sasa walishazoea, ila ninacho jitahidi ni kuwatafutia video nyingi zenye mafunzo kwao, hapa nimewekeza sana.
Nilikuja kugundua TV asilimia kubwa zinaharibu watoto, haijalishi ni cartoon au nini. Watoto wanashindwa kuwa wadadisi, hawawezi kuwa creative, watoto wanashinda kutazama cartoon hakuna kitu wanajifunza pale, watoto kutwa nzima ilikuwa ni kutazama tamthilia za kiphilipino na za kihindi na za zile za kibongo ambazo nyingi sana zinaonyesha mambo ya mapenzi mapenzi tu.
Kuna watu wanadhani cartoon zinafundisha watoto, ukweli na hapana. Nikuukuulize kwenye Tom & Jerry kuna kipi mtoto anatoka nacho pale? Cartoon ni biashara tu, na zinaharibu watoto kama ulikuwa hujui. Zinafanya watoto wawe wajinga tu, kutwa nzima kusimuliana cartoon, unategea nini kama watoto wanashinda kusimuliana cartoon?
Nunua vitabu wasome, na sio tu wasome na pia waelezee walichosoma, weka DVD za mafunzo, TV watakuja kutazama wakiwa levo nyingine huko.
Tena afadali utumwa wa TV uliko wa tablet maana TV huwezi tembea nayo ukitoka unaiacha nyumba sasa njoo kwenye tablet ni balaa kila mahali jiandae kuwanunulia miwanivizuri sana umewafanya kuepukana na utumwa wa tv na umefanikiwa wafanya watumwa wa tablet na wapweke
Kha Ila mmezidi....mbona Kama mnataka kuwapangia watu maisha?Kuangalia Tv ni Mambo ya kijinga na kipuuzi hasa kuangalia ligi ya Mpira wa Tz
Naiga kwakoMkuu kuna aina nyingi sana za Video za mafunzo, zipo za mambo ya Arts, zipo za masomo ya darasani, zipo za watoto wakijufunza kupika na kazi zingine za kijamii na by the way huwa hawatazami tu kuna mitihani nawapa, mfano zile za Arts kuna mazoezi kwa vitendo, na kuna baadhi ya vitu kwa sasa wanaweza tengeneza kama mapambo basdhi, na vitu vingine vingine.