Nipo hapa kuwasaidia wasiojua hesabu:
0.25 ร 25,000,0000=6,250,000
Jamaa anataka biashara ambayo itamuingizia 6.25 Million kwa wiki moja kwa Mtaji wa Million 25.
Yaani ndani ya Mwezi mmoja awe amepata faida ya Million 25. Yaani kwa mwaka mmoja (52 weeks) awe na faida ya Million 325.
Yaani kwa mwaka awe na Jumla ya Million 350, ukijumlisha na mtaji wake.
Biashara mimi sijui, ila hesabu najua. Hayo mtamshauri ninyi.
Aisee!