Nina mimba ya shemejii.. Ushauri jamanii

Nina mimba ya shemejii.. Ushauri jamanii

Toka kw pm yangu jamani dah..

Mwaka jana dada yangu alikuja kumtambulisha mwanaume wake, akatoa mahari na mipango ilikuwa ni kufunga ndoa mwaka jana hiyo hiyo mwezi 6. Mimi kipindi hicho nilikuwa niko kwenye mahusiano na mpenzi wangu, baada ya kumwambia kuhusu harusi ya dada yangu nilidokeza kama na mimi nataka kuolewa, nilimuambia vipi kuhusu harusi ya dada ikiisha si ndiyo inafuata yetu.

Cha ajabu alinijibu kwa dharau, mimi sioi leo wala kesho na unatakiwa kujua hata kama nikitaka kuoa basi sijui nitamuoa nani, wewe kama umepata mtu wa kukuoa olewa tu usinisubiri.

Maneno yake yaliniuma sana, nilijikuta nakuwa na hasira, niliumia kwa sababu mara nyingi dada yangu ndiyo anapata vitu vizuri, yeye alisoma akapata kazi huko UN wakati mimi ni mwalimu tu tena wa diploma nasijaairiwa nahangaika mtaani. Akawajengea wazazi wetu nyumba wanamsifia kila siku, mimi nahangaika hapa nyumbani nafanya kila kazi lakini thamani yangu haionekani. Kweli niliumia na nikahisi dada yangu ndiye ananiharibia maisha, mimi ni mzuri kuliko yeye na watu wananambia lakini sina bahati!

Baada ya mchumba wake kujitambulisha alichukua namba yangu hivyo alikuwa anaona status zangu, nilichofanya ni kwa kupost status za mtego na kumblock kila mtu anaona yeye. Akawa anacomment kama utani basi tukajikuta tunakuwa karibu, kuna siku aliniomba tutoke nikatoka naye, nikanywa na kujifanya nimelewa nikafanya naye mapenzi. Ilianza kama utani lakini baadaye niliona kama vile ananijali mimi kuliko dada hivyo nikajiona mzuri, nikaanzisha mahusiano rasmi huku nikihangaika kuona niachane na dada yangu.

Shemu alianza kuniambia mambo mabaya kuhusu dada yangu, akawa ananiambia jinsi ambavyo anamchukia kutokana na kazi yake huko na mambo kibao. Nilikuwa najisikia vizuri kuwa hampendi dada anamvumilia tu hivyo nilijiweka kwenye nafasi ya mimi kuwa karibu zaidi na kweli mahusiano yake na dada yalitibuka sana, nikamuona dada ana mawazo, kila wakati kulalamika, alikuwa haniambii mambo yake sana lakini nilijua kuwa anaumia hivyo niliendelea kufurahia!

Kumkomoa zaidi dada niliamua kubeba ujauzito, malengo yangu ni ili amuache kabisa nikiamini atakuja kunioa mimi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nilipambana mpaka nikabeba mimba ya shemeji, lakini nilipokuja kumwambia mwanaume nilimuona kabadilika, akawa mkali na kuniambia nitoe. Nilipanga kutoa kweli kwani baada ya muda niliona kama ni ujinga lakini katika kuongea naye alitamka maneno ambayo yalinifanya kupaniki, akasema sitaki kumuumiza dada yako ni mtu mwema sana kwangu. Akaanza kumsifia na kumpa sifa kibao, kweli nilikasirika kwani niliona anampenda dada kuliko mimi.

Nilimdanganya kuwa mimba nimeshaitoa hivyo tunaendelea na mapenzi yetu lakini kumbe sikutoa na sasa hivi nina ujauzito ni kama miezi 5. Mwanaume alivyojua kuwa sijatoa mimba alikasirika, akabadilika na kuninunia. Nilishangaa baada ya kusema sasa tuongee kuhusu mapenzi yetu, akaendelea na mipangoya kumuoa dada. Mimi nilimuambia usimuoe kama ukimuoa nitasema kila kitu lakini yeye hakujali, mipango inaendelea ndoa kufungwa mwezi 6 na kila kitu kimekamilika.

Nyumbani wanajua nina mimba lakini hawajui ni ya nani? Kweli siko tayari kuwa single mother, sitaki aolewe dada yangu. Natamani kuongea lakini najiuliza akija nikiongea atajirudi na kunipenda mimi? Nimechoka kweli, dada yangu kupata kila kitu kizuri, ananiajali kweli, ananisaidia nikikwama ananipa pesa hata kodi ya nyumba ndiye analipia lakini kwanini yeye apate kila kitu kizuri, anataka nimuambie ili hata kama mwanaume hatanioa tuumie wote nimechoka kuwa mwema kwa watu nimechoka na mimi nataka kuwa na maisha yangu, mwanangu alelewe na baba yake. Nisaidie nifanye nini?
Akili kisoda
 
Toka kw pm yangu jamani dah..

Mwaka jana dada yangu alikuja kumtambulisha mwanaume wake, akatoa mahari na mipango ilikuwa ni kufunga ndoa mwaka jana hiyo hiyo mwezi 6. Mimi kipindi hicho nilikuwa niko kwenye mahusiano na mpenzi wangu, baada ya kumwambia kuhusu harusi ya dada yangu nilidokeza kama na mimi nataka kuolewa, nilimuambia vipi kuhusu harusi ya dada ikiisha si ndiyo inafuata yetu.

Cha ajabu alinijibu kwa dharau, mimi sioi leo wala kesho na unatakiwa kujua hata kama nikitaka kuoa basi sijui nitamuoa nani, wewe kama umepata mtu wa kukuoa olewa tu usinisubiri.

