Nina classmates waliowahi kusoma nje ya nchi elimu ya msingi kwa shule za Uganda na Kenya.
Walirudi Tanzania kuendelea na elimu ya sekondari hadi vyuo kusomea IT, HR, Accounting, Law, Engineering na procurement.
Ni moja tu alieajiriwa serikalini, hao wengine wapo walio kampuni binafsi wengine walishakata tamaa na ajira
Swali langu ni wanapitia changamoto ya ajira kama ilivyo kwa wengine waliosoma hapa au kuna la ziada ?
Walirudi Tanzania kuendelea na elimu ya sekondari hadi vyuo kusomea IT, HR, Accounting, Law, Engineering na procurement.
Ni moja tu alieajiriwa serikalini, hao wengine wapo walio kampuni binafsi wengine walishakata tamaa na ajira
Swali langu ni wanapitia changamoto ya ajira kama ilivyo kwa wengine waliosoma hapa au kuna la ziada ?