Kila la kheri! Alitutesa sana watumishi wa umma, miaka mitano mshahara ule ule wa 2015! Kuna watu katili sana Duniani.Nakata tiketi ya kuelekea chato.
Huko Chato amepeleka miradi ya kufa mtu mpaka airport na uwanja wa mpira wakati hata timu ya kijiji hawana. tunataka tuone Wanyonge wakitumia sasa hiyo airportAliye kuwa anawatetea wanyonge kafa na utajiri mkubwaaa! Very big challenge.
Ili umsaidie kwanza unatakiwa umfanye alichukie hilo jina... Mtihani unaanzia hapoMnawasaidiaje hao wanyonge?
Msiwalaumu tu.
Your argument is too general kana kwamba umeongea na wao!Habari wanajamvi !
Awali ya yote poleni kwa msiba! Niende moja kwa moja kwenye mada. Wanyonge wana shida tena kubwa sana. Twendeni pamoja taratibu mtajua shida ilipo. Siku moja nikiwa mahali fulani nikasikia mnyonge mmoja anasema ' afadhali sasa tumeanza kuheshimiana.' Kwake yeye kitendo cha watumishi wa umma kutokuongezewa mishahara kwa kipindi cha miaka mitano, yeye alifarijika sana.
Wanyonge wapo wengi sana! Karibu wote hufurahia madhira wayapatao watumishi wa umma au wafanyabiashara waliofanikiwa. Nikamsikia mnyonge mmoja anafurahia kuona wahitimu wa vyuo vikuu wakiishia kuchoma mahindi au kuosha magari baada ya kukosa ajira serikalini au taasisi binafsi.Kwao wao wote tukiwa masikini ndio faraja yao.
Nilikuwepo siku wakazi Wa Ubungo mpaka Mbezi huko wakibomolewa nyumba zao bila fidia yoyote , nikamsikia mnyonge mmoja anasema ' huyo ndio Magu bwana , hana huruma na mafisadi bwana' . Kwake yeye kila mwenye nyumba nzuri ni fisadi.
Wanyonge mahali fulani ni wajinga! Ndio maana wanatumiwa na wanasiasa kama stepping stone. Wanatumika na manabii wa uongo kujitajirisha. Wana fikiria wanaweza kuwa matajiri kwa kuombewa...! Bila kufanya kazi.
Juzi nimeona wanao lia na kuzimia wengi ni hao masikini wavaa kandambili. Sijaona hata waziri mmoja akizimia.
SASA JIULIZE KATI YA WAZIRI NA HAWA WANYONGE NANI ALIMFAHAMU KWA KARIBU RAIS MAGUFULI? wanyonge badilikeni!!
Mungu fundi bwana yani mtu kameza ulimi fastaHabari wanajamvi !
Awali ya yote poleni kwa msiba! Niende moja kwa moja kwenye mada. Wanyonge wana shida tena kubwa sana. Twendeni pamoja taratibu mtajua shida ilipo. Siku moja nikiwa mahali fulani nikasikia mnyonge mmoja anasema ' afadhali sasa tumeanza kuheshimiana.' Kwake yeye kitendo cha watumishi wa umma kutokuongezewa mishahara kwa kipindi cha miaka mitano, yeye alifarijika sana.
Wanyonge wapo wengi sana! Karibu wote hufurahia madhira wayapatao watumishi wa umma au wafanyabiashara waliofanikiwa. Nikamsikia mnyonge mmoja anafurahia kuona wahitimu wa vyuo vikuu wakiishia kuchoma mahindi au kuosha magari baada ya kukosa ajira serikalini au taasisi binafsi.Kwao wao wote tukiwa masikini ndio faraja yao.
Nilikuwepo siku wakazi Wa Ubungo mpaka Mbezi huko wakibomolewa nyumba zao bila fidia yoyote , nikamsikia mnyonge mmoja anasema ' huyo ndio Magu bwana , hana huruma na mafisadi bwana' . Kwake yeye kila mwenye nyumba nzuri ni fisadi.
Wanyonge mahali fulani ni wajinga! Ndio maana wanatumiwa na wanasiasa kama stepping stone. Wanatumika na manabii wa uongo kujitajirisha. Wana fikiria wanaweza kuwa matajiri kwa kuombewa...! Bila kufanya kazi.
Juzi nimeona wanao lia na kuzimia wengi ni hao masikini wavaa kandambili. Sijaona hata waziri mmoja akizimia.
SASA JIULIZE KATI YA WAZIRI NA HAWA WANYONGE NANI ALIMFAHAMU KWA KARIBU RAIS MAGUFULI? wanyonge badilikeni!!
Kunamtu mmoja leo kaniambia kipindi cha kikwete ilikuwa inapita miezi miwili bila mshahara...aisee tz wajinga ni wengi sanaTate Mkuu
ilifikia kipindi baadhi ya hao wanyonge wanauliza kuwa je mshahara wa mwezi huu watumishi watapata!?
ikabidi nikauliza,kwanini unauliza hvyo?
akanijibu,kwani huoni kama magufuli amekufa!
nikauliza kwani kifo cha magufuli na mshahara vinahusiana nini?
akakosa jibu!
ikabidi nimjibu kuwa kifo cha magufuli akiathiri mshahara!
tena hata yeye mwenyewe marehemu wa mwezi huu atauvuta swafi!
tena zile hela siyo zake,ni zetu wote!
akabaki kubung'aa tu!
Hahahahahahaa...Umetoa tafsiri sahihi ya wanyonge, ngoja mkalimani wa chama aje atujuze
Hii komenti nimeiona sehem nyingi sana sijui maana yakeNa msaliti mzee wa MIGA Lisu anashangilia sana.
Amefikia hatua ya kuionea aibu maiti kwamba kwa nini inaliliwa sana
Ndio maana Sina uchungu na huu msiba, aende tu. Je angehudumu miaka 10 si angepeleka kila mradi Chato? Alikuwa mbinafsi sana. Maombi yetu Mungu ameyapokea.huko Chato amepeleka miradi ya kufa mtu mpaka airport na uwanja wa mpira wakati hata timu ya kijiji hawana. tunataka tuone Wanyonge wakitumia sasa hiyo airport