Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
Jitahidi kubadilisha mtazamo, kama kina yes sir wabongo wamekushinda sasa kina equal rights sidhani kama utawaweza. You need an overhaul ya mtazamo wako wa wanawake na nafasi yao kwenye mahusiano.
Pia tabia ni ya mtu binafsi so pamoja na general observation ya hapo juu, bado waweza pata chakaramu au a saint! Good luck!
umemaliza cna cha kuongezea kaz kwako mtoa mada!