TOHATO
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,170
- 3,775
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.
Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:
1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%
Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.
Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.
Point yangu:
Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).
Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo
1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)
2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)
3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.
Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?
Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.
Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:
1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%
Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.
Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.
Point yangu:
Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).
Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo
1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)
2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)
3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.
Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?
Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.
Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.