Ile airport inayojengwa hapo soon wataanza kufugia nguruwe.huko Chato amepeleka miradi ya kufa mtu mpaka airport na uwanja wa mpira wakati hata timu ya kijiji hawana. tunataka tuone Wanyonge wakitumia sasa hiyo airport
Wanaamini kuwa watumishi wasipopandishiwa mshahara bas watafanana nao. None sencewanyonge ni maskini wa akili na mwili!
kwanza wengi ni wajinga na wenye afya duni!
sasa wape taarifa mkuu,matajiri,watumishi na tulioelimika tumezaliwa upya!
wajiandae!
HahahaaaaaAliyekuwa anaita watu wanyonge amekufa na utajiri wa kutisha sasa wewe endelea kuitwa mnyonge
Hawa wanyonge siyo kwamba wanazimia kwasababu wana mahaba sana na marehemu, bali sababu kubwa ni njaa. Wanaenda kwenye hiyo mikusanyiko bila kula wala kunywa kitu chochote.Juzi nimeona wanao lia na kuzimia wengi ni hao masikini wavaa kandambili. Sijaona hata waziri mmoja akizimia.
Wewee ndo pumba kabisaaa unainyenyekea hela yako hiyo ni lazima Rais ahakikishe usalama wa walipa kodi wake mana ndio wanaomuweka madarakani hayo maswala ni lazima ayatekeleze kwa lazima na sio ombi watanzania tumerogwa na nani?Siku zote mwenye shida ndio huumia mtetezi wake anapoaga dunia.
Umeandika sana pumba hapa. Kumbuka tu Machinga, Mama ntilie na Bodaboda jinsi walivyokuwa wanajitanua kwenye hii nchi yao tangu JPM aingie madarakani.
Kumbuka watu walivyo kuwa wana furahia usalama wa nchi yao. Mabasi kutembea usiku na mchana.
Pengine wewe pia ni mnyonge ila hujijui, siku ukijijua utaona namna JPM alivyo kugusa pengine kwenye miradi mbalimbali.
Rest easy our Hero.
Kila la kheri! Alitutesa sana watumishi wa umma, miaka mitano mshahara ule ule wa 2015! Kuna watu katili sana Duniani.
Hee kumbeee good ideaSifa kubwa ya 'wanyonge' ni watu wasiojielewa.. wanajua shida ni kiungo mojawapo kwenye mwili. Hawajui nini kinatakiwa au kilitakiwa kufanyika, hawajui kazi ya watawala wao ni nini.
Ndio maana Marekani walitilia shaka uwezo wa 'wanyonge' kuchagua kiongozi wa nchi, wakaamua watu wachache wenye busara(electoral college) ndio wachague Rais!
UbarikiweMimi kiukweli huwa sikubaliani kabisa na hii falsafa ya wanaoitwa Wanyonge.
Ni kundi linalotengenezwa na watawala kwa maslahi ya watawala wenyewe.
Mfano, nchi za Africa,Tanzania ikiwemo,tulijengewa na wakoloni fikra na tukaikubali kwamba ni maskini ambao tunatakiwa kusaidiwa.
Hii iliwarahisishia sana kututawala kwa kutupa vimsaada ambavyo,kwa mawazo yetu finyu,tuliona ni msaada mkubwa sana kwetu na tukawa tunawakweza.Mpaka leo fikra hizo mbaya hazijatoweka miongoni mwetu.
Vivyo hivyo, Wanaoitwa Wanyonge wametengenezwa ili wawe mtaji wa wanasiasa kupata mamlaka.
Wanaoitwa wanyonge wakipewa nafuu fulani,hata kama ni haki yao ya msingi,hufurahi na kuwaona watoaji kama Mungu wao.
Kwa hiyo,namaliza kwa kuwataka wote wanaojiona wako kwenye kundi la wanoitwa wanyonge wajitambue na kujiona kuwa sio wanyonge na kama wanapatiwa nafuu yoyote na watawala wafahamu kuwa hiyo ni haki yao sio hisani.
Au ninasena uongo ndugu zangu?
Point ya siku hii.Ukitaka kumtawala mjinga, mpe jina lililokaa kihuruma-huruma.
..
Wengi wape Mungu fundi bwanaNdio maana Sina uchungu na huu msiba, aende tu. Je angehudumu miaka 10 si angepeleka kila mradi Chato? Alikuwa mbinafsi sana. Maombi yetu Mungu ameyapokea.
Hapana ndugu umeongea UKWELI MTUPU!Mimi kiukweli huwa sikubaliani kabisa na hii falsafa ya wanaoitwa Wanyonge.
Ni kundi linalotengenezwa na watawala kwa maslahi ya watawala wenyewe.
Mfano, nchi za Africa,Tanzania ikiwemo,tulijengewa na wakoloni fikra na tukaikubali kwamba ni maskini ambao tunatakiwa kusaidiwa.
Hii iliwarahisishia sana kututawala kwa kutupa vimsaada ambavyo,kwa mawazo yetu finyu,tuliona ni msaada mkubwa sana kwetu na tukawa tunawakweza.Mpaka leo fikra hizo mbaya hazijatoweka miongoni mwetu.
Vivyo hivyo, Wanaoitwa Wanyonge wametengenezwa ili wawe mtaji wa wanasiasa kupata mamlaka.
Wanaoitwa wanyonge wakipewa nafuu fulani,hata kama ni haki yao ya msingi,hufurahi na kuwaona watoaji kama Mungu wao.
Kwa hiyo,namaliza kwa kuwataka wote wanaojiona wako kwenye kundi la wanoitwa wanyonge wajitambue na kujiona kuwa sio wanyonge na kama wanapatiwa nafuu yoyote na watawala wafahamu kuwa hiyo ni haki yao sio hisani.
Au ninasena uongo ndugu zangu?
U hit the bull! Ahsante sanaSifa kubwa ya 'wanyonge' ni watu wasiojielewa.. wanajua shida ni kiungo mojawapo kwenye mwili. Hawajui nini kinatakiwa au kilitakiwa kufanyika, hawajui kazi ya watawala wao ni nini.
Ndio maana Marekani walitilia shaka uwezo wa 'wanyonge' kuchagua kiongozi wa nchi, wakaamua watu wachache wenye busara(electoral college) ndio wachague Rais!