She is not receptive
Ili uwaze sex na upende kufanya mara nyingi nyingi,mke ana husika kwa 70% km mke amekaa kaa km dada ako mawazo ni either yatahamia kwa maendeleo au michepuko.Kwa case yako mawazo umeyapeleka kwenye vitu vya maana.
Mwanamke ndo anahamasisha sex kwa mwanaume siku zote iwe bar kwa vimini,iwe kanisani kwa vimini,iwe kazini kuacha kifua wazi, iwe kwenye ndoa kwa kuvaa nguo za mitego mbele ya mumewe.Sasa mwanamke asipofanya hili jukumu lake kubwa ambalo wanawake zetu wanalisahau punde tu ukimuoa.Mkiwa wachumba atalifanya mpk utashangaa mkioana hicho ndo cha kwanza anaacha kufanya.
Jukumu kubwa analofanya mwanamke bila kujua akishaolewa tu ni kuua sex life ya ndoa na libido ya mwanaume.Kimbembe kinaanziaga hapa.
At the end,Ndoa inaanza kuwa ngumu hapa maana hata huo umuhimu wa kuoa unaanza kuona Haupo.
Sasa mwanaume ukiweza kuona umuhimu wa kuoa bila kuangalia sex nadhani umefaulu mtihani wa kuishi na mwanamke kwa 50%.Ukishindwa kuna mambo utafanya unaweza kuanza kumpiga mkeo kwa sababu za kijinga au kumdharau na kuona hana mchango kwenye maisha yako,kumuona mzigo,kuona umekosea kuoa,kuchepuka,kutafuta maendeleo kwa pupa ili usahau ukweli kwamba upo kwenye no-sex marriage au ndoa isiyo na manufaa kwa mwanaume/ndoa ya kumtesa mwanaume na kumfanya afe mapema.
Mara nyingi hata uwezo wa kumpiga mkeo zaidi ya bao moja unaanzaga kupungua.Nje unaweza kupiga bao nne ila ndani mkeo hata hilo bao moja unapiga basi.Hata kumuandaa unaona unapoteza mda maana amekuwa km dada ako vile yupo yupo hatamanishi na hawazi kukutamanisha.Sasa hapa upate mchepuko wenye madoido na high libido aisee usipokuwa exposure nzuri na wanawake unaweza kumtimua mkeo au kutelekeza familia.Atakuwa amelogwa yule HAPANA hajalogwa
Men express love through sex.Kwenye kitchen party utasikia wanashauriana mumewe akitaka sex we mpe asubuh,mchana,jioni we mpe tu.Uwaga hawajui moja kwa moja kwanini but deep down bila enough sex mwanaume hajui ku handle mwanamke .
Malaya wanakupa good sex hlf wanaomba wafunguliwe biashara na kweli mwanaume anajikuta katoa mpunga wa kutosha,wife hataki hata kuguswa paja
Kila mtu ni bwege, ila anakua sio bwege kutokana na angle unayomuangalia nayo.Mimi nilioa nikiwa na miaka 25, nashukuru sikupata sikupata mwanamke bwege. Nilioa Classmate wangu wa O-level.
Unakuta mke ndio kwanza ana miaka 26 now! 😅😅😅 Gharika yajaMoto umeanza kukata, bado ukiwa na umri mdogo sana, angalia utatafuniwa mke Huyo
Kama Mimi tu yani siku hizi sinaga kabisa time na masuala ya mademu,Nina michepuko 5 lakini sina hata mzuka nao naweza kuwapanga kukutana kila mmoja kwa wakati wake lakini at the end of time naghairisha,siku za nyuma nilikuwa nahusudu sana ngono ,ila kwa sasa naona sio inshu kwangu,wife tangu nimtie mimba ya tatu na kujifungua mtoto wa 3 sina hata mzuka nae ,akili yangu inawaza namna ya ku-make life gud, nikiwa na hamu napiga Nyeto nimetoka hiyo ,kwangu kwa sasa mapenzi sio kipaumbele hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mm miongoni mwaoMiaka 32 umeoa, HONGERAAA..
Wengine tuna hiyo miaka hata wachumba hatuna..!!!
#YNWA
Hii imekaaje
Aisey nimekutamani saana na hio hali nisaidie nifanyeje na Mimi nipoteze hamu ya ku seksi??
dunia ina mambo yaajabu sn
Jamiiforums watu kama wewe mpo wengi sana, mna ugonjwa wa kusoma vichwa vya habari na kurukia ku comment ama kusoma paragraph ya kwanza tu mje ku comment.
Soma upya na uelewe post, Ni wapi nimeandika perfomance yangu imeshuka??
Hii ideology ni kwa blacks tu labda na Arabs Ila Europeans ni kumbuka ni romance to afu kabao kamoja.Wanaanzaga hivo ivo!!!,,,, tumiaka 32 tu?? bando kinda kabisa wewe, 30yrs hata ukiangalia tako tu linavotikisa kwa wadada kitu hicho kianaita!!! unalala imo humpo!! maweee!! umesharogwa wewe!!! mkeo mtu wa wapi kwanza Sumbawanga?!!
Kwanza hapo ndo penye hatari ya watoto wengi!!! si ke wala me!!! kipindi cha mikito ya vigelegele!! kma hujui kilele chake ni hapa 15-50yrs, hata uwe na malaria ile ya kufa!! sijui unatembea kwa kubebwa lkn ukisikia tu ile kitu inanukia kitu hichi!!!
wanaume sijui tukoje wajameni doooo! siyo kama ke mpaka wasikilizie weeee!!
Mbona unapiga mkuu unashangaa nini.wife amejifungua 3 months unashtua kamoja unamvumilia amalize muda huo.Huyu jamaa hata sijamwelewa yaani.! Unapigaje nyeto na una mwanamke ndani ? Mmh
Hata kama sijaoa ila nikiwa kwenye age kama hiyo mimi Nyeto hamnaa mademu wapo kibao huko mtaani mpaka elfu tano kikubwa kuvaa kondomu vizuri basi.
Mbona unapiga mkuu unashangaa nini.wife amejifungua 3 months unashtua kamoja unamvumilia amalize muda huo.
Hapana nipo single/divorced na genye zinazingua ndomanaMkuu wewe si umeachika na Mkeo juzi juzi tu au sio wewe ? Sasa hivi unadai unanyege mmh kwamba wife ali drop “ishu ya file for divorce “