Maneno yake yaliniuma sana, nilijikuta nakuwa na hasira, niliumia kwa sababu mara nyingi dada yangu ndiyo anapata vitu vizuri, yeye alisoma akapata kazi huko UN wakati mimi ni mwalimu tu tena wa diploma nasijaairiwa nahangaika mtaani. Akawajengea wazazi wetu nyumba wanamsifia kila siku, mimi nahangaika hapa nyumbani nafanya kila kazi lakini thamani yangu haionekani. Kweli niliumia na nikahisi dada yangu ndiye ananiharibia maisha, mimi ni mzuri kuliko yeye na watu wananambia lakini sina bahati!

Baada ya mchumba wake kujitambulisha alichukua namba yangu hivyo alikuwa anaona status zangu, nilichofanya ni kwa kupost status za mtego na kumblock kila mtu anaona yeye. Akawa anacomment kama utani basi tukajikuta tunakuwa karibu, kuna siku aliniomba tutoke nikatoka naye, nikanywa na kujifanya nimelewa nikafanya naye mapenzi. Ilianza kama utani lakini baadaye niliona kama vile ananijali mimi kuliko dada hivyo nikajiona mzuri, nikaanzisha mahusiano rasmi huku nikihangaika kuona niachane na dada yangu.

Shemu alianza kuniambia mambo mabaya kuhusu dada yangu, akawa ananiambia jinsi ambavyo anamchukia kutokana na kazi yake huko na mambo kibao. Nilikuwa najisikia vizuri kuwa hampendi dada anamvumilia tu hivyo nilijiweka kwenye nafasi ya mimi kuwa karibu zaidi na kweli mahusiano yake na dada yalitibuka sana, nikamuona dada ana mawazo, kila wakati kulalamika, alikuwa haniambii mambo yake sana lakini nilijua kuwa anaumia hivyo niliendelea kufurahia!

Kumkomoa zaidi dada niliamua kubeba ujauzito, malengo yangu ni ili amuache kabisa nikiamini atakuja kunioa mimi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nilipambana mpaka nikabeba mimba ya shemeji, lakini nilipokuja kumwambia mwanaume nilimuona kabadilika, akawa mkali na kuniambia nitoe. Nilipanga kutoa kweli kwani baada ya muda niliona kama ni ujinga lakini katika kuongea naye alitamka maneno ambayo yalinifanya kupaniki, akasema sitaki kumuumiza dada yako ni mtu mwema sana kwangu. Akaanza kumsifia na kumpa sifa kibao, kweli nilikasirika kwani niliona anampenda dada kuliko mimi.

Nilimdanganya kuwa mimba nimeshaitoa hivyo tunaendelea na mapenzi yetu lakini kumbe sikutoa na sasa hivi nina ujauzito ni kama miezi 5. Mwanaume alivyojua kuwa sijatoa mimba alikasirika, akabadilika na kuninunia. Nilishangaa baada ya kusema sasa tuongee kuhusu mapenzi yetu, akaendelea na mipangoya kumuoa dada. Mimi nilimuambia usimuoe kama ukimuoa nitasema kila kitu lakini yeye hakujali, mipango inaendelea ndoa kufungwa mwezi 6 na kila kitu kimekamilika.

Nyumbani wanajua nina mimba lakini hawajui ni ya nani? Kweli siko tayari kuwa single mother, sitaki aolewe dada yangu. Natamani kuongea lakini najiuliza akija nikiongea atajirudi na kunipenda mimi? Nimechoka kweli, dada yangu kupata kila kitu kizuri, ananiajali kweli, ananisaidia nikikwama ananipa pesa hata kodi ya nyumba ndiye analipia lakini kwanini yeye apate kila kitu kizuri, anataka nimuambie ili hata kama mwanaume hatanioa tuumie wote nimechoka kuwa mwema kwa watu nimechoka na mimi nataka kuwa na maisha yangu, mwanangu alelewe na baba yake. Nisaidie nifanye nini?
Naomba mungu afungue mtego huu Ili dada yako ajue mtu aliejua ni baba mwema kumbe ni malaya na amefuata mali na simapenzi inawezekana dada angekufa kwa matatizo ya mumewe ila naomba siri ifichuke halafu jamaa aondoke kwa wote.
Kwakifupi hio nyumba hakuna atakaeolewa na msela
 
Toka kw pm yangu jamani dah..

Mwaka jana dada yangu alikuja kumtambulisha mwanaume wake, akatoa mahari na mipango ilikuwa ni kufunga ndoa mwaka jana hiyo hiyo mwezi 6. Mimi kipindi hicho nilikuwa niko kwenye mahusiano na mpenzi wangu, baada ya kumwambia kuhusu harusi ya dada yangu nilidokeza kama na mimi nataka kuolewa, nilimuambia vipi kuhusu harusi ya dada ikiisha si ndiyo inafuata yetu.

Cha ajabu alinijibu kwa dharau, mimi sioi leo wala kesho na unatakiwa kujua hata kama nikitaka kuoa basi sijui nitamuoa nani, wewe kama umepata mtu wa kukuoa olewa tu usinisubiri.

Maneno yake yaliniuma sana, nilijikuta nakuwa na hasira, niliumia kwa sababu mara nyingi dada yangu ndiyo anapata vitu vizuri, yeye alisoma akapata kazi huko UN wakati mimi ni mwalimu tu tena wa diploma nasijaairiwa nahangaika mtaani. Akawajengea wazazi wetu nyumba wanamsifia kila siku, mimi nahangaika hapa nyumbani nafanya kila kazi lakini thamani yangu haionekani. Kweli niliumia na nikahisi dada yangu ndiye ananiharibia maisha, mimi ni mzuri kuliko yeye na watu wananambia lakini sina bahati!

Baada ya mchumba wake kujitambulisha alichukua namba yangu hivyo alikuwa anaona status zangu, nilichofanya ni kwa kupost status za mtego na kumblock kila mtu anaona yeye. Akawa anacomment kama utani basi tukajikuta tunakuwa karibu, kuna siku aliniomba tutoke nikatoka naye, nikanywa na kujifanya nimelewa nikafanya naye mapenzi. Ilianza kama utani lakini baadaye niliona kama vile ananijali mimi kuliko dada hivyo nikajiona mzuri, nikaanzisha mahusiano rasmi huku nikihangaika kuona niachane na dada yangu.

Shemu alianza kuniambia mambo mabaya kuhusu dada yangu, akawa ananiambia jinsi ambavyo anamchukia kutokana na kazi yake huko na mambo kibao. Nilikuwa najisikia vizuri kuwa hampendi dada anamvumilia tu hivyo nilijiweka kwenye nafasi ya mimi kuwa karibu zaidi na kweli mahusiano yake na dada yalitibuka sana, nikamuona dada ana mawazo, kila wakati kulalamika, alikuwa haniambii mambo yake sana lakini nilijua kuwa anaumia hivyo niliendelea kufurahia!

Kumkomoa zaidi dada niliamua kubeba ujauzito, malengo yangu ni ili amuache kabisa nikiamini atakuja kunioa mimi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nilipambana mpaka nikabeba mimba ya shemeji, lakini nilipokuja kumwambia mwanaume nilimuona kabadilika, akawa mkali na kuniambia nitoe. Nilipanga kutoa kweli kwani baada ya muda niliona kama ni ujinga lakini katika kuongea naye alitamka maneno ambayo yalinifanya kupaniki, akasema sitaki kumuumiza dada yako ni mtu mwema sana kwangu. Akaanza kumsifia na kumpa sifa kibao, kweli nilikasirika kwani niliona anampenda dada kuliko mimi.

Nilimdanganya kuwa mimba nimeshaitoa hivyo tunaendelea na mapenzi yetu lakini kumbe sikutoa na sasa hivi nina ujauzito ni kama miezi 5. Mwanaume alivyojua kuwa sijatoa mimba alikasirika, akabadilika na kuninunia. Nilishangaa baada ya kusema sasa tuongee kuhusu mapenzi yetu, akaendelea na mipangoya kumuoa dada. Mimi nilimuambia usimuoe kama ukimuoa nitasema kila kitu lakini yeye hakujali, mipango inaendelea ndoa kufungwa mwezi 6 na kila kitu kimekamilika.

Nyumbani wanajua nina mimba lakini hawajui ni ya nani? Kweli siko tayari kuwa single mother, sitaki aolewe dada yangu. Natamani kuongea lakini najiuliza akija nikiongea atajirudi na kunipenda mimi? Nimechoka kweli, dada yangu kupata kila kitu kizuri, ananiajali kweli, ananisaidia nikikwama ananipa pesa hata kodi ya nyumba ndiye analipia lakini kwanini yeye apate kila kitu kizuri, anataka nimuambie ili hata kama mwanaume hatanioa tuumie wote nimechoka kuwa mwema kwa watu nimechoka na mimi nataka kuwa na maisha yangu, mwanangu alelewe na baba yake. Nisaidie nifanye nini?
Mithali 28
13 Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema.
 
Toka kw pm yangu jamani dah..

Mwaka jana dada yangu alikuja kumtambulisha mwanaume wake, akatoa mahari na mipango ilikuwa ni kufunga ndoa mwaka jana hiyo hiyo mwezi 6. Mimi kipindi hicho nilikuwa niko kwenye mahusiano na mpenzi wangu, baada ya kumwambia kuhusu harusi ya dada yangu nilidokeza kama na mimi nataka kuolewa, nilimuambia vipi kuhusu harusi ya dada ikiisha si ndiyo inafuata yetu.

Cha ajabu alinijibu kwa dharau, mimi sioi leo wala kesho na unatakiwa kujua hata kama nikitaka kuoa basi sijui nitamuoa nani, wewe kama umepata mtu wa kukuoa olewa tu usinisubiri.

Maneno yake yaliniuma sana, nilijikuta nakuwa na hasira, niliumia kwa sababu mara nyingi dada yangu ndiyo anapata vitu vizuri, yeye alisoma akapata kazi huko UN wakati mimi ni mwalimu tu tena wa diploma nasijaairiwa nahangaika mtaani. Akawajengea wazazi wetu nyumba wanamsifia kila siku, mimi nahangaika hapa nyumbani nafanya kila kazi lakini thamani yangu haionekani. Kweli niliumia na nikahisi dada yangu ndiye ananiharibia maisha, mimi ni mzuri kuliko yeye na watu wananambia lakini sina bahati!

Baada ya mchumba wake kujitambulisha alichukua namba yangu hivyo alikuwa anaona status zangu, nilichofanya ni kwa kupost status za mtego na kumblock kila mtu anaona yeye. Akawa anacomment kama utani basi tukajikuta tunakuwa karibu, kuna siku aliniomba tutoke nikatoka naye, nikanywa na kujifanya nimelewa nikafanya naye mapenzi. Ilianza kama utani lakini baadaye niliona kama vile ananijali mimi kuliko dada hivyo nikajiona mzuri, nikaanzisha mahusiano rasmi huku nikihangaika kuona niachane na dada yangu.

Shemu alianza kuniambia mambo mabaya kuhusu dada yangu, akawa ananiambia jinsi ambavyo anamchukia kutokana na kazi yake huko na mambo kibao. Nilikuwa najisikia vizuri kuwa hampendi dada anamvumilia tu hivyo nilijiweka kwenye nafasi ya mimi kuwa karibu zaidi na kweli mahusiano yake na dada yalitibuka sana, nikamuona dada ana mawazo, kila wakati kulalamika, alikuwa haniambii mambo yake sana lakini nilijua kuwa anaumia hivyo niliendelea kufurahia!

