Nina mapenzi ya dhati; natafuta mchumba

Nina mapenzi ya dhati; natafuta mchumba

NINAEMUHITAJ[b/]
Awe na degree na kuendelea(sio lazima)

Awe anajua kimombo at least
Mfanyakazi
Wewe unajua fika kimombo siyo lugha yetu sasa ulazima wake ni nini au kwenye hiyo ndoa tutakua tunaongea kiingereza tu?

Awe anaishi Dar

Liziki ni popote ndugu yangu naomba usitunyime wa mikoani fursa.

Swala la kazi nafikili ata wewe unaona Mhe alivyokanyagia.

Awe kuanzia 24yrs na kuendelea


 
Hizi ni fursa adimu sana kuwahi tokea duniani, nami nataka kuitumia fursa iih..maana vijana wengi waoga siku izi wakiambiwa uchumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom