Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Kimombo
Kuhusu makazi Dar, kwa sisi wafanyakazi, inakuaje kuhusu mahusiano iwapo nitahamishwa kituo cha kazi na kupelekwa nje ya Dar? Namwagwa ama?sawa
Ah ah ah ah mkuu atakuwa na sifa nzur asio ijua yyMfupi, mwembamba, mweusi, huna chura, huna kazi, nyonyo kubwa, una chunusi........etc etc![]()
Duh.Nicheki pm ..ila ni.vascodagama kulingana na majukumu
Wacha nitoe msaada huu mwaka 2017 kwa kuwa hata na mchumba
Na sifa zote mpk.zimepitiliza,uvumilivu wako tuu kwa mwaka mzima nazunguka karibia tz yote kwa kifupi huwa sikai mkoa mmoja zaid ya mwezi mmoja..
Upo hapo
Mabaka mabaka. No chura. Unataka digrii holder awe anatema yai. Una chunusiVepee
We ni pm tutajua mbele y safarIpi hiyo?
Kwa hiyo kama sijui kimombo na ninataka uwe mke itakuweje?Ndio
Sio mkoaKwani dar sio mkoa au?