Nina maswali mengi siku Rais Magufuli akimaliza muda wake akaja Rais wa hovyo

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
680
1,338
Ndugu wanajopo!

Toka awamu ya kwanza ya Mwalimu JK Nyerere hatujapata kuona Kiongozi mwenye Visionary kama Rais wetu mpendwa Magufuli.

Rais wa awamu ya pili Mzee Mwinyi alisema hili siku moja kwamba wewe mwezetu ni mfano wa kuigwa kwa mambo makubwa uliyoyatenda ndani ya miaka mitatu tu ambayo sisi miaka yetu thelathini hatujafua dafu.

Mie natafakari sana Siku Rais Magufuli atakapomaliza awamu yake ya pili na hatimaye akaja Rais mwingine ambaye atakuwa hovyo,hapo ndo itakuwa tena kirio na kusaga meno kwa maana Taifa tena linarudi nyuma.Tafakari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wanajopo!

Toka awamu ya kwanza ya Mwalimu JK Nyerere hatujapata kuona Kiongozi mwenye Visionary kama Rais wetu mpendwa Magufuli.Rais wa awamu ya pili Mzee Mwinyi alisema hili siku moja kwamba wewe mwezetu ni mfano wa kuigwa kwa mambo makubwa uliyoyatenda ndani ya miaka mitatu tu ambayo sisi miaka yetu thelathini hatujafua dafu.Mie natafakari sana Siku Rais Magufuli atakapomaliza awamu yake ya pili na hatimaye akaja Rais mwingine ambaye atakuwa hovyo,hapo ndo itakuwa tena kirio na kusaga meno kwa maana Taifa tena linarudi nyuma.Tafakari

Sent using Jamii Forums mobile app
yeye mwenyewe ni wa ovyo ovyo tu,
 
Ndugu wanajopo!

Toka awamu ya kwanza ya Mwalimu JK Nyerere hatujapata kuona Kiongozi mwenye Visionary kama Rais wetu mpendwa Magufuli.

Rais wa awamu ya pili Mzee Mwinyi alisema hili siku moja kwamba wewe mwezetu ni mfano wa kuigwa kwa mambo makubwa uliyoyatenda ndani ya miaka mitatu tu ambayo sisi miaka yetu thelathini hatujafua dafu.

Mie natafakari sana Siku Rais Magufuli atakapomaliza awamu yake ya pili na hatimaye akaja Rais mwingine ambaye atakuwa hovyo,hapo ndo itakuwa tena kirio na kusaga meno kwa maana Taifa tena linarudi nyuma.Tafakari

Sent using Jamii Forums mobile app

Vyombo vya habari kavipiga marufuku ili alishe watu habari za upande mmoja. Mpaka sasa ndani ya miaka mitatu deni la taifa limepanda kwa 20t+ toka 40t+ kufikia 60t+. Je habari hizi zinawafikia wananchi ili wajue wanamzigo kiasi gani? Bunge kaligeuz kibogoyo hivyo anaweza kufanya atakalo bila udhibiti. Sasa CAG anawekewa mizengwe kisa ni kuweka wazi 1.5t zisizo na maelezo ya kueleweka.
 
Ndugu wanajopo!

Toka awamu ya kwanza ya Mwalimu JK Nyerere hatujapata kuona Kiongozi mwenye Visionary kama Rais wetu mpendwa Magufuli.

Rais wa awamu ya pili Mzee Mwinyi alisema hili siku moja kwamba wewe mwezetu ni mfano wa kuigwa kwa mambo makubwa uliyoyatenda ndani ya miaka mitatu tu ambayo sisi miaka yetu thelathini hatujafua dafu.

Mie natafakari sana Siku Rais Magufuli atakapomaliza awamu yake ya pili na hatimaye akaja Rais mwingine ambaye atakuwa hovyo,hapo ndo itakuwa tena kirio na kusaga meno kwa maana Taifa tena linarudi nyuma.Tafakari

Sent using Jamii Forums mobile app
FAT MAN WITH A THIN BRAIN
 
Ndugu wanajopo!

Toka awamu ya kwanza ya Mwalimu JK Nyerere hatujapata kuona Kiongozi mwenye Visionary kama Rais wetu mpendwa Magufuli.

Rais wa awamu ya pili Mzee Mwinyi alisema hili siku moja kwamba wewe mwezetu ni mfano wa kuigwa kwa mambo makubwa uliyoyatenda ndani ya miaka mitatu tu ambayo sisi miaka yetu thelathini hatujafua dafu.

Mie natafakari sana Siku Rais Magufuli atakapomaliza awamu yake ya pili na hatimaye akaja Rais mwingine ambaye atakuwa hovyo,hapo ndo itakuwa tena kirio na kusaga meno kwa maana Taifa tena linarudi nyuma.Tafakari

Sent using Jamii Forums mobile app
Ajae atapata tabu kuirudisha nchi kwenye mstari,akimaliza mda wake ajira zitaongezeka maradufu msikate tamaa kusoma tunzeni vyeti,biashara zilizofungwa zote zitafufuka,wasiojulikana awatokuwepo,wapinzani hawatokamatwa hovyo hovyo,bunge live litakuwepo,bunge halitokuwa dhaifu, Furaha ya wengi itarejea,riziki itakuwapo,uwekezaji utaongezeka,Sheria zote kandamizi za kijima zitafutiliwa mbali,diplomasia itarudi tena,na yote mema na Mazuri yatarudi.
 
Ndugu wanajopo!

Toka awamu ya kwanza ya Mwalimu JK Nyerere hatujapata kuona Kiongozi mwenye Visionary kama Rais wetu mpendwa Magufuli.

Rais wa awamu ya pili Mzee Mwinyi alisema hili siku moja kwamba wewe mwezetu ni mfano wa kuigwa kwa mambo makubwa uliyoyatenda ndani ya miaka mitatu tu ambayo sisi miaka yetu thelathini hatujafua dafu.

Mie natafakari sana Siku Rais Magufuli atakapomaliza awamu yake ya pili na hatimaye akaja Rais mwingine ambaye atakuwa hovyo,hapo ndo itakuwa tena kirio na kusaga meno kwa maana Taifa tena linarudi nyuma.Tafakari

Sent using Jamii Forums mobile app
Kanda ya ziwa haijawahi toa kiongozi bora wa kupambana na maendeleo kama Kanda zingine, zaidi ya kutoa watu watumiao mda kupambana na watu kulipa visasi badala ya maendeleo. Tusichague tena watokao Kanda ya ziwa watatuletea umasikini by experience two times now.
 
Hii ni kiboko haijawahi tokea nadhani atakua na kazi ngumu sana kurudisha mfumo wa mvurugano
 
Takataka zote tuuu
Ndugu wanajopo!

Toka awamu ya kwanza ya Mwalimu JK Nyerere hatujapata kuona Kiongozi mwenye Visionary kama Rais wetu mpendwa Magufuli.

Rais wa awamu ya pili Mzee Mwinyi alisema hili siku moja kwamba wewe mwezetu ni mfano wa kuigwa kwa mambo makubwa uliyoyatenda ndani ya miaka mitatu tu ambayo sisi miaka yetu thelathini hatujafua dafu.

Mie natafakari sana Siku Rais Magufuli atakapomaliza awamu yake ya pili na hatimaye akaja Rais mwingine ambaye atakuwa hovyo,hapo ndo itakuwa tena kirio na kusaga meno kwa maana Taifa tena linarudi nyuma.Tafakari

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom