Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
jirani huyu jamaa ana tucheea akili ee!!?Huyu jamaa ana tuchezea sana, soma hapa
Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!
jirani huyu jamaa ana tucheea akili ee!!?Huyu jamaa ana tuchezea sana, soma hapa
Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!
hehehehe
baba hakosei bhana, tunge mfikiria kdogo, ila huyu aliye singizia mimb hapana kwa kweli mweer!!
Naomba ushauri wako mkuu. Nichukulie kama dadako unipe ushauri ili nirudie furaha yangu ya awalikwa hiyo hapo ilipaswa nikusifie
mweer!
kipya kinyemi coco, sasa mtu washa kaa naye miaka, dudu ike ike wamebadilisha mapigo wamchoka, of coz akikutana na mtu anaye jituma kidogooo tuuu lazma ahisi mumewe hawez mambo.
ila kumsingizia mimba haija kaa poa kwa kweli
Kama sio kamwanaume mshenzi katakuwa karoboti ka jfMimi nilifikiri ni mwanaume kwa kukumbuka post zake, ila huwa sijali sababu siku hizi kuna watu wa kila aina ma homo, bi, n.k.
Kama sio kamwanaume mshenzi katakuwa karoboti ka jf
Asante kwa kunitia moyo na kunitetea. Kuwa kwangu muwazi kwenu leo ndiyo wananipa jina chafu la umalaya? Wake zao wameficha makubwa zaidi ya haya. Wapeleke watoto wao kwenye DNA machine waone.
Hi ndo jf uku lika lote tunaongea lugha mojaAnakaa eti kujiachia ili pichu ionekane muda wote na ni nyekundu...
Ha ha haaaaa
Hi ndo jf uku lika lote tunaongea lugha moja
Imenibidi nikasikilize lyrics za huu mwimbo, ninaukumbuka ila kwa kuwa sijausikiliza miaka mingi nimekuta duh
Niambie anajisikiaje mwenzetu hadi namuonea huruma kiaina sasa hivi kwa kweli.
Mhhhh mm sina uzoefu huo ningekushauri. Naogopa nitakupotosha
Ningemwambia ahamie kwa mchora kuchaKwan wa kupotosha ulikua unasemaje?
bonge ya wimbo huu, imebid nitulie na mie ni u review, umefanya gud ku uweka.
ila huu wimbo umetumikaga vibaya sana at times, watu wana cheat halaf wana jitetea na Celine Dion.
hahahaha! wabongo wana fujo kweli.
Hiyo ya kusingizia kiaina duh, mimi hata ningesema nijaribu hayo lazima mpira utumike sasa yeye na kuungua miguu pichu ionekane hapo sielewi why?
Hivi wanawake wanakaaga kialosto hivyo mmmmmh
Labda ni shemale huyu ha ha ha haaaaaaa
Unaweza ukaona mumeo yupo jamii forum nae anakomentiHii ni siri yangu mm mume wangu hajui kabisa. Ila inaniumiza nafsi na kunikosesha raha.
Atakomenti akijua anampa ushauri mwanajf ambaye si mm mkewe.Unaweza ukaona mumeo yupo jamii forum nae anakomenti
Kabisaaa jiraniijirani huyu jamaa ana tucheea akili ee!!?