Kumkomoa zaidi dada niliamua kubeba ujauzito, malengo yangu ni ili amuache kabisa nikiamini atakuja kunioa mimi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nilipambana mpaka nikabeba mimba ya shemeji, lakini nilipokuja kumwambia mwanaume nilimuona kabadilika, akawa mkali na kuniambia nitoe. Nilipanga kutoa kweli kwani baada ya muda niliona kama ni ujinga lakini katika kuongea naye alitamka maneno ambayo yalinifanya kupaniki, akasema sitaki kumuumiza dada yako ni mtu mwema sana kwangu. Akaanza kumsifia na kumpa sifa kibao, kweli nilikasirika kwani niliona anampenda dada kuliko mimi.

Nilimdanganya kuwa mimba nimeshaitoa hivyo tunaendelea na mapenzi yetu lakini kumbe sikutoa na sasa hivi nina ujauzito ni kama miezi 5. Mwanaume alivyojua kuwa sijatoa mimba alikasirika, akabadilika na kuninunia. Nilishangaa baada ya kusema sasa tuongee kuhusu mapenzi yetu, akaendelea na mipangoya kumuoa dada. Mimi nilimuambia usimuoe kama ukimuoa nitasema kila kitu lakini yeye hakujali, mipango inaendelea ndoa kufungwa mwezi 6 na kila kitu kimekamilika.

Nyumbani wanajua nina mimba lakini hawajui ni ya nani? Kweli siko tayari kuwa single mother, sitaki aolewe dada yangu. Natamani kuongea lakini najiuliza akija nikiongea atajirudi na kunipenda mimi? Nimechoka kweli, dada yangu kupata kila kitu kizuri, ananiajali kweli, ananisaidia nikikwama ananipa pesa hata kodi ya nyumba ndiye analipia lakini kwanini yeye apate kila kitu kizuri, anataka nimuambie ili hata kama mwanaume hatanioa tuumie wote nimechoka kuwa mwema kwa watu nimechoka na mimi nataka kuwa na maisha yangu, mwanangu alelewe na baba yake. Nisaidie nifanye nini?
Samahani ila wewe ni TEMBELE LA UANI kwa mbaali naiona safari Yako Kwa Mzee Mabudi.
 
Toka kw pm yangu jamani dah..

Mwaka jana dada yangu alikuja kumtambulisha mwanaume wake, akatoa mahari na mipango ilikuwa ni kufunga ndoa mwaka jana hiyo hiyo mwezi 6. Mimi kipindi hicho nilikuwa niko kwenye mahusiano na mpenzi wangu, baada ya kumwambia kuhusu harusi ya dada yangu nilidokeza kama na mimi nataka kuolewa, nilimuambia vipi kuhusu harusi ya dada ikiisha si ndiyo inafuata yetu.

Cha ajabu alinijibu kwa dharau, mimi sioi leo wala kesho na unatakiwa kujua hata kama nikitaka kuoa basi sijui nitamuoa nani, wewe kama umepata mtu wa kukuoa olewa tu usinisubiri.

Maneno yake yaliniuma sana, nilijikuta nakuwa na hasira, niliumia kwa sababu mara nyingi dada yangu ndiyo anapata vitu vizuri, yeye alisoma akapata kazi huko UN wakati mimi ni mwalimu tu tena wa diploma nasijaairiwa nahangaika mtaani. Akawajengea wazazi wetu nyumba wanamsifia kila siku, mimi nahangaika hapa nyumbani nafanya kila kazi lakini thamani yangu haionekani. Kweli niliumia na nikahisi dada yangu ndiye ananiharibia maisha, mimi ni mzuri kuliko yeye na watu wananambia lakini sina bahati!

Baada ya mchumba wake kujitambulisha alichukua namba yangu hivyo alikuwa anaona status zangu, nilichofanya ni kwa kupost status za mtego na kumblock kila mtu anaona yeye. Akawa anacomment kama utani basi tukajikuta tunakuwa karibu, kuna siku aliniomba tutoke nikatoka naye, nikanywa na kujifanya nimelewa nikafanya naye mapenzi. Ilianza kama utani lakini baadaye niliona kama vile ananijali mimi kuliko dada hivyo nikajiona mzuri, nikaanzisha mahusiano rasmi huku nikihangaika kuona niachane na dada yangu.

Shemu alianza kuniambia mambo mabaya kuhusu dada yangu, akawa ananiambia jinsi ambavyo anamchukia kutokana na kazi yake huko na mambo kibao. Nilikuwa najisikia vizuri kuwa hampendi dada anamvumilia tu hivyo nilijiweka kwenye nafasi ya mimi kuwa karibu zaidi na kweli mahusiano yake na dada yalitibuka sana, nikamuona dada ana mawazo, kila wakati kulalamika, alikuwa haniambii mambo yake sana lakini nilijua kuwa anaumia hivyo niliendelea kufurahia!

Kumkomoa zaidi dada niliamua kubeba ujauzito, malengo yangu ni ili amuache kabisa nikiamini atakuja kunioa mimi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nilipambana mpaka nikabeba mimba ya shemeji, lakini nilipokuja kumwambia mwanaume nilimuona kabadilika, akawa mkali na kuniambia nitoe. Nilipanga kutoa kweli kwani baada ya muda niliona kama ni ujinga lakini katika kuongea naye alitamka maneno ambayo yalinifanya kupaniki, akasema sitaki kumuumiza dada yako ni mtu mwema sana kwangu. Akaanza kumsifia na kumpa sifa kibao, kweli nilikasirika kwani niliona anampenda dada kuliko mimi.

Nilimdanganya kuwa mimba nimeshaitoa hivyo tunaendelea na mapenzi yetu lakini kumbe sikutoa na sasa hivi nina ujauzito ni kama miezi 5. Mwanaume alivyojua kuwa sijatoa mimba alikasirika, akabadilika na kuninunia. Nilishangaa baada ya kusema sasa tuongee kuhusu mapenzi yetu, akaendelea na mipangoya kumuoa dada. Mimi nilimuambia usimuoe kama ukimuoa nitasema kila kitu lakini yeye hakujali, mipango inaendelea ndoa kufungwa mwezi 6 na kila kitu kimekamilika.

Nyumbani wanajua nina mimba lakini hawajui ni ya nani? Kweli siko tayari kuwa single mother, sitaki aolewe dada yangu. Natamani kuongea lakini najiuliza akija nikiongea atajirudi na kunipenda mimi? Nimechoka kweli, dada yangu kupata kila kitu kizuri, ananiajali kweli, ananisaidia nikikwama ananipa pesa hata kodi ya nyumba ndiye analipia lakini kwanini yeye apate kila kitu kizuri, anataka nimuambie ili hata kama mwanaume hatanioa tuumie wote nimechoka kuwa mwema kwa watu nimechoka na mimi nataka kuwa na maisha yangu, mwanangu alelewe na baba yake. Nisaidie nifanye nini?
Chai uongo. Umesema huna ajira unaishi nyumbani na mwalimu ila mwisho hapa unasema dada yako anakulipia kodi wewe ni liongo pimbi mkubwa
 
Toka kw pm yangu jamani dah..

Mwaka jana dada yangu alikuja kumtambulisha mwanaume wake, akatoa mahari na mipango ilikuwa ni kufunga ndoa mwaka jana hiyo hiyo mwezi 6. Mimi kipindi hicho nilikuwa niko kwenye mahusiano na mpenzi wangu, baada ya kumwambia kuhusu harusi ya dada yangu nilidokeza kama na mimi nataka kuolewa, nilimuambia vipi kuhusu harusi ya dada ikiisha si ndiyo inafuata yetu.

Cha ajabu alinijibu kwa dharau, mimi sioi leo wala kesho na unatakiwa kujua hata kama nikitaka kuoa basi sijui nitamuoa nani, wewe kama umepata mtu wa kukuoa olewa tu usinisubiri.

Maneno yake yaliniuma sana, nilijikuta nakuwa na hasira, niliumia kwa sababu mara nyingi dada yangu ndiyo anapata vitu vizuri, yeye alisoma akapata kazi huko UN wakati mimi ni mwalimu tu tena wa diploma nasijaairiwa nahangaika mtaani. Akawajengea wazazi wetu nyumba wanamsifia kila siku, mimi nahangaika hapa nyumbani nafanya kila kazi lakini thamani yangu haionekani. Kweli niliumia na nikahisi dada yangu ndiye ananiharibia maisha, mimi ni mzuri kuliko yeye na watu wananambia lakini sina bahati!

Baada ya mchumba wake kujitambulisha alichukua namba yangu hivyo alikuwa anaona status zangu, nilichofanya ni kwa kupost status za mtego na kumblock kila mtu anaona yeye. Akawa anacomment kama utani basi tukajikuta tunakuwa karibu, kuna siku aliniomba tutoke nikatoka naye, nikanywa na kujifanya nimelewa nikafanya naye mapenzi. Ilianza kama utani lakini baadaye niliona kama vile ananijali mimi kuliko dada hivyo nikajiona mzuri, nikaanzisha mahusiano rasmi huku nikihangaika kuona niachane na dada yangu.

Shemu alianza kuniambia mambo mabaya kuhusu dada yangu, akawa ananiambia jinsi ambavyo anamchukia kutokana na kazi yake huko na mambo kibao. Nilikuwa najisikia vizuri kuwa hampendi dada anamvumilia tu hivyo nilijiweka kwenye nafasi ya mimi kuwa karibu zaidi na kweli mahusiano yake na dada yalitibuka sana, nikamuona dada ana mawazo, kila wakati kulalamika, alikuwa haniambii mambo yake sana lakini nilijua kuwa anaumia hivyo niliendelea kufurahia!

Kumkomoa zaidi dada niliamua kubeba ujauzito, malengo yangu ni ili amuache kabisa nikiamini atakuja kunioa mimi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nilipambana mpaka nikabeba mimba ya shemeji, lakini nilipokuja kumwambia mwanaume nilimuona kabadilika, akawa mkali na kuniambia nitoe. Nilipanga kutoa kweli kwani baada ya muda niliona kama ni ujinga lakini katika kuongea naye alitamka maneno ambayo yalinifanya kupaniki, akasema sitaki kumuumiza dada yako ni mtu mwema sana kwangu. Akaanza kumsifia na kumpa sifa kibao, kweli nilikasirika kwani niliona anampenda dada kuliko mimi.

Nilimdanganya kuwa mimba nimeshaitoa hivyo tunaendelea na mapenzi yetu lakini kumbe sikutoa na sasa hivi nina ujauzito ni kama miezi 5. Mwanaume alivyojua kuwa sijatoa mimba alikasirika, akabadilika na kuninunia. Nilishangaa baada ya kusema sasa tuongee kuhusu mapenzi yetu, akaendelea na mipangoya kumuoa dada. Mimi nilimuambia usimuoe kama ukimuoa nitasema kila kitu lakini yeye hakujali, mipango inaendelea ndoa kufungwa mwezi 6 na kila kitu kimekamilika.

Nyumbani wanajua nina mimba lakini hawajui ni ya nani? Kweli siko tayari kuwa single mother, sitaki aolewe dada yangu. Natamani kuongea lakini najiuliza akija nikiongea atajirudi na kunipenda mimi? Nimechoka kweli, dada yangu kupata kila kitu kizuri, ananiajali kweli, ananisaidia nikikwama ananipa pesa hata kodi ya nyumba ndiye analipia lakini kwanini yeye apate kila kitu kizuri, anataka nimuambie ili hata kama mwanaume hatanioa tuumie wote nimechoka kuwa mwema kwa watu nimechoka na mimi nataka kuwa na maisha yangu, mwanangu alelewe na baba yake. Nisaidie nifanye nini?
Wewe mimba usiitoe Lea uo ujauzito ujifungue.
 
