Vijana naombeni msaada Mimi ni kijana
Nina umri wa miaka 23
Lakini cha ajabu nasumbuliwa Na matatizo ya mgongo pamoja Na Shingo
Nilikwenda hospitali walisema Sina tatizo lolote mgongoni
Yaani APA nilipo siwezi kusimama kwa mda mrefu au kunyanyua kitu chochote kiwe cha kilo ndo au kubwa Sasa tatizo hili sijui kama limetokana Na nini
Sio mgongo tu hata mkono wangu ni kisukuma kitu chochote kile Na hisi kama huku mabegani Kuna kitu Kina Taka kutoka Na shindwa kuelewa matatizo Haya Yana tokana Na nini
Na pia Nina tatizo la mkazo wa Shingo ni kikaa wima Sana mishipa ya shingo ina kaza
Je kulalia sana mgongo kwa muda mrefu Kuna weza kuleta matatizo Haya?
Au kutumia simu kwa muda mrefu pia Kuna weza leta matatizo Haya.
Nina umri wa miaka 23
Lakini cha ajabu nasumbuliwa Na matatizo ya mgongo pamoja Na Shingo
Nilikwenda hospitali walisema Sina tatizo lolote mgongoni
Yaani APA nilipo siwezi kusimama kwa mda mrefu au kunyanyua kitu chochote kiwe cha kilo ndo au kubwa Sasa tatizo hili sijui kama limetokana Na nini
Sio mgongo tu hata mkono wangu ni kisukuma kitu chochote kile Na hisi kama huku mabegani Kuna kitu Kina Taka kutoka Na shindwa kuelewa matatizo Haya Yana tokana Na nini
Na pia Nina tatizo la mkazo wa Shingo ni kikaa wima Sana mishipa ya shingo ina kaza
Je kulalia sana mgongo kwa muda mrefu Kuna weza kuleta matatizo Haya?
Au kutumia simu kwa muda mrefu pia Kuna weza leta matatizo Haya.
