Njoo tufanye biashara ya transportation.
Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa kuanzia.Mimi naishi mkoa wa Dar-es-salaam
​Tuliza boli utaibiwa sasa hivi.
​Tuliza boli utaibiwa sasa hivi.
anzisha kamari maeneo ya posta na kariakoo!Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa kuanzia.Mimi naishi mkoa wa Dar-es-salaam
Njoo tufanye biashara ya transportation.
Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa kuanzia.Mimi naishi mkoa wa Dar-es-salaam
anzisha kamari maeneo ya posta na kariakoo!
Mimi ni mjasiriamali wa mazao ya kilimo. Huo mtaji ni mkubwa kwa biashara ambayo haihitaji gharama nyingi ya kuweka miundombinu wezeshi. Naomba niPM nikushauri.
Mimi ni mjasiriamali wa mazao ya kilimo. Huo mtaji ni mkubwa kwa biashara ambayo haihitaji gharama nyingi ya kuweka miundombinu wezeshi. Naomba niPM nikushauri.
Mazao ya kilimo yapi hasa?Na unanunua na kuuza wapi?faida yake imekaaje?
Kuna uzi humu ndani unaitwa Mtaji wa milioni kumi una ideas nyingi sana
Mkuu huo mtaji ni mkubwa sana,tengeneza rebo yako kisha anza kupaki sembe.Funga 5kgs,10kgs,20kgs,25kgs na 50kgs!Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa kuanzia.Mimi naishi mkoa wa Dar-es-salaam
mkuu na sisi tunahitaji huo ushauri, mambo ya kuongelea chemba tena inakuaje?? we mwaga hapa bana!