Toka kw pm yangu jamani dah..

Mwaka jana dada yangu alikuja kumtambulisha mwanaume wake, akatoa mahari na mipango ilikuwa ni kufunga ndoa mwaka jana hiyo hiyo mwezi 6. Mimi kipindi hicho nilikuwa niko kwenye mahusiano na mpenzi wangu, baada ya kumwambia kuhusu harusi ya dada yangu nilidokeza kama na mimi nataka kuolewa, nilimuambia vipi kuhusu harusi ya dada ikiisha si ndiyo inafuata yetu.

Cha ajabu alinijibu kwa dharau, mimi sioi leo wala kesho na unatakiwa kujua hata kama nikitaka kuoa basi sijui nitamuoa nani, wewe kama umepata mtu wa kukuoa olewa tu usinisubiri.

Maneno yake yaliniuma sana, nilijikuta nakuwa na hasira, niliumia kwa sababu mara nyingi dada yangu ndiyo anapata vitu vizuri, yeye alisoma akapata kazi huko UN wakati mimi ni mwalimu tu tena wa diploma nasijaairiwa nahangaika mtaani. Akawajengea wazazi wetu nyumba wanamsifia kila siku, mimi nahangaika hapa nyumbani nafanya kila kazi lakini thamani yangu haionekani. Kweli niliumia na nikahisi dada yangu ndiye ananiharibia maisha, mimi ni mzuri kuliko yeye na watu wananambia lakini sina bahati!

Baada ya mchumba wake kujitambulisha alichukua namba yangu hivyo alikuwa anaona status zangu, nilichofanya ni kwa kupost status za mtego na kumblock kila mtu anaona yeye. Akawa anacomment kama utani basi tukajikuta tunakuwa karibu, kuna siku aliniomba tutoke nikatoka naye, nikanywa na kujifanya nimelewa nikafanya naye mapenzi. Ilianza kama utani lakini baadaye niliona kama vile ananijali mimi kuliko dada hivyo nikajiona mzuri, nikaanzisha mahusiano rasmi huku nikihangaika kuona niachane na dada yangu.

Shemu alianza kuniambia mambo mabaya kuhusu dada yangu, akawa ananiambia jinsi ambavyo anamchukia kutokana na kazi yake huko na mambo kibao. Nilikuwa najisikia vizuri kuwa hampendi dada anamvumilia tu hivyo nilijiweka kwenye nafasi ya mimi kuwa karibu zaidi na kweli mahusiano yake na dada yalitibuka sana, nikamuona dada ana mawazo, kila wakati kulalamika, alikuwa haniambii mambo yake sana lakini nilijua kuwa anaumia hivyo niliendelea kufurahia!

Kumkomoa zaidi dada niliamua kubeba ujauzito, malengo yangu ni ili amuache kabisa nikiamini atakuja kunioa mimi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nilipambana mpaka nikabeba mimba ya shemeji, lakini nilipokuja kumwambia mwanaume nilimuona kabadilika, akawa mkali na kuniambia nitoe. Nilipanga kutoa kweli kwani baada ya muda niliona kama ni ujinga lakini katika kuongea naye alitamka maneno ambayo yalinifanya kupaniki, akasema sitaki kumuumiza dada yako ni mtu mwema sana kwangu. Akaanza kumsifia na kumpa sifa kibao, kweli nilikasirika kwani niliona anampenda dada kuliko mimi.

Nilimdanganya kuwa mimba nimeshaitoa hivyo tunaendelea na mapenzi yetu lakini kumbe sikutoa na sasa hivi nina ujauzito ni kama miezi 5. Mwanaume alivyojua kuwa sijatoa mimba alikasirika, akabadilika na kuninunia. Nilishangaa baada ya kusema sasa tuongee kuhusu mapenzi yetu, akaendelea na mipangoya kumuoa dada. Mimi nilimuambia usimuoe kama ukimuoa nitasema kila kitu lakini yeye hakujali, mipango inaendelea ndoa kufungwa mwezi 6 na kila kitu kimekamilika.

Nyumbani wanajua nina mimba lakini hawajui ni ya nani? Kweli siko tayari kuwa single mother, sitaki aolewe dada yangu. Natamani kuongea lakini najiuliza akija nikiongea atajirudi na kunipenda mimi? Nimechoka kweli, dada yangu kupata kila kitu kizuri, ananiajali kweli, ananisaidia nikikwama ananipa pesa hata kodi ya nyumba ndiye analipia lakini kwanini yeye apate kila kitu kizuri, anataka nimuambie ili hata kama mwanaume hatanioa tuumie wote nimechoka kuwa mwema kwa watu nimechoka na mimi nataka kuwa na maisha yangu, mwanangu alelewe na baba yake. Nisaidie nifanye nini?
Wewe ni lasna tullahi
 
Toka kw pm yangu jamani dah..

Mwaka jana dada yangu alikuja kumtambulisha mwanaume wake, akatoa mahari na mipango ilikuwa ni kufunga ndoa mwaka jana hiyo hiyo mwezi 6. Mimi kipindi hicho nilikuwa niko kwenye mahusiano na mpenzi wangu, baada ya kumwambia kuhusu harusi ya dada yangu nilidokeza kama na mimi nataka kuolewa, nilimuambia vipi kuhusu harusi ya dada ikiisha si ndiyo inafuata yetu.

Cha ajabu alinijibu kwa dharau, mimi sioi leo wala kesho na unatakiwa kujua hata kama nikitaka kuoa basi sijui nitamuoa nani, wewe kama umepata mtu wa kukuoa olewa tu usinisubiri.

