Nina Makosa kweli hapa?? Nishauri tafadhari!

Nina Makosa kweli hapa?? Nishauri tafadhari!

Kama wampenda oa kuzaa si tatizo na asilimia kubwa ya wanawake wamezaa watoto wasio onekana (wametoa mimba tena zaid ya moja) na si rahis kuwatambua kama walisha zaa ila kama humpendi mwambie kistaarabu atakuelewa, oa umpendae.
 
Ushauri umepatikana wa aina tatu!
1. Wengi wananishauri nimpige tu chini
2. Kundi lingine wanashauri nimpe nafasi
3. Baadhi wameniachia mwenyewe !
Nikichambua zaidi napata picha ya kwamba yawezekana kweli niliwekwa kwenye reserve list na huyu binti na kama mambo yake yangemuendea vizuri basi asingekuwa na time na mimi, hivyo basi, kwa kuzingatia ushauri wa watu wengi walionishauri hapa, mimi Thegame, bila kulazimishwa na mtu yeyote, nimeamua kuachana naye rasmi.

Hapo nmeelewa kumbe ulikua waogopa lawama eeh! B confident na feelings zako
 
Back
Top Bottom