Maneno yake yaliniuma sana, nilijikuta nakuwa na hasira, niliumia kwa sababu mara nyingi dada yangu ndiyo anapata vitu vizuri, yeye alisoma akapata kazi huko UN wakati mimi ni mwalimu tu tena wa diploma nasijaairiwa nahangaika mtaani. Akawajengea wazazi wetu nyumba wanamsifia kila siku, mimi nahangaika hapa nyumbani nafanya kila kazi lakini thamani yangu haionekani. Kweli niliumia na nikahisi dada yangu ndiye ananiharibia maisha, mimi ni mzuri kuliko yeye na watu wananambia lakini sina bahati!

Baada ya mchumba wake kujitambulisha alichukua namba yangu hivyo alikuwa anaona status zangu, nilichofanya ni kwa kupost status za mtego na kumblock kila mtu anaona yeye. Akawa anacomment kama utani basi tukajikuta tunakuwa karibu, kuna siku aliniomba tutoke nikatoka naye, nikanywa na kujifanya nimelewa nikafanya naye mapenzi. Ilianza kama utani lakini baadaye niliona kama vile ananijali mimi kuliko dada hivyo nikajiona mzuri, nikaanzisha mahusiano rasmi huku nikihangaika kuona niachane na dada yangu.

Shemu alianza kuniambia mambo mabaya kuhusu dada yangu, akawa ananiambia jinsi ambavyo anamchukia kutokana na kazi yake huko na mambo kibao. Nilikuwa najisikia vizuri kuwa hampendi dada anamvumilia tu hivyo nilijiweka kwenye nafasi ya mimi kuwa karibu zaidi na kweli mahusiano yake na dada yalitibuka sana, nikamuona dada ana mawazo, kila wakati kulalamika, alikuwa haniambii mambo yake sana lakini nilijua kuwa anaumia hivyo niliendelea kufurahia!

Kumkomoa zaidi dada niliamua kubeba ujauzito, malengo yangu ni ili amuache kabisa nikiamini atakuja kunioa mimi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nilipambana mpaka nikabeba mimba ya shemeji, lakini nilipokuja kumwambia mwanaume nilimuona kabadilika, akawa mkali na kuniambia nitoe. Nilipanga kutoa kweli kwani baada ya muda niliona kama ni ujinga lakini katika kuongea naye alitamka maneno ambayo yalinifanya kupaniki, akasema sitaki kumuumiza dada yako ni mtu mwema sana kwangu. Akaanza kumsifia na kumpa sifa kibao, kweli nilikasirika kwani niliona anampenda dada kuliko mimi.

Nilimdanganya kuwa mimba nimeshaitoa hivyo tunaendelea na mapenzi yetu lakini kumbe sikutoa na sasa hivi nina ujauzito ni kama miezi 5. Mwanaume alivyojua kuwa sijatoa mimba alikasirika, akabadilika na kuninunia. Nilishangaa baada ya kusema sasa tuongee kuhusu mapenzi yetu, akaendelea na mipangoya kumuoa dada. Mimi nilimuambia usimuoe kama ukimuoa nitasema kila kitu lakini yeye hakujali, mipango inaendelea ndoa kufungwa mwezi 6 na kila kitu kimekamilika.

Nyumbani wanajua nina mimba lakini hawajui ni ya nani? Kweli siko tayari kuwa single mother, sitaki aolewe dada yangu. Natamani kuongea lakini najiuliza akija nikiongea atajirudi na kunipenda mimi? Nimechoka kweli, dada yangu kupata kila kitu kizuri, ananiajali kweli, ananisaidia nikikwama ananipa pesa hata kodi ya nyumba ndiye analipia lakini kwanini yeye apate kila kitu kizuri, anataka nimuambie ili hata kama mwanaume hatanioa tuumie wote nimechoka kuwa mwema kwa watu nimechoka na mimi nataka kuwa na maisha yangu, mwanangu alelewe na baba yake. Nisaidie nifanye nini?
Hii iwe chai au kahawa ila wewe mdada hufai hata kwa kulumagia,hata sumu unaweza mwekea dada yako.
 
downloadfile.jpg
 
Lihadithi la Fesibuku hili tena lina miaka zaidi ya minne huko nyuma. Nimeshalisoma zaidi ya mara 4 🚮🚮🚮

20250512_175440.png
 
Toka kw pm yangu jamani dah..

Mwaka jana dada yangu alikuja kumtambulisha mwanaume wake, akatoa mahari na mipango ilikuwa ni kufunga ndoa mwaka jana hiyo hiyo mwezi 6. Mimi kipindi hicho nilikuwa niko kwenye mahusiano na mpenzi wangu, baada ya kumwambia kuhusu harusi ya dada yangu nilidokeza kama na mimi nataka kuolewa, nilimuambia vipi kuhusu harusi ya dada ikiisha si ndiyo inafuata yetu.

Cha ajabu alinijibu kwa dharau, mimi sioi leo wala kesho na unatakiwa kujua hata kama nikitaka kuoa basi sijui nitamuoa nani, wewe kama umepata mtu wa kukuoa olewa tu usinisubiri.

Maneno yake yaliniuma sana, nilijikuta nakuwa na hasira, niliumia kwa sababu mara nyingi dada yangu ndiyo anapata vitu vizuri, yeye alisoma akapata kazi huko UN wakati mimi ni mwalimu tu tena wa diploma nasijaairiwa nahangaika mtaani. Akawajengea wazazi wetu nyumba wanamsifia kila siku, mimi nahangaika hapa nyumbani nafanya kila kazi lakini thamani yangu haionekani. Kweli niliumia na nikahisi dada yangu ndiye ananiharibia maisha, mimi ni mzuri kuliko yeye na watu wananambia lakini sina bahati!

Baada ya mchumba wake kujitambulisha alichukua namba yangu hivyo alikuwa anaona status zangu, nilichofanya ni kwa kupost status za mtego na kumblock kila mtu anaona yeye. Akawa anacomment kama utani basi tukajikuta tunakuwa karibu, kuna siku aliniomba tutoke nikatoka naye, nikanywa na kujifanya nimelewa nikafanya naye mapenzi. Ilianza kama utani lakini baadaye niliona kama vile ananijali mimi kuliko dada hivyo nikajiona mzuri, nikaanzisha mahusiano rasmi huku nikihangaika kuona niachane na dada yangu.

Shemu alianza kuniambia mambo mabaya kuhusu dada yangu, akawa ananiambia jinsi ambavyo anamchukia kutokana na kazi yake huko na mambo kibao. Nilikuwa najisikia vizuri kuwa hampendi dada anamvumilia tu hivyo nilijiweka kwenye nafasi ya mimi kuwa karibu zaidi na kweli mahusiano yake na dada yalitibuka sana, nikamuona dada ana mawazo, kila wakati kulalamika, alikuwa haniambii mambo yake sana lakini nilijua kuwa anaumia hivyo niliendelea kufurahia!

Kumkomoa zaidi dada niliamua kubeba ujauzito, malengo yangu ni ili amuache kabisa nikiamini atakuja kunioa mimi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nilipambana mpaka nikabeba mimba ya shemeji, lakini nilipokuja kumwambia mwanaume nilimuona kabadilika, akawa mkali na kuniambia nitoe. Nilipanga kutoa kweli kwani baada ya muda niliona kama ni ujinga lakini katika kuongea naye alitamka maneno ambayo yalinifanya kupaniki, akasema sitaki kumuumiza dada yako ni mtu mwema sana kwangu. Akaanza kumsifia na kumpa sifa kibao, kweli nilikasirika kwani niliona anampenda dada kuliko mimi.

Nilimdanganya kuwa mimba nimeshaitoa hivyo tunaendelea na mapenzi yetu lakini kumbe sikutoa na sasa hivi nina ujauzito ni kama miezi 5. Mwanaume alivyojua kuwa sijatoa mimba alikasirika, akabadilika na kuninunia. Nilishangaa baada ya kusema sasa tuongee kuhusu mapenzi yetu, akaendelea na mipangoya kumuoa dada. Mimi nilimuambia usimuoe kama ukimuoa nitasema kila kitu lakini yeye hakujali, mipango inaendelea ndoa kufungwa mwezi 6 na kila kitu kimekamilika.

Nyumbani wanajua nina mimba lakini hawajui ni ya nani? Kweli siko tayari kuwa single mother, sitaki aolewe dada yangu. Natamani kuongea lakini najiuliza akija nikiongea atajirudi na kunipenda mimi? Nimechoka kweli, dada yangu kupata kila kitu kizuri, ananiajali kweli, ananisaidia nikikwama ananipa pesa hata kodi ya nyumba ndiye analipia lakini kwanini yeye apate kila kitu kizuri, anataka nimuambie ili hata kama mwanaume hatanioa tuumie wote nimechoka kuwa mwema kwa watu nimechoka na mimi nataka kuwa na maisha yangu, mwanangu alelewe na baba yake. Nisaidie nifanye nini?
Nadhani unafikiria kwa matako kuliko kichhwa chako...

"Mimi ni mzuri kuliko yeye"
"Kwa nini yeye apate kila kitu kizuri"
"Hata kama hatanioa bora tukose wote"

Mmmmmhh huo ni UGONJWA wa HASADI na utakuumiza wewe kuliko hata dada yako!!
Uko tayari kuvunja UDUGU na dada yako kisa mwanaume???

Mwisho wa siku ndugu watakutenga, utawadhalilisha wazazi na machozi yao yatakuwa LAANA KWAKO na utaharibikiwa kila kitu na utadhani UMELOGWA.... mwisho wa SIKU UNAWEZA KUJIUQ!!

Unabebaje mimba kwa mwanaume ambaye ameleta mahari kwa dada yako??

Mtaani wanaume wameisha?

Ushauri wa BURE ikiwa bado kichwa chako kinafanya kazi!!
1. Mimba ina miezi 5 sasa kuitoa ni suicidal na ni dhambi kwa sababu tayari kiumbe kipo Hai.
2. Usifikirie kuwaambia ndugu zako ukweli kwa sababu utamkosa mwanaume, utamkosa dada, utawakosa wazazi wako na unaweza kuwakosa ndugu zako wote isipokuwa wenye akili na nyoyo mbaya kama ya kwako.
3. Utajitafutia LAANA na inaweza kuwa mwanzo wa kuishi maisha mabaya zaodi na ya upweke for the rest of your LIFE.
4. Unaweza kujikosesha mwanaume wa kukuoa na kukufanya mwenza kwa sababu ya historia mbaya utakayokuwa umejijengea.
5. Utamkosa hata huyu mzazi mwenzako kwa sababu wazazi hawatakaa wamkubali kwa sababu ya kuwatia aibu hivyo atakosekana kwenye maisha yako na mwanao.

Cha kufanya!!
Saini Makubaliano ya kisheria na shemeji yako mtarajiwa kuwa katika maisha yenu yote hamtakaa mkausema ukweli huu na ikitokea ameropoka atakuwa liable kisheria kwa damages atakazokuwa amekusababishia ikiwemo psychological demage....

Tengeneza narrative moja kwa wazazi aliyekupa mimba was some kind of one night stand under influence of alcohol or frustration and is no longer reachable and you don't know exactly his origin or family members!!! Hii inaweza kukufanya ukaonekana wa ajabu sana lakini itakusaidia kumbakisha dada, wazazi na ndugu wengine.... mimba is already there and is a burden hivyo utapunguza losses.

Jaribu sana kumwomba Mungu akusaidie maana your road ahead is real tough.... but the Mercy of YOUR LORD IS NOT WORTH OF GIVING UP.

Men are WILD ANIMAL always remember that!!! He never really meant whatever he said to undress and *** YOU!! It might his sexual FANTASY sucking you two both!!!!

Bado una nafasi ya kurekebisha but depends on what you'll do next!!! Am real worry your stupidity might drive you to even damage yourself further!!
 
Back
Top